hahhaa, kwa hiyo kukutana wewe na jirani yako kukutana barabarani kunathibitishaje uwapo wa mungu? hilo bichwa lako linashindwa hata kutafakari na kutafiti ni kwa nini mnatoka muda mmoja kuelekea kwenye mihangaiko yenu? halafu nilivyokuwa naandika hii reply nimejamba, lazima mungu atakuwepo.:lol:
God doesn't begin. The Universe began,
If you are too lame to get the crystal clear logic, that's your fault - not mine.
Usipoteze hoja kwa maswali aina hii.
Hivi kweli huwa unasoma ninachoandika?
Nimesema hapa zaidi ya mara nyingi kuwa, MUNGU MWENYEWE NI SHERIA, NA UKOMO WA MUNGU NI MUNGU MWENYEWE, utaniulizaje ukomo wa Mungu eti katika uwepo popote! Nimeandika kuwa Mungu anajihitaji yeye mwenyewe, haya maswali yako yanatoka wapi? Mbona unauliza nisichosema mimi?
Ninarudia tena, hizo 4 omnis ni viumbe kama mimi na wewe au mbwa! Nje ya Uumbaji/Ulimwengu huwezi kuhoji juu ya hizo omnis! But I can see God even before the creation, NATURE!
Anaita sasa!
Wengine wanasema Mungu wao Anaongea Kiarabu tu... hajui lugha zingine...
Exactly! Mungu yupo hata kabla ya Uumbwaji wa ulimwengu.
Anaita sasa!
Anakataa bila ya ushihidi, is waste of time to thinkers. The Creator has no beginning. No Creator is required.Huyu nilishawahi kumwambia kuwa, anachokataa ni Ukuu wa Mungu ila rio Uwepo wa Mungu. Anakubali uwepo wa Chanzo cha Ulimwengu, ila hicho chanzo mimi nikikiita Mungu anang'aka, na hoja ohoooh mbona mmesema yeye ni 4 omnis. Huyu anapaswa kukiri kwanza uwepo wa Mungu, tumfundishe Ukuu wake!
Hoja zake ni sawa na anayedai kuwa, Mungu yupo ila hana Upendo wala Ujuzi wote. Sifa kuu ya kwanza ya Mungu he is the Creator, awe ameumba vizuri au vibaya, anabaki kuwa Creator!
Anaita sasa!
Hapo hapo wanakwambia hakuna asichojua.
Fujo tupu.
Wapi? umemuona au umeadithiwa? na kama hujamuona basi ni hadithi tu hiyo uelewe....Mungu yupo,
Huu sasa ni Utata hakika hata hapo mwanzo huelewi kulikuwa na nini ni sawa na yai na kuku kipi kilianza?alikuwapo tena bila kuwa na mwanzo,
Mkuu ukoma unafahamika kama Ugonjwa fulani wa ngozi nadhani kiasi kikubwa umekomkosea heshima kwa kumfananishia na huo ugonjwa... na kwa maneno yako tu unamaanisha anayo ngozi...ni mwenye kudumu asie na ukoma.
Wapi? umemuona au umeadithiwa? na kama hujamuona basi ni hadithi tu hiyo uelewe.... Huu sasa ni Utata hakika hata hapo mwanzo huelewi kulikuwa na nini ni sawa na yai na kuku kipi kilianza?
Mkuu ukoma unafahamika kama Ugonjwa fulani wa ngozi nadhani kiasi kikubwa umekomkosea heshima kwa kumfananishia na huo ugonjwa... na kwa maneno yako tu unamaanisha anayo ngozi...
Nikuweke wazi tu Kitu ambacho huna uhakika nacho na hata waliokutangulia nao hawana uhakika nacho ni bora uwe na maamuzi yako binafsi kuwa uamini ili siku ukifa either utakikuta au hutokikuta hukumu yako ndio itaamuliwa hivyo... Dini na uwepo wa Mungu ni Imani tu.... Hakuna Udhibitisho period.
Correct, God is always there.Mungu yupo, alikuwapo tena bila kuwa na mwanzo, ni mwenye kudumu asie na ukomo.
1. You have not proved that god exists.
2. You have not proved that there is a qay to prove that thatvwhich does not exist, does not exist.
3. I am not entirely sure you understand my argument. Or even that you have the capacity and requisite preparation to understand.
4. You don't even understand the difference between evidence and proof.
Kiranga mleta mada is another waste of oxygen alafu he has the audacity to mention the principle of burden of proof..... kumbe wala haijui.... burden ya proof ina lie kwa mtu anaye make knowledge claim.... yeye mwenywewe kwa uzi wake ndio ame make knowledge claim kua anaamin mungu yupo so kwa kutumia iyo principle aliyoitaja ambayo haijui vzr inamtaka atoe ushahidi!!!!!
