Congo: Wachawi wafanya tamasha la hadhara kuonyesha nguvu walizo nazo za kufanya miujiza. Waazimia kuutumia uchawi kukuza uchumi na maendeleo

Ulitumika ila ilishindikana, hata kwa Tanzania umesahau vita vya Maji Maji?
 
Uchawi ni kurudishana nyuma tu
Sasa hapo ni maangamizi ya silaha tu kama Radi nk
Hapo naona wanaonyesha silaha za maangamizi kama Russians

Ila sio maendeleo maana uchawi ni kinyume na furaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…