COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

Kwa hiyo mu gu ni kama mwalimu anayetoa mtihani?

Mwalimu anatoa mtihani kwa kutaka kujua ulichoelewa.

Mungu anayejua yote anatoa mtihani wa nini?

Kama kuna vitu nimenyimwa freedom of choice, na sijachagua hivyo ni vipi, unaweza kusema nina ffreedom of choice?

Umeingia sehemu, kuna viti kibao. Umeambiwa unaweza kuchagua unapotaka kukaa kasoro pale juu kwenye high table na row mbiki za kwanza za waheshimiwa.

Unaweza kusema una uhuru wa kuchagua pa kukaa?

Wakati ushachaguliwa pa kuchagua?
By Kiranga
Hujaelewa/ unakwepa swali, siulizi mungu wangu, nauliza mungu wako.

Haya tena. Kumbe jamaa yenu ana Mungu.
 
Siamini katika kuamini.

Ndiyo umeongea nini hapo mkuu?

Unasema "hauamini" katika "kuamini"!!!!

Mkuu mfano unaposema "siamini..." maana yake ni kwamba haukubaliani na sababu au hoja za kufanya uamini hilo jambo. Kwa maana kwamba laiti ungekubaliana na sababu au hoja basi ungekubali kuamini hilo jambo.Lakini maelezo yako wewe ya kusema "hauamini" katika "kuamini" nimeshindwa kuyaelewa.
 
Valentine Day ni nini? Je! Ni wangapi wanafahamu haya? Soma japo kidogo then tafakari kwa kina! Kwa vile hakuna jambo lisilokuwa na chanzo! Muhimu zingatia uelewapo!!! Valentina Edgan alizaliwa tarehe 14/2/1932 katika jiji la Valensia huko Hispania, kafiri huyu ndiye alitumia mabilioni ya dola kuingamiza misikiti 8000 iliyokuwa katika bara la Ulaya kama vile Hispania, Ufaransa, Ubelgiji na Uingereza. Kafiri huyo baadae kaenda kuwaua Waislam huko Boznia na kuoga damu zao na ndipo akaamuru siku hiyo aliyozaliwa yaani tarehe 14/2 isherehekewelakini kwa watu kuvaa nguo nyekundu au maua ili kama kumuunga mkono, ewe muislam na wewe usiye muislam simama kidede kupinga udhalimu huu wakusherehekea valentin day kumbe ni kuunga mkono sherehe ya kubomolewa misikiti 8000 na kuuwawa ndugu zetu Waislam huko Boznia, Allahu Akbar. Zingatieni na kujiepusha kwenye janga hilo OVU!
 
Watu wengi wanaoamini uwepo wa mungu katika mjadala huu watakuwa kati ya dini aidha ya kiislamu au kikristo.Sasa naomba yeyote aniweke wazi,ni mungu gani anayezunguziwa hapa katika mjadala huu?Ni yule wa wakristo au wa waislamu?

Waislamu na wakristo wote watakubaliana na mimi 100% kwamba imani zao kuhusu mungu ziko kama ifuatavyo:
Mungu wa wakristo amegawanyika katika nafsi tatu,baba, mwana(yesu),na roho mtakatifu.Mungu wa waislamu hajagawanyika,ni mmoja tu,na kwa waislamu yesu sio mungu.

Sasa ningependa yeyote ajitolee kunieleza,ni mungu gani anayezungumziwa hapa?
 
Watu wengi wanaoamini uwepo wa mungu katika mjadala huu watakuwa kati ya dini aidha ya kiislamu au kikristo.Sasa naomba yeyote aniweke wazi,ni mungu gani anayezunguziwa hapa katika mjadala huu?Ni yule wa wakristo au wa waislamu?

Waislamu na wakristo wote watakubaliana na mimi 100% kwamba imani zao kuhusu mungu ziko kama ifuatavyo:
Mungu wa wakristo amegawanyika katika nafsi tatu,baba, mwana(yesu),na roho mtakatifu.Mungu wa waislamu hajagawanyika,ni mmoja tu,na kwa waislamu yesu sio mungu.

Sasa ningependa yeyote ajitolee kunieleza,ni mungu gani anayezungumziwa hapa?

Mkuu,
Hapa mada ni kuhusu je MUNGU yupo na siyo mjadala wa MUNGU wa dini ''imani'' Fulani yupo ama hayupo maana ukienda huko unazidi kufanya mada ya kuwa MUNGU yupo au hayupo kuwa haijadiliki maana itakuwa pana mno kuwa kama BLACK SWAN theory Black Swan Theory - What Does It Mean? , hapa kwa urahisi ni kuwa suala ni je? Kwa ''imani'' yako MUNGU yupo ? na kwa wale ''wanasayansi/ knowledge wa ''evidence base'' Mungu yupo?.

