TANZIA Colin Powell, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa kwanza Mweusi wa Marekani, afariki Dunia kwa COVID-19

Kipindi cha vita ya iraq humkosi kwenye headlines za cnn pamoja na mwanaye bush jr
Rip gen
 
Teh teh teh povu jingi sana hili,ni aibu mungu wenu Kayafa kufa kwa covid19

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: BAK
Mtu muovu sana huyu... amesababisha watu wengi wa Iraq wafe kwa propaganda zake za uongo. May he rot in hell!!!
 
Huyu umbwa alijua ataishi milele Mungu amlaze mahali pema motoni aameen[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…