CONFIRMED: January Makamba kugombea Bumbuli


Sasa baada ya kujua yote haya, unakubali passively tu kwamba tuendelee na uongozi mbovu kwa sababu tuna uongozi mbovu?

Kuwa na uongozi mbovu sasa si sababu ya kukubali kuendelea kukubali uongozi mbovu, two wrongs do not make a right.Ama sivyo ukikubali uongozi mbovu uendelee kwa sababu ulikuwepo na wewe unakuwa sehemu ya tatizo, kamwe si sehemu ya utatuzi.

January kashaletewa accusations za rushwa tayari, tunazunguka pale pale, tunaletewa mvinyo ule ule wa zamani katika chupa mpya, halafu tunaimbishwa nyimbo za "huyu kijana msomi, smart etc" wakati ukiangalia ni mtu wa mtandao tu asiye na principle, integrity wala direction.
 

- Again irrelevant to the ishu at hand, ila maneno yangu ninayasimamia 100%, kwanza wewe sio raia wa Tanzania, na besides umejaa wivu na chuki kwa sababu sasa umegundua kwamba huwezi kugombea anything Tanzania, sisi tunayo hiyo nafasi na tutagombea, pole sana mkuu ila jaribu kuandika kulingana na umri wako maana umeenda sana, mengine sina muda wa kukujibu maana inatia kinyaa sana Bwa! ha! ha! ha!

- Kwa taarifa yako Januari anagombea na atashinda na huna lolote la kufanya kumzuia, utakufa na vijiba kooni na mawivu na michuki tu! ......LOL!


es!
 

- Mkuu samahani sana yamekukutaje haya, mimi huko kwako sipo najadili na wengine, au? kuna something missing hapo?

Respect.


FMEs!
 
- Mkuu samahani sana yamekukutaje haya, mimi huko kwako sipo najadili na wengine, au? kuna something missing hapo?

Respect.


FMEs!

As far as I am concerned wote tunamjadili January Makamba na mimi nimeongelea katika the bigger context ya uongozi wetu mzima unavyoelekea na mazingaombwe haya ya kumleta January hapa kama kijana msomi.

Au kuongelea concepts instead of personalities kunakuchanganya mazee?
 

- Sielewi anyechanganyikiwa hapa ni nani hasa, kwani Januari amesoma au hakusoma?

- Binafsi najua for a fact kwamba ni kijana mdogo sana na amesoma vizuri sana kuliko wananchi wengi sana including na wewe, na ni msaidizi wa Rais sasa tatizo lako lipo wapi hapo nikusaidie?

- nilichosema ni kwamba so far sijajadili na wewe, lakini kama unataka kujadili na mimi karibu sana, haya here we go! halafu umesema unamjadili Januari, and then unasema unajadili concepts, zile zile taba zako za dharau na majivuno bila anything ya kuya-back up Bwa! ha! ha! JF bwana!

- Anyways later!

FMEs!
 

Mimi nikipost kitu JF najadiliana na watu wote, mambo ya ubaguzi wa kwamba najadili na nani na sijadili na nani ni classism tu, hayana mpango.Kama unataka kujadili issue na mtu specific unatumia PM vizuri tu.Lakini maadam umetoa kitu live hapa kinajadiliwa na kila mtu.

January si msomi, anaweza kuwa kaenda shule lakini si msomi.Kwenda shule si lazima uwe msomi, na kuwa msomi si lazima uende shule.

Msomi hawezi kukubali kuchafua resume yake kwa kufanya kazi Ikulu ya Kikwete.Msomi hawezi kuwaita wananchi wa Tanzania nzi wala mavi halafu akataka hao hao nzi wala mavi wampigie kura, huu si usomi, huu ni uchu wa madaraka tu.

Hii hii hype ndiyo tuliyouziwa kuhusu Kikwete, kijana, mtu wa watu etc etc.Matokeo yake tunazama katika shimo lisilo mwisho mpaka leo.January ni kama Kikwete, only worse, kwa sababu Kikwete na matatizo yake yote si mjivuni, huyo January mjivuni utasema mtoto wa Mkapa.

