Nitaenda tena huko January 2024.Grand barrier unasema pa kijinga?! Je, ungekutana na ubabe wa Petit barrier?!
Anyway, hizo border mbili za upande wa Gisenyi na Goma ni za kitakatifu sana. Hata Rusizi 1 na Rusizi 2 za Kamembe nazo u Yesu ni mwingi pia. Vivyo hivyo, hata border ya Bugarama na Kamanyola-napo salamu Maria ni nyingi pia.
Ngoma ipo Kasumbalesa, wenyewe wanakwambia bulaya yaani Ulaya. Huko ndiyo lililopo ungua shoka mpini ukabaki!
Kila nikikumbuga wale watoto wa mbwa pale Kanyaka, aisee sina hamu na DR.
Congo, 🙌!!
Hahaha,eti mikondoooYule kakuta nchi umejaa makondoo ndio maana alijifanya mbabe.
kwa taarifa yako tu, vikundi vingi vya wahasi vilivyojificha ktk misitu congo, vinafadhiliwa na haohao viongozi/wanasiada wa congo wakishirikiana na wazungu wa kifaransa, webelgiji na wamerekani. congo ni bad newsViongozi wanafanya kazi gani?
Ukubwa wa eneo sio tatizo,hapo tatizo uongozi ni mbovu nyoronyoroSababu ni ukubwa wa nchi... Na sehemu kubwa kuna misitu ya giza..
DRC kuna sehemu nyingine Serikali hawana habari napo
Jeshi dogo la Congo... Ndio maana UN wanapeleka... Juzi juzi Kenya walipeleka na baadhi ya nchi za AfricaUkubwa wa eneo sio tatizo,hapo tatizo uongozi ni mbovu nyoronyoro
DuhAkuogopeshe nani sasa? Wewe si wa kiume, nenda ukajionee.
Kule ukijifanya mjanja eti kioo juu wamba wanakimwaga chote na adhabu yake wanakumiminia rundo la mavi ndani ya gari halafu ndiyo mnaanza upyaaaa.
Mifuko iliyojaa kinyesi kwao wao ni moja ya silaha. Ulishawahi kukutana na harufu ya mkojo wa siku nyingi? Basi ukijifanya mjanja kinywaji chako cha kushushia utapewa mkojo wa miezi hata mitatu nyuma unywe.
Tunaposema DR ni kama Serena Hotel kwa ajili ya lunch ya shetani, elewa basi!
Congo, [emoji119]!
Ongeza nyama maana nilipanga December nitembelee GomaHivi bado mtanzania anahitajika kuwa na visa kuingia DRC?. Mwanzoni mwa mwaka huu nikiwa Gisenyi Rwanda nilipanga kuingia Goma, ubabe nilioukuta kule "Grand barrier" kulinifanya niachane na mpango huo.
Nitarudi huko tena mwakani nikiwa nimejipanga kisawa sawa.
View attachment 2680551
Mengine hawezi sema kama kutatuliwa Marinda itabaki siri yake hadi kufa au siyo asante chadema, siyo Asante CCMInaonekana kuna uliyopitia, shea nasi stori yako tujifunze kitu.
Mbona china ni kubwa na haijagawanywa ,russia vp, kwa hiyo huku afrika ili inchi iendelee ni lazima iwe na eneo dogo?DRC ili iendelee ni lazma igawanywe kutoa mataifa manne,
Congo south (katanga),
Congo East (kivu na maeneo yanayoizunguka)
Congo central (kisangani na maeneo yanayoizunguka)
Congo west (Kinshasa)
Tofauti na hapo ni ngumu mno kuitawala Congo sababu ya geographical barriers zilizopo.View attachment 2680764
Uone kwa nani Sasa, si ndo wewe utachinjwa huko ushindwe kutupa feedbackJana tu nimeingia DRC cha ajabu airtel ilipatikana na sms zikaanza kuingia kama kawa..kuhusu unyama,ukatili ni jadi ya hawa watu wanaasili ya ukorofi sana.Lakini ni wachapa kazi balaa..bado sijaona tukio lolote hatari kama mtoa mada anavyotutisha ila ngoja tuone labda mbele vitaumana....View attachment 2680785
DRC hiii, au nyingine? Km ni hii basi umetia sana chumvi
Watanzania tunahitaji la kuwa na visa ya kuingilia DRC, ingawa upo uwezekano wa kuipata pale mpakani kwa kulipa dollar mia, nilichokiona pale kila afisa ni mbabe, lugha inayotumika ni kama ile ya waharifu kituo cha polisi.Ongeza nyama maana nilipanga December nitembelee Goma
Kwa African French Speaking countries hayo ni mambo ya kawaida kwa askari mipakaniWatanzania tunahitaji la kuwa na visa ya kuingilia DRC, ingawa upo uwezekano wa kuipata pale mpakani kwa kulipa dollar mia, nilichokiona pale kila afisa ni mbabe, lugha inayotumika ni kama ile ya waharifu kituo cha polisi.