Huwa nashangazwa sana na mwanamke anayetilia mashaka uwepo wa Mungu, nafanya hivyo kwa kutazama pekee jiografia ya mwili wa mwanamke, utaona kwamba Muumbaji alitumia ufundi sana katika kuuumba. Mfano; Kunyonyesha; inakuwaje mwanamke anaweza kunywa maji , au bia halafu atoe maziwa??ni kwa namna gani mwanamke anaweza punguza damu kiasi fulani kila mwezi lakini isiwe katika hali ya kumfanya kupoteza maisha, au damu yote mwilini kwisha, mimba: kwanini mwanamke anakaa na kiumbe tumboni kwa miezi tisa, kwanini iwe tisa na si tatu atu mbili au moja na ikiwa pungufu au zaidi ya hapo huwa tatizo?? mwanamke ni symbol tosha ya uwepo wa Mungu, unasemaje bidada??Mie nimetoka kupuu...afu najishtukia,sijui Mungu aliniona LOL(Mungu nisamehe)
kindly elaborate to me the principle of evidence of absence!! hakuna haja ya kulia kama wewe pia huna uelewa kuwa huelewi kuwa huelewi...Kiranga mleta mada is another waste of oxygen alafu he has the audacity to mention the principle of burden of proof..... kumbe wala haijui.... burden ya proof ina lie kwa mtu anaye make knowledge claim....
yeye mwenywewe kwa uzi wake ndio ame make knowledge claim kua anaamin mungu yupo so kwa kutumia iyo principle aliyoitaja ambayo haijui vzr inamtaka atoe ushahidi!!!!!
CHAMVIGA
Hayo Maneno yote nani aliyekuaminisha? maana umeongea hadi umepitiliza,Utukufu wake hebu dadavua unafananaje au japo kianzio tu? Na Hayo Majuto ya Mbinguni kulikoni tena? maana wengi wanaamini Mbinguni ni raha tupu sasa wewe wasema ni Majuto?
Wewe Upo kwa wale wapigao Wrong Number... Unapiga simu namba unahakika nayo kumbe umekosea...! yaonekana wazi una imani Haba...
Kama Hakuna Kiumbe kinachoweza Kumjua Mungu sasa wewe Imani yako ndio Unaamini sehemu ambapo hutokuja Kuijua... Kuwa Makini akili yako imeoshwa... Kama Hujui ulikotoka na uendako hupajui fresh... nenda kwa Walimu Wako Wakupige Msasa fresh maana Humu utachechemea tu...
Mungu Unamuamini ni yule aliyeumba vitu bila kuhitaji chochote kutoka kwao wewe haupo Sawa... Vitabu vinasema Mungu anataka aabudiwe.... hilo ndio takwa lake kuu wewe Elimu ya Dini nadhani haujaifanyia pratical...
Swali Dogo nikuulize... Mungu wako Anaitwaje? ili nikusaidie katika Imani yako... Maana Miungu yote ina Majina yake.... usipinge katu... wewe nitajie tu jina la Mungu unayemuamini tafadhali.. ukishindwa Omba msaada kwa aliyekuaminisha...
That you can or cannot prove without evidence is debatable, certainly one point of debate would be what is your definition of evidence. A number of questions arise, one being, can you have evidence in abstract and complex mathematical proofs?
There is no debate when it comes to proof without evidence. You can not draw a certain conclusion without making an observation first. hence it goes without say that, you can not prove without evidence!! even in mathematics i understand it is within your knowledge that, propositions is the essence of mathematics, so once you have affirmed something for discussion itself suffice evidence of proof, where the conclusion of the discussion will be the result of the proposition. No proof without evidence.
But even if you cannot prove without evidence, that does not equate evidence with proof just as much as the fact that you cannot be in Dar es salaam without being in Tanzania does not equate Dar es salaam to Tanzania.
Where did you derive this??
A simple class in set theory would do much to benefit your clouded assertion.
Do we always have to base our arguments on math theorems??
Even more confused jumbles.
a) I have not claimed anywhere that you have failed to prove that god does not exist. I challenge you to prove that anything that does not exist, does not exist.
b)You still do not understand my argument (complete with a challenge you haven't tackled) that that which does not exist cannot be proved that it does not exist, because it does not exist and therefore cannot be proved in any way.
c) I was right to think that you are a dingbat and cannot understand my arguments. Your questions show that.
Proof of a negative can be achieved if one could attempt to use evidence and induction to support a claim that he is biased toward, such as a claim that something does not exist. You have asserted a claim that God does not exist, i invited you to support your claim with evidence that he does not exist, until now you have not done so.
If asking for proof that god exists is a belief, then a baldhead is a style of hairdo.
Failure to prove existence can be termed as Faith, but my claims are nowhere near to that, as i have come forward with evidence to prove that he does exist. Now my friend your failure to prove that he does not, makes you a hopeless individual , with unsupported conclusions and saddened faith. You need to come to your senses.
You don't even understand the difference between evidence and proof, yet you scream that I am the one without understanding?
From which statement did you make that conclusion??
Can you prove god exists?
I have enough proof can you disprove.