Lakini kama nilivyosema kuhusu Kikwete, mchagueni halafu mtaona wenyewe.
 


Sasa huoni kadri unavyokuja na hizi allegations bila ushahidi credibility yako inazidi kudidimia?

Kweli umtuhumu mtu kutukana waTanzania halafu ukiambiwa ulete ushahidi unadai huna muda huo je is that your way of defending your allegations towards January?

Young African.com ni website lakini hujatoa link ambayo inatuelekeza moja kwa moja kwenye hiyo post au article ambayo unadai January alisema maneno hayo

Ni sawa na kudai kuwa Obama alisema kadhaa kisha unasema ushahidi uko CNN.COM...hiyo haitoshelezi.

Rudi kwenye source yako katuletee hiyo passage ama paragraph ambayo itaonyesha kuwa JM alisema hayo unayomtuhimu

Si dhani kama ni jambo baya au kubwa sana kutuletea huo ushahidi au tumekosea?

Lakini kama unakuwa mkali na hutaki kuleta huo ushahidi then i guess this is the wrong forum maybe other forums might suit well especially if you really can't bear to chat to people whose ideas are different to your own, I don't think any of us humu JF will miss much if you just talk to yourself.
 

Tafadhali tuletee ushahidi kuwa January kaenda kujinadi huko Bumbuli
 

The difference Harry Reid ukitafuta ushahidi utaupata lakini huu ambao jamaa anadau JM kasema hana ushahidi na all he did ni kutulea website without a link to the said statement
 

ambazo ni uongo na mleta hoja kashindwa kuthibitisha
 
The difference Harry Reid ukitafuta ushahidi utaupata lakini huu ambao jamaa anadau JM kasema hana ushahidi na all he did ni kutulea website without a link to the said statement

Tatizo hapa ni sehemu aliyosemea huyo Makamba. Hiyo tovuti haipo tena. Ilikwishakufa. Na mbaya zaidi sina uhakika kama hayo aliyoyasema aliyasema kama Curtis au J. Makamba. Kama aliysema kama Curtis..well..then hakuna ushahidi wa kutosha kuwa ndiyo alikuwa yeye behind hilo unless akiri mwenyewe. Lakini ukweli unabaki palepale kuwa huyo jamaa 'ako ni mtu wa majivuno sana as if the whole world revolves around him. He can't take criticism...he just can't.
 

Once again umerudi na WAISLAM! lakini pamoja na hayo kutoa au kuchangia ujenzi ni jambo la kawaida...na kwa Musilam ni sawa ni kutimiza moja kati ya NGUZO 5 za uislam na pili tofauti ha huyo aliyekutuma hapa kuleta huu UDAKU, JM katoa kuchangia elimu bosi wako yeye anatoa kwa Ajili ya KIMADA WAKE pale mtaa wa ALLY KHAN!!!
Umesema amekumbwa na vikwazo vingi lakini ungeturahisishia ukatupa orodha ya Vikwazo...kwa utaratibu ufuatao:

1
2
3
4
5
6
7
8
9
10

Pili Mapokezi Mabovu yepi? Mbona Jezi na mipira zimechukuliwa? na si hivyo tuuuu infact jamaa wanalalamika kuwa JEZI za RANGI za YANGA zimekuwa nyingi kiasi cha kuwa wanataka Jezi rangi Mchanganyiko...sasa wewe hapa linalokuudhi nini?

Hivi unataka vijana waendelee ku piga NDIMU kuhu wako vifua wazi?



Ni wapi na lini JM kasema alitumwa na Rais?

Na ni lini Mzee Makamba alitimuliwa na na wananchi?

na ni lini Mzee Makamba alienda kumnaji JM?


