Congo: Wachawi wafanya tamasha la hadhara kuonyesha nguvu walizo nazo za kufanya miujiza. Waazimia kuutumia uchawi kukuza uchumi na maendeleo

Uchawi ndio umewafukarisha waafrika wengi kwa kuwaamisha uwongo kwamba unaweza pata maendeleo kupitia ndumba
Si kweli, umedanganywa mambo mengi na mkoloni.
  • Huyu mtu mweusi ndiye mgunduzi wa zana za mawe.
  • Ndiye mgunduzi wa moto
  • Ndiye mgunduzi wa zana za muziki
  • Ndiye mgunduzi wa chuma na ndiye mtumiaji wa awali kabisa wa zana za chuma.
Alipokuja mzungu wahunzi wote na uzao wao aliwauawa na wengine kuwakata viganja vya mikono yao.

Walieneza dini yao kwa makali ya upanga.
 
ningepata clip ninheinjoy
 

Hio ni historia ya chuki isiyo na ushahidi,Mzungu akufika maeneo yote afrika wengine walikaa maporini Mzungu asifike hata kesho,huo utaalamu umeenda wapi.
Vipi zile nchi ambazo hazikuwahi tawaliwa na Mzungu wao utaalamu wao uliuliwa na nani.
 
Huwa najiuliza Sana jibu sipati. Hivi kwann mwafrika hakutumia uchawi Ili asichukuliwe utumwani au kutawaliwa na mkoloni.
Historia tunaypijua na kuisoma imechakachuliwa,kumbuka hata uchawi pia ni sanaa na haipo afrika tu hata waarabu na wazungu wanao uchawi wao kuna mambo ya kuzidiana na weledi ktk fani!
 

Waliyafanya haya kama njia ya kuwatisha watu kuwajengea uoga au kuuwa fikra zao.
Kama wafanyavyo magaidi kuuwa watu au kufanya ukatili Ili waogopeke.
Kwann sasa tusingewamaliza kwa uchawi hawa weupe,huoni kwamba uchawi ni technology duni Sana kama ilishindwa kumzuia mwafrika asiathiriwe na ukoloni ikiwemo tamaduni za kigeni huoni ni kitu kisicho na faida.
 
Historia tunaypijua na kuisoma imechakachuliwa,kumbuka hata uchawi pia ni sanaa na haipo afrika tu hata waarabu na wazungu wanao uchawi wao kuna mambo ya kuzidiana na weledi ktk fani!
Kwenye nyanda za uharibifu na sio ujenzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…