Congo DRC, imekuwa kubwa jinga, Tanzania tusijiingize!

Wakongo wanaoongea Kiswahili wameanza kushikwa huko Kinshasa inawabidi waongee Lingala Kongo inaenda kugawanyika vipande viwili. West vs East.
 
Viongozi wetu Hawa wanaolia mama, mama, mamaa Kila siku unadhani kuna wanachoelewa?
 
Rwanda washaanza kutumia mpaka silaha mpya za kivita kama drones na air defence system.Nyie mmekalia PROPAGANDA za enzi ya IDD AMIN ambapo kwa sasa mambo yamebadilika sana.Proxy wars ndio kila kitu mmejipangaje wazee😄😄
Hao akili zao wanadhani Yale makopo kuukuu wayopitisha uhuru ni silaha za kisasa, yaani sisi ni weupe sana hamna kitu, nchi Haina hata MRAP Moja.

Jeshi letu limekaa kizamani sana,
 
kila nikimkumbuka rafiki yangu Mammadou Ndala, nahisi dunia uwanja wa fujo, ni mkongo pekee ambae kama angefanikiwa angeiokoa DRC, bahati mbaya wakamuwahi rafiki yangu😭
 
Wewe unafikiri kuonyesha kisu chako hadharani ni ujanja?
Niambie vita ambayo drones zimeteka nchi!
Urusi yenyewe inapigana man to man kuteka maeneo Ukraine.
Principles za vita, kama hujui, hazijawahi kubadilika!
Hiyo man to man unadhani wanapigana na hayo magole yenu ya mwaka 1940? Hiyo vita ya ukraine hujaona kwa kiasi kikubwa drone zimetumika kuliko vita yoyote?. Jeshi letu linunue silaha za kisasa waachane na Yale makopo ya kizamani.
 
Hao akili zao wanadhani Yale makopo kuukuu wayopitisha uhuru ni silaha za kisasa, yaani sisi ni weupe sana hamna kitu, nchi Haina hata MRAP Moja.

Jeshi letu limekaa kizamani sana,
😄😄😄😄tatizo hawataki kuchalenjiwa na kuambiwa ukweli.Military drills za maana hakuna yaani sisi tukisema tuingie vitani uchumi utasagika ungaunga kama sembe😄😄😄🙌🙌🙌
 
Hiyo man to man unadhani wanapigana na hayo magole yenu ya mwaka 1940? Hiyo vita ya ukraine hujaona kwa kiasi kikubwa drone zimetumika kuliko vita yoyote?. Jeshi letu linunue silaha za kisasa waachane na Yale makopo ya kizamani.
Hakuna maana kubishana na viGnZ ambavyo hata gobole havijui ni nini!
 
Bila Congo hiyo reli inaenda wapi? Rwanda viherehere tunaweza kupeleka reli bado wakatusumbua. Burundi uchumi mdogo. Utulivu wa congo ni muhimu sana kwetu. Congo ni muhimu kwetu kuliko sisi kwao
Reli ya SGR itatumika tu, liwepo Kubwa Jinga au la!
 
Mbinu zenu hizo za zama za kale za mawe🤣🤣🤣 hakuna anayewajali kwa sasa. Wenzenu wanafanya kweli nyie mmebaki na PROPAGANDA na stori za kusadikika😆😆😆
Mkuu mbona unajibaraguza?
Wewe fanya kujikuna, uone moto!
 
Mkuu Tresor Mandala hivi Jean Pierre Bemba ambae ni kiongozi katika serikali hii mbona kimya sana...?? Au ndio hawa wana sabotage harakat za serikali maana wao ni wazee wa misituni by history!!.. nilifikiri wangeweza kuwa msaada au ndio waajiriwa na middle men wa vikundi vya uasi??
 
Sahihi kabisa..
 
Ardhi ya congo imelaaniwa...damu nyingi sana ya watu wasio na hatia imemwagika congo....hiyo damu itaendelea kuwalilia mpaka kuhama
 
Wakongo wanaoongea Kiswahili wameanza kushikwa huko Kinshasa inawabidi waongee Lingala Kongo inaenda kugawanyika vipande viwili. West vs East.
Kama jambo hilo litaleta Kutengamaa kwa Amani nchini Congo DRC bora iwe hivyo.
 
Mleta mada anaongea kama mtoto mdogo asiyejua kitu, analaumu mayenu!

Tanzania ina maslahi mapana DRC, kuiacha Kinshasa ianguke kuna madhara makubwa ya kiuchumi kwetu.
 
Niliona katika video moja jamaa kawatatufa waganga na waganguzi na kawaleta pale Ikulu ili wamsaidie katika kupigana hiyo vita. Kama akina Kinjekitile wanatoa uaguzi wao kwamba watashinda vita hiyo. Katika Karne ya 21 bado watu, tena wakubwa, wana Imani za risasi kugeuka maji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…