Mjomba tuletee FACTS nasi tutakupa majibu


baseless allegations

If anything huyo aliyekutuma inaelekea hajakupa FACTS zote if anything cha ajabu hajakuambia jinsi gani naye habari zake zimeleak to the extent anachanganyikiwa. Mbona husemi kuhusu pesa za DAMU za watu alizokatiwa na zingine kaamua kuzificha kwa jamaa zake? acha hizo wewe!
You mean KIBONYEZO?

huwezi kupata uchambuzi wakati umeleta UTUMBO

lete facts au mwambie jamaa yako akupe facts then njoo

this in short IMEFAIL[/QUOTE]

GT

Sikuona fact yoyote kwenye jibu lako.....
 

Looks like we are getting somewhere in a nutshell naweza ku sum up maneno yako kuwa:

1. website au the so called source ya allegation ya hayo maneno ya January haipo tena

2.Hakuna uhakika au uthibitisho kama aliyesema hayo maneno ni January Makamba au huyo the so called 'Curtis'



Lakini kwa kuendeleza point yako umeamua kuhamisha goal post kwenda kwenye politics of ENVY na jelousy bila kutuletea uthibitisho au ushahidi wowote kuonyesha kuwa January ni mtu wa majivuno.

If anything,at this point its like you're conning yourself more than you're trying to con anyone else. Goodluck with continuing to attempt to convince yourself that you are not a loser.
 

- Ndio kwanza nasikia leo kwamba kuwa msomi sio lazima uende shule, kama hoja zenyewe ndio hizo samahani sana naona nikuachie uendelee na mnaokubaliana kwamba unaweza kuwa msomi bila kwenda shule! No wonder hatuelewani humu JF!

Respect.


FMEs!
 

Maneno yanayoandikwa kwenye forums kupitia majina bandia hayawezi kusimama kama ni maneno halisi ya mtu. Hivyo ndivyo nijuavyo.



Lakini kwa kuendeleza point yako umeamua kuhamisha goal post kwenda kwenye politics of ENVY na jelousy bila kutuletea uthibitisho au ushahidi wowote kuonyesha kuwa January ni mtu wa majivuno.

FAIL! Sihitaji kutoa uthibitisho wa maoni yangu kwa kadri nionavyo mambo. Na sina sababu ya kumwonea wivu huyo jamaa. Nimwonee wivu wa nini? What does he have that I don't? Envy and jealousy for what? Sasa umeanza kuwa mpambe in chief! Karibu kila kitu comeback yako ni "ENVY na jelousy"....huna kingine?
 
1. jifunze namna ya ku quote post

2. lete majibu ya maswali yangu

3.Soma post za leo kuhusu hii thread kabla hujarukia kujibu

- Mkulu sana GT, imetosha sasa maana hakuna jipya tena twende kwenye mijdala mingine muhimu kwa taifa, Januari hazuiwi na yoyote kugombea ubunge,

- Amesoma ana degree ya kwanza, na ana degree ya pili, amekua msaidizi wa Rais miaka mitano sasa, hivi unahitaji nini tena kwenye CV kugombea ubunge, halafu ni kijana mdogo sana kulinganisha na mijiba flani inayomlilia lilia hapa kama mitoto kumbe ni mizee ya kutupwa.

- Message sent inatosha mkuu, waachie sasa jamaa hii thread waendelee kurusha wivu na chuki! inatia kinyaa sana!

Respect.


FMEs!
 

- Saafi sana, kijana amehojiwa na amejibu inavyotakiwa yaani kielimu na kisomi sana. Eti huyu kijana hawezi ubunge, inasikitisha sana!

Respect.


FMEs!
 
More: Januari Makamba

Mr. January Y. Makamba, Chair of the Africa Working Group at the Institute for Conflict Analysis and Resolution (ICAR), Fairfax, Virginia.

Recipient of the Brenda Rubenstein Scholarship at ICAR, Mr. Makamba is also an International Organization Fellow of the UN Association and Intern at the Academy for Educational Development in Washington D.C.A MS degree in Conflict Analysis and Resolution from George Mason University will be awarded in May 2004, following his BA degree in Peace and Conflict Studies from Saint John's University (Minnesota) in 2002.

