Congo: Wachawi wafanya tamasha la hadhara kuonyesha nguvu walizo nazo za kufanya miujiza. Waazimia kuutumia uchawi kukuza uchumi na maendeleo

Congo: Wachawi wafanya tamasha la hadhara kuonyesha nguvu walizo nazo za kufanya miujiza. Waazimia kuutumia uchawi kukuza uchumi na maendeleo

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Wachawi nchini Congo 🇨🇩 DR wamefanya tamasha la wazi lenye nia ya kuonyesha nguvu na uwezo waluo nao.

Wachawi hao kutoka majimbo 12 walikuwa wamevalia mavazi yenye rangi kali na waliweza kuonyesha shughuli zao mbalimbali ambapo waliiomba serikali ya nchi hiyo iwapatoe leseni ili waweze kuzifanya kazi zao kibiashara na kukuza uchumi.

Mshana Jr, wenzetu wameanza kuutumia uchawi kimaendeleo, sisi tunakwama wapi?

Naunga mkono mapinduzi ya teknolojia, kamwe hatuwezi kufanikiwa kwa kutegemea teknolojoa mtumba.

Uchawi ukitumika vyema utakuwa chachu ya mabadiliko ya kisayansi na teknolojoa.

Ili nchi iendelee, inahitaji teknolojia yake yenyewe tofauti na sass ambapo tuna teknolojia mtumba na elimu wanayosoma vijana wetu imeshindwa kutoa matokeo chanya ndio maana hata waliosoma sayansi wanataka wawe wanasiasa

IMG-20220127-WA0027.jpg
 
Hawa Kongo Wana record Yao World Cup, walipeleka ndege nzima imejaa waganga matokeo yake team kila mechi ilifungwa idadi kubwa ya magoli na hadi Leo record Yao ya kufungwa idadi kubwa ya magoal haijavunjwa na nchi yoyote ile.... Uchawi ni ujanja janja tu... Hakuna ukweli
 
Wachawi nchini Congo [emoji1078] DR wamefanya tamasha la wazi lenye nia ya kuonyesha nguvu na uwezo waluo nao.

Wachawi hao kutoka majimbo 12 walikuwa wamevalia mavazi yenye rangi kali na waliweza kuonyesha shughuli zao mbalimbali ambapo waliiomba serikali ya nchi hiyo iwapatoe leseni ili waweze kuzifanya kazi zao kibiashara na kukuza uchumi...
Dah sisi walirunyima kibali kaka ingekuwa nasisi sasa tunaandaa kwa mara ya tatu sasa
 
Back
Top Bottom