Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
interesting....kwani ni lazima umpime ndipo ujue kuwa yupo....unaamini kuwa una akili au brain?
umeshawahi kuipima akili yako au brain yako?
how hard is it to believe Something you can not see or measure exists if you believe una akili and your head has brain while you have never seen your own brain or measured your own akili?
Nani kakwambia akili haipimwi?
Na kwa nini ufikiri akili haipimwi?
Unaposikia "kupima" unaelewa nini? Unaelewa kupima kwa kutumia tape au mizani?
Umesoma objections zangu za kuwepo kwa mungu? Unaelewa napinga uwepo wa mungu kwa sababu gani?