Mr. Makamba
worked for AFRICARE as Assistant Camp Manager of the Mtabila II Refugee Camp, Kasulu, Tanzania from 1995 to 1997, where he oversaw the management of a camp of more than 60,000 Burundian refugees.Later he worked summers as a Protection Assistant/Intern with the UNHCR Sub-Office in KasuluThe Carter Center (2002), and as a Researcher/Intern in the Ministry of Foreign Affairs of Tanzania, researching conflicts in the Great Lakes region of Africa as they relate to national policy (2003).

Mr. Makamba
(2001), as an Election Observer/Human Rights Intern in Atlanta and Sierra Leone with has built an extensive network of activists in politics and civil society in East and Central Africa.
 
january makamba alonga

SWALI: Wewe ni mtoto wa mwanasiasa marufu ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama Tawala CCM, Mh. Yusuph Makamba, je unafikiria kuna mategemeo makubwa yanayokuja kama dhamana ukizaliwa kwenye familia maarufu ya kisiasa kama ya Makamba?

JIBU: Kwanza kuna heshima kubwa kutambua kwamba mzazi wako ameyatoa maisha yake kwa utumishi wa umma. Kuna sacrifices ambazo kama familia lazima mzikubali kutokana na shughuli za Mzee.

Pili, kuwa na jina la Makamba kuna uzuri na ubaya wake. Uzuri wake ni kwamba wapo watu wengi katika sehemu mbalimbali za nchi hii ambao wamefanya kazi na baba na wanamheshimu sana. Kwahiyo tayari unayo network kubwa ya extended family ambao wengi wanakujua tangu uko mdogo na wanafurahishwa na wanajiona ni sehemu ya mafanikio yako, na wako tayari kukusaidia kwa ushauri au mambo mengineyo wakati wowote.

Lakini pia wapo ambao wanaona Mzee Makamba ni mtu fulani hivi hafai au mtu wa hovyo au wana kutokuelewana naye kimitizamo au kisiasa. Mara nyingi, katika mazingira ya kwetu hapa, hawa watu hawawezi kutofautisha kati ya mawazo na misimamo ya baba na mtoto. Kwahiyo, unajikuta unarithi marafiki na maadui wa baba yako hata bila ya wewe mwenyewe kutaka.

Vilevile, ukiwa mtoto wa mwanasiasa mara nyingi kuna dhana katika jamii yetu kwamba umeishi a privileged life na kwamba umeharibika au umedekezwa na kwamba huwezi kujisimamia mwenyewe. Hii si kweli. Maisha yetu sisi miaka yote yamekuwa ya kawaida sana. Nakumbuka Mzee wangu kwa mara ya kwanza amemiliki nyumba yake si muda mrefu uliopita, na ilikuwa ni nyumba ya makuti pale kijijini Kiomoni, Tanga.


Wakati wa mvua, nyumba hii ilikuwa inavuja. Tunahamisha vitanda na furniture. Na wakati tunakaa Kiomoni tulikuwa tunasoma Masiwani, Tanga Mjini ambapo ni Kilomita 12, na tulikuwa tunaenda kwa mguu, ukibahatisha ni baiskeli, na lunch ilikuwa ni mihogo ya kuchoma na maji, mama alikuwa anatupa shilingi hamsini kila asubuhi. Lakini leo kila mtu anadhani maisha yako yote umekula mkate na siagi na umepelekwa shule kwa gari.

Hata hivyo, siamini kama kuishi maisha ya shida au ya starehe kunaweza kuwa kigezo cha wema au ubaya wa mtu na uwezo au udhaifu wa mtu.


Huyu mbona tulishamzoea, anamjua kila member hapa na ana stories zake.


Hilarious!

- Unajua ukweli huwa unauma sana, sasa sio taabu kuona walioathirika na ukweli so far, lakini bado tunasimamia the subject Januari Mkamba, naona hapo juu interview yake na Michuzi Blog, saafi sana tunatka vijana kama Januari.

- I mean hizi filimbi nimezizoea hazijawahi kunitisha ila kuzidi kusimamia hoja yangu kama ninavyoendelea hapa juu.

Es!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…