Confession: The hurting truth -- natamani kurudi kwenye ushirikina

Aaah tatizo uliacha njia njema ya kitamaduni,jikubali kuwa wewe ni mwafrika pure unayumba yumba ukitaka kufuata mambo ya mila zetu wewe dili huko huko
Tatizo lako unachanganya mambo kwa kutamani kua Myahudi Mweusi
Hapo ndio unafeli chagua upande wa asili yako halafu songa mbele hakuna mbusi itakuchezea!
 
Mkuu hivi Huwezi kuwa na Mzizi wa Kumloga Mmiliki wa Arsenal apigwe radi???
 
Mzee baba we urudi tu kazini, wengi tunahitaji huduma yako! Kuna fataki nataka kuzirudisha mahali mkuu.
 
[emoji1545][emoji1545][emoji1545] vita ni kubwa sana nitakuja na post tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…