Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mweee alifanya kama Nebkadineza? 🤣🤣🤣Niliona katika video moja jamaa kawatatufa waganga na waganguzi na kawaleta pale Ikulu ili wamsaidie katika kupigana hiyo vita. Kama akina Kinjekitile wanatoa uaguzi wao kwamba watashinda vita hiyo. Katika Karne ya 21 bado watu, tena wakubwa, wana Imani za risasi kugeuka maji!
Ilianza na wazo la East African Community, Organisation of African Unity .....etc
Siyo kuunganisha nchi na kuwa taifa moja,watu walipinga united States of africa Ili walinde madaraka yao,maana wasingekua marais
Ubaguzi uko kila mahali dunia hii, hata ngazi ya familia kama kwenu mko 2 kuna mmoja anapendwa na baba kuliko mwenzake. Au huu nao sio ubaguzi mkuuAkafanye nini kwa wajinga,acha wauane maana wao ubaguzi ndiyo mtaji wao.
Shida yetu ni kudhurumiana wenyewe kwa wenyewe,haiwezekani nifanye kazi nilipwe kiduchu. Harafu hakuna soko la bidhaa limekaa vizuri,ni Bora hao vita Iko wazi lakini sisi vita ya dhurma.inatia laana mpaka nchi imedumaaView attachment 3243715
Congo DRC wamekuwa kubwa jinga kwa muda mrefu.
Nchi haina umoja
Nchi ni tajiri sana
Nchi haina jeshi hata la watu laki moja
Na majenerali wa Congo ni wa kukata viuno tu, hawawezi hata kujitetea mbele ya vita.
Nchi nzima hii wao ni mayenu tu na kukata viuno
Cha ajabu huyu Rais wao Tsishekedi hajui aanzie wapi kukabiliana na wapinzani wake toka Rwanda.
PK anamnyanyasa kubwa jinga, DRC -Congo.
Hili kubwa jinga limebaki kulia lia kuomba msaada wa kijeshi toka kokote duniane, wao furaha yao ni mayenu tu.
DRC Congo inakera, tena sana.
Ingekuwa ni hapa Tz , hata mimi na umri wangu ningeenda fronti, kama miaka ya kumg'oa Nduli Idi Amin.
Kweli nchi bila umoja inanyanyasika.
Wachoweza wa congo kukata viuno na kupaka CaroliteView attachment 3243715
Congo DRC wamekuwa kubwa jinga kwa muda mrefu.
Nchi haina umoja
Nchi ni tajiri sana
Nchi haina jeshi hata la watu laki moja
Na majenerali wa Congo ni wa kukata viuno tu, hawawezi hata kujitetea mbele ya vita.
Nchi nzima hii wao ni mayenu tu na kukata viuno
Cha ajabu huyu Rais wao Tsishekedi hajui aanzie wapi kukabiliana na wapinzani wake toka Rwanda.
PK anamnyanyasa kubwa jinga, DRC -Congo.
Hili kubwa jinga limebaki kulia lia kuomba msaada wa kijeshi toka kokote duniane, wao furaha yao ni mayenu tu.
DRC Congo inakera, tena sana.
Ingekuwa ni hapa Tz , hata mimi na umri wangu ningeenda fronti, kama miaka ya kumg'oa Nduli Idi Amin.
Kweli nchi bila umoja inanyanyasika.
Acha kuchomekea upumbavu wako kafanye siasa majukwaaniKongo wamekwama sababu ya corruption na nepotism, haya ni miongoni mwa mambo yanayoondoa umoja kwenye taifa.
Kelele zinazosikika nchini kila siku mara abdul, mara mama nani, tusipobadili mwelekeo kama taifa tutajikuta tumekwama sawa na Kongo.
Umeandika utumbo bora ungekaa kimyaTz tukubali tumepoteza ushawishi na mbinu tumekalia PROPAGANDA ZA MISSION ZA MWAKA 47.Na watoto wetu wenyewe UG, RW na BU. Wameanza zereu za wazi wazi maana wanatuona kama kibabu kilichojichokea.
Nchi iliyokuwa kimbilio leo anaachwa anapewa Rwanda😀😀😀.Lile swala la Msumbiji kutoa tenda kwa RW lilikuwa tusi kubwa kidiplomasia na kimedani.
📌📌📌Tubadilike tuachane na sera za ukombozi wa PAN- AFRICA NA mambo kama hayo.Dunia ya leo watu wanataka kujua msimamo wako ni upi mambo ya vuguvugu yanatuonyeshea hatupo serious!!!
Kama tusipobadilika hawa watu wa BAHIMA EMPIRE.Will spread mpaka huku.Its not safe anymore ukizingatia mtoto wa M7 haeleweki hatabiriki,Kagame nae vilevile.
Stori za kijiweniUmenikumbusha mabali sana mkuu. Kuna kipindi nchi za Kenya, Uganda na Tanzania kulianzishwa mchakato wa kuliunganisha Eneo lote hilo la nchi tatu liwe ni nchi moja na Rais mmoja. Kimbembe kilichojitokeza ni swali Nani atakuwa Nani? i.e. Nani atakuwa Rais? Je, ni Mzee Jomokenyata(rais wa Kenya), Obote(rais wa Uganda) au ni Mwl. Julius Kambarage Nyerere( Rais wa Tanzania)?? Nani atakuwa PM, ........