Tufuate mifumo miwili kujibu MUNGU yupo yaani ule wa IMANI yaani Faith na ule wa EVIDENCE based yaani Knowledge
Those who say they do not believe in God often give lack of evidence for their unbelief. This is a confusion of knowledge and faith. It is also an error of logic -- absence of evidence is not evidence of absence. There cannot be any empirical evidence of the existence of God, for God does not exist. God Does Not Exist...Â-|Â-Pierre Whalon


“Doctors most commonly get mixed up between absence of evidence and evidence of abense”
― Nassim Nicholas Taleb
 
Ndiyo umeongea nini hapo mkuu?

Unasema "hauamini" katika "kuamini"!!!!

Mkuu mfano unaposema "siamini..." maana yake ni kwamba haukubaliani na sababu au hoja za kufanya uamini hilo jambo. Kwa maana kwamba laiti ungekubaliana na sababu au hoja basi ungekubali kuamini hilo jambo.Lakini maelezo yako wewe ya kusema "hauamini" katika "kuamini" nimeshindwa kuyaelewa.

Sitaki kuamini, nataka kujua.
 
Watu wengi wanaoamini uwepo wa mungu katika mjadala huu watakuwa kati ya dini aidha ya kiislamu au kikristo.Sasa naomba yeyote aniweke wazi,ni mungu gani anayezunguziwa hapa katika mjadala huu?Ni yule wa wakristo au wa waislamu?

Waislamu na wakristo wote watakubaliana na mimi 100% kwamba imani zao kuhusu mungu ziko kama ifuatavyo:
Mungu wa wakristo amegawanyika katika nafsi tatu,baba, mwana(yesu),na roho mtakatifu.Mungu wa waislamu hajagawanyika,ni mmoja tu,na kwa waislamu yesu sio mungu.

Sasa ningependa yeyote ajitolee kunieleza,ni mungu gani anayezungumziwa hapa?

Nimewaunganisha hao wa dini hizo mbili kama mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote, aliye pote na mwenye upendo wote.

Nimeuliza maswali ambayo hayajajibika mpaka sasa.

Kuonyesha kwamba mungu wa waislau au wakristo amekaa kihadithi zaidi na hayupo kiukweli, kwa maana anajipinga yeye mwenyewe uwepo wake.
 
Valentine Day ni nini? Je! Ni wangapi wanafahamu haya? Soma japo kidogo then tafakari kwa kina! Kwa vile hakuna jambo lisilokuwa na chanzo! Muhimu zingatia uelewapo!!! Valentina Edgan alizaliwa tarehe 14/2/1932 katika jiji la Valensia huko Hispania, kafiri huyu ndiye alitumia mabilioni ya dola kuingamiza misikiti 8000 iliyokuwa katika bara la Ulaya kama vile Hispania, Ufaransa, Ubelgiji na Uingereza. Kafiri huyo baadae kaenda kuwaua Waislam huko Boznia na kuoga damu zao na ndipo akaamuru siku hiyo aliyozaliwa yaani tarehe 14/2 isherehekewelakini kwa watu kuvaa nguo nyekundu au maua ili kama kumuunga mkono, ewe muislam na wewe usiye muislam simama kidede kupinga udhalimu huu wakusherehekea valentin day kumbe ni kuunga mkono sherehe ya kubomolewa misikiti 8000 na kuuwawa ndugu zetu Waislam huko Boznia, Allahu Akbar. Zingatieni na kujiepusha kwenye janga hilo OVU!

Ukafiri pekee uliobaki ulimwengu wa leo kwa walioelimika ni kuwaita wengine makafiri.
 
Mungu yupo, na kipimo ni uumbaji wake, hizo details ulizotoa hapo juu ni probabilities. Kwamba utapata ajali au la, utakufa au la, utakuwa daktari au la, etc.

Unahakikishaje kwamba mungu yupo na ndiye aliyeumba na kwamba hicho unachofikiri kimeumbwa na mungu hakijatokea vinginevyo vyovyote?
 
Unahakikishaje kwamba mungu yupo na ndiye aliyeumba na kwamba hicho unachofikiri kimeumbwa na mungu hakijatokea vinginevyo vyovyote?

