Waambie jamaa wa aina ya mtoa mada wanakera ile mbaya kuigaza kwake Kama mwanamke wewe inakukera Nini Kama anapata ugali wa kill siku kupitia hiyo style we ninani mpaka umpangie.Neno ushoga limewakaa kichwani mpaka wanashindwa kufikiri.
Na wewe unaigiza kama mwanamke??Wivu.com
absolutely.Mkuu Hawa wanatafuta Public Support tu mkuu hawana lolote. Ni wivu na kujifanya wao ndo wanayajua Sana Maisha.
Mawazo ya ajabu ajabu Sana ndo yametawala kwenye Vichwa Vyao.
Katika watanzania 10, 9 Ni wachawi... Bahati mbaya na wewe Ni sehemu ya hao 9Mimi sasa hivi siwezi kuangalia comedy ya mtu kajipaka makeup awe wa kike..
Joti mwenyewe nilikua namkubali lakini naona kama umri umemtupa na kipaji kimepotea.. yanai anaforce kuchekesha na mamakeup yake..
Me sio muigizaji ila acheni wivu na mawazo yakipuuzi kwa vijana wanaotafuta ulaji.Na wewe unaigiza kama mwanamke??
Aisee kazeni mjini hapo kuna watu wana michezo mibaya.
Kuna yule dogo anaitwa Dulavan anapenda sana udada, very soon watamtoboa ugali
Pamoja na kuact mambo ya kipunga bado hanichekeshiKuna yule dogo anaitwa Dulavan anapenda sana udada, very soon watamtoboa ugali
Na baba ako atakua katika hao 9😂Katika watanzania 10, 9 Ni wachawi... Bahati mbaya na wewe Ni sehemu ya hao 9
Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry kwa kukuingilia kazi yako mkuu, ila kweli tena sikujua kama ntakugusa wewe. Nisamehe bure
Hata wewe Ni miongoni mwa wao wachawi sema tu ujaguswa kwenye angle yakoKatika watanzania 10, 9 Ni wachawi... Bahati mbaya na wewe Ni sehemu ya hao 9
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongelea fasihi ya form two kumbe mkuu, mi nikadhani unauelewa mkubwa kuhusu alichokiandika jamaa, sasa kama wote wakiigiza ukike inamaana kuwa fasihi unayoizungumzia wewe ina portray content za wanawake tu?Nashindwa nikujibu vipi
Kama umesoma O level, kwenye somo la kiswahili, topic FASIHI , wameeleza kila kitu, kuhusu vichekesho,
Sent from my iPhone using JamiiForums
Bora uwe masikini wa fedha kuliko kuwa masikini wa kifikra huyo jamaa ana umasikini wa kifikra ndo maana anawaza mambo mabaya huyo Hana tofauti na wale ambao ukiwa tajili basi wewe Freemason au una uza madawa ya kulevyaMwingine huyu. Inaonekana unawazaga Sana kuhusu hizo mambo na ndo maana unajifanya unachukia hapa. Punguza mawazo machafu kichwani mwako. Anza kuadopt vitu vingine ili uache kufikiria kumtoboa mwanaume mwenzio.
Pathetic.
Na nimemuomba kwa dhati kabisa toka ndani ya mtima wangu. Akunjue moyo anisameheMsamaha wako haujapokelewa
Na nimemuomba kwa dhati kabisa toka ndani ya mtima wangu. Akunjue moyo anisamehe
Unaongelea fasihi ya form two kumbe mkuu, mi nikadhani unauelewa mkubwa kuhusu alichokiandika jamaa, sasa kama wote wakiigiza ukike inamaana kuwa fasihi unayoizungumzia wewe ina portray content za wanawake tu?
Au uniqueness ya msanii mmoja na mwingine ni IPI, au akina Charlie champilin na Mr Bean sio wanafasihi?
Kwa bongo nilikua napenda sana Ze comedy, yale maigizo yao. Bt since wamesambaratika hamna comedian ananifrahisha.Atakufikiria, wewe ni msanii gani bongo anakuchekesha?