Nasaport 100%Mbona hata Sasa hivi DR Congo kuna Serikali za Majimbo.
Tatizo la DR Congo siyo kukosekana kwa Serikali za Majimbo, bali tatizo ni KUKOSEKANA KWA WATU WENYE AKILI NZURI ZA KUWEZA KUWAONGOZA VIZURI WATU WENGINE. Tatizo hili lipo karibia katika nchi zote kabisa za Afrika.
Endapo kama kungekuwa na Watu au Viongozi wa nchi wenye upeo mkubwa, wenye akili nzuri kabisa ya Kiuongozi, Basi DRC na Afrika yote kabisa kwa ujumla wake pangekuwa Mahali pazuri zaidi pa kuishi hapa duniani.
Afrika inakufa kwa sababu kuna Watawala Waovu na wasio na akili nzuri ambao Wamekuwa Wakiwatawala Watu badala ya Kuwaongoza.
Kumbuka kauli hii ya Rais wa zamani wa nchi ya Afrika Kusini enzi za Utawala wa Ubaguzi wa rangi Bw. Pieter W. Botha aliyesema kwamba "Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people.They are still under the process of becoming the complete human beings."
Sasa wewe ulitaka sisi tufanye nini, wakati rais wao Kubwa Jinga analia lia tu badala ya kupigana vita.Mleta mada anaongea kama mtoto mdogo asiyejua kitu, analaumu mayenu!
Tanzania ina maslahi mapana DRC, kuiacha Kinshasa ianguke kuna madhara makubwa ya kiuchumi kwetu.
Sawa mzalendo.Nyie wazalendo ndio mna haki miliki na hii nchi🤝U
Umeandika utumbo bora ungekaa kimya
Vijana wa 2000 hawatakuelwa kuwa hili lilitokea miaka ya mwanzoni mwa 60sUmenikumbusha mabali sana mkuu. Kuna kipindi nchi za Kenya, Uganda na Tanzania kulianzishwa mchakato wa kuliunganisha Eneo lote hilo la nchi tatu liwe ni nchi moja na Rais mmoja. Kimbembe kilichojitokeza ni swali Nani atakuwa Nani? i.e. Nani atakuwa Rais? Je, ni Mzee Jomokenyata(rais wa Kenya), Obote(rais wa Uganda) au ni Mwl. Julius Kambarage Nyerere( Rais wa Tanzania)?? Nani atakuwa PM, ........
Walidhihirisha UBINAFSI wa asili wa mtu mweusi.Leo wote hao hawapo wapo mavumbini huko wanaliwa na funza.Hakuna kitu wameondoka nacho zaidi ya suti zao😀😀😀Umenikumbusha mabali sana mkuu. Kuna kipindi nchi za Kenya, Uganda na Tanzania kulianzishwa mchakato wa kuliunganisha Eneo lote hilo la nchi tatu liwe ni nchi moja na Rais mmoja. Kimbembe kilichojitokeza ni swali Nani atakuwa Nani? i.e. Nani atakuwa Rais? Je, ni Mzee Jomokenyata(rais wa Kenya), Obote(rais wa Uganda) au ni Mwl. Julius Kambarage Nyerere( Rais wa Tanzania)?? Nani atakuwa PM, ........
Kipindi cha Kikwete tulifanya nini?Sasa wewe ulitaka sisi tufanye nini, wakati rais wao Kubwa Jinga analia lia tu badala ya kupigana vita.
Naam! Kama walivyoyaanzisha wenyewe.
Kwenye hali kama hiyo iliyopo hapo DRC; hata ungekuwa ni ww hungekuwa na la kufanya. Ukizingatia huyo Kubwa Jinga alishindwa kuzisoma alama za nyakati anakabiliwa na makundi 120+ yenye silaha dhidi yake. Na kama hilo halitoshi yupo Mkubwa mmoja wa nchi (Bwn. Tolu) na mwenzake mwingine wanatoa misaada ya hali na mali kwa baadhi ya vikundi hivyo.Sasa wewe ulitaka sisi tufanye nini, wakati rais wao Kubwa Jinga analia lia tu badala ya kupigana vita.
Kubwa Jinga badala ya kujitajirisha, angeorganise jeshi lenye mafunzo idadi ya laki moja tu, PK asingemnyanyasa kama anavyofanywa sasa.Kwenye hali kama hiyo iliyopo hapo DRC; hata ungekuwa ni ww hungekuwa na la kufanya. Ukizingatia huyo Kubwa Jinga alishindwa kuzisoma alama za nyakati anakabiliwa na makundi 120+ yenye silaha dhidi yake. Na kama hilo halitoshi yupo Mkubwa mmoja wa nchi (Bwn. Tolu) na mwenzake mwingine wanatoa misaada ya hali na mali kwa baadhi ya vikundi hivyo.