Hujawahi pata majibu tu ya hayo maswali yako? Maana ni kila siku unauliza yale yale! Oooh mara Mungu sio just anawezaje kuruhusu kifo..? Mara njaaa, sijui mafuriko...!? Kama huwezi pata majibu ya hayo maswali huna sabubu nyingine ya kuhoji uwepo wa Mungu... So why don't you just go pee and sleep!

ZAB. 97:6 SUV

Mbingu zimetangaza haki yake, Na watu wote wameuona utukufu wake.
 
Hujawahi pata majibu tu ya hayo maswali yako? Maana ni kila siku unauliza yale yale! Oooh mara Mungu sio just anawezaje kuruhusu kifo..? Mara njaaa, sijui mafuriko...!? Kama huwezi pata majibu ya hayo maswali huna sabubu nyingine ya kuhoji uwepo wa Mungu... So why don't you just go pee and sleep!

ZAB. 97:6 SUV

Mbingu zimetangaza haki yake, Na watu wote wameuona utukufu wake.

Hata wewe bado hujajibu.

I wanna pee in your mama's pussy, but she has to be checked for AIDS and STDs first. I will pay for everything.
 
Sitaki kuamini, nataka kujua.
HAPA ANASEMA KUWA YUPO ALLERGIC NA BELIEF
By Kiranga
I am allergic to belief.

I would rather know, thank you very much.
HUYOOOOO kesha anza kuonyesha tatizo katika UONGO WAKE WA ALLERGY

HAPA CHINI ANAFANYA FLIP FLOP NA KUKUBALI FAITH
By Kiranga
Inherently I do not have a problem with faith.

....

NDUGU ZANGUNI,

Mimi sina la zaidi au la kuongeza, leo mmesha muelewa kuwa jamaa ni FLIP FLOP na SI MALI KITU, Ndio maana anatumia IGNORE LIST katika Debate.

Majibu mmesha yapata kuwa huyo Non Theist si Mali kitu
 
Unahakikishaje kwamba mungu yupo na ndiye aliyeumba na kwamba hicho unachofikiri kimeumbwa na mungu hakijatokea vinginevyo vyovyote?
NON THEISTS COMMON ARGUMENT
By Kiranga
Kabla ya kuniambia mungu ananipenda, tafadhali thibitisha kwamba yupo.

HERE IS THE ANSWER FROM THE SAME PERSON
By Kiranga
Hujaelewa/ unakwepa swali, siulizi mungu wangu, nauliza mungu wako.


ANOTHER REPLY FROM A NON THEIST
By Free ideas
God is a complicated entity which requires a much more certificated explanation ..........
It can't be better than this.
Mindless is just mindless
 
Hata wewe bado hujajibu.

I wanna pee in your mama's pussy, but she has to be checked for AIDS and STDs first. I will pay for everything.

Your such a looser! Akili zako za matakoni you dare to question the greatness of the Creator! Such a dickhead... Kelele nyingi na maswali yako ya kilayman hapa.... You're a failure! Don't put blame on God
 
Your such a looser! Akili zako za matakoni you dare to question the greatness of the Creator! Such a dickhead... Kelele nyingi na maswali yako ya kilayman hapa.... You're a failure! Don't put blame on God

Hujajibu swali.

Halafu hujui tofauti ya "loser" na "looser".

And yet you have the nerve to talk about akili za matakoni.

Mungu unayemsema yupo angekuwepo asingeruhusu kiumbe mwenye ubongo wa makamasi kama wewe awepo.

Hujajibu swali.
 
Does the 'Creator' approve of such language?

Jamaa wanaji contradict vibaya sana.

Mtu angetegemea mimi nisiyemjua mungu ndiyo niwe naanzisha matusi na kejeli na hao wanaomjua mungu ndio wawe na simile.

Tunachoona ni kwamba wanaotakiwa kuwa washenzi wasiomjua mungu ndio wanaoanzishiwa kukosewa staha na wanaomkubali mungu.

Mtu hajajibu swali halafu anakulaumu kwa kurudia swali lile lile.

Niwapaje maswali ya form one wakati ya darasa la kwanza hawajaweza kuyajibu?
 
Hujajibu swali.

Halafu hujui tofauti ya "loser" na "looser".

And yet you have the nerve to talk about akili za matakoni.

Mungu unayemsema yupo angekuwepo asingeruhusu kiumbe mwenye ubongo wa makamasi kama wewe awepo.

Hujajibu swali.
Huo ubongo wa makamasi haupo, and you can not prove that to me. You can't even prove your existent to thinkers and to people who are informed.
 
Back
Top Bottom