Duh!! Hebu kunywa Mo energy moja ili upunguze hasira. Nitakuja kulipa.Malaya kalala na ukoo wako!unaitaje mtoto wa MTU malaya?!! Dada zako ,mama zako,shangazi zako nao Malaya pia!
Jifunze kuheshimu watu wewe!!!!
Ushabiki wa Simba na Yanga ndo uite mtu Malaya!
Malaya wewe na ukoo wenu mzima!!!
Hapo pakutengeneza jezi za wanawake nawapa kongole wanawake tulisahaulika na Mimi lazima nikanunue ka ya mobettoKwa mara ya kwanza, Wife kanitumia Picha ya Mobeto ananiambia nataka uninunulie Jezi kama hii aliyovaa Hamisa. Halafu ananiuliza eti na mimi nitapendeza kama Mobeto?
Nilichogundua ni kwamba watu wanavyozisema eti zimevuja kumbe ndio wanazitangaza!
Hivyo nawapa hongera zao Vunja bei kwa kuvujisha mzigo kabla haujaanza kuuzwa. Pia kongole kwa kutengeneza jezi maalum kwa wanawake- Dunia nzima nyie ni wabunifu wa kwanza
Na wewe ji edit mkuu Ili uwe ka mobeto
Tutolee ujinga wako kwanza nyanya ni tunda muhimuWanasimba wenzangu
Ni lini tutavumilia uhuni, utapeli,wizi,ujambakuzi, uchawi, tunaofanyiwa na mwamedi?
Licha ya kututengenezea jezi feki ambazo zinafaa kuitwa matambala na hata kudekia hazifai, lakini bado anaendesha team kiunjanja
Mpaka lini hali hii? Tumechoka kuchekwa na wenzetu yanga wenye jezi za viwango..
Binafsi sitonunua tambala hili linalifanana na nyanya pamoja na MO energy.
Nikiwa kama simba damu nimefadhaika sana na sitonunua takataka hii.
Mo atuachie team yetu.
View attachment 1922379
MO ProductsHabari zenu wanajukwaa!
Ningependa kufahamu kuwa endapo Mo Dewj angeweka Tangazo moja kwenye jezi ya Simba angepata hasara yoyote kibiashara?
Mimi naona hizi Mo 29, Mo Foundation n.k ..angezitafutia jina Moja pekee kwenye jezi.
Au matangazo mengi badala ya moja(lenye uwakilishi) yanamnufaisha vip huyu bwana mkubwa.
Wataalamu wa biashara naomba mnisaidie hapo
nikusaidieje?Tutolee ujinga wako kwanza nyanya ni tunda muhimu
Kweli watu mnapigwa hii ina mikono mibaya.. Kama sweta la baridi..View attachment 1922770
Pata kitu quality uende ukweni ukapewe na mke bila mahari [emoji2957][emoji2957]
huna mke hapo.Kwa mara ya kwanza, Wife kanitumia Picha ya Mobeto ananiambia nataka uninunulie Jezi kama hii aliyovaa Hamisa. Halafu ananiuliza eti na mimi nitapendeza kama Mobeto?
Nilichogundua ni kwamba watu wanavyozisema eti zimevuja kumbe ndio wanazitangaza!
Hivyo nawapa hongera zao Vunja bei kwa kuvujisha mzigo kabla haujaanza kuuzwa. Pia kongole kwa kutengeneza jezi maalum kwa wanawake- Dunia nzima nyie ni wabunifu wa kwanza
Kweli watu mnapigwa hii ina mikono mibaya.. Kama sweta la baridi..
Editing nyingi..
Tumepigwaa
19 mwez huuWadau naomba mnijuze,hivi Simba day itakuwa tarehe ngapi?
Dah hii kali sana
Jezi inampendeza hamisa peke yake [emoji23][emoji23]. Na apo kaeditiwa