Congo: Wachawi wafanya tamasha la hadhara kuonyesha nguvu walizo nazo za kufanya miujiza. Waazimia kuutumia uchawi kukuza uchumi na maendeleo

Congo: Wachawi wafanya tamasha la hadhara kuonyesha nguvu walizo nazo za kufanya miujiza. Waazimia kuutumia uchawi kukuza uchumi na maendeleo

Hawa Kongo Wana record Yao World Cup, walipeleka ndege nzima imejaa waganga matokeo yake team kila mechi ilifungwa idadi kubwa ya magoli na hadi Leo record Yao ya kufungwa idadi kubwa ya magoal haijavunjwa na nchi yoyote ile.... Uchawi ni ujanja janja tu... Hakuna ukweli
Ulitumika ila ilishindikana, hata kwa Tanzania umesahau vita vya Maji Maji?
 
Uchawi ni kurudishana nyuma tu
Sasa hapo ni maangamizi ya silaha tu kama Radi nk
Hapo naona wanaonyesha silaha za maangamizi kama Russians

Ila sio maendeleo maana uchawi ni kinyume na furaha
 
Back
Top Bottom