Hawa Kongo Wana record Yao World Cup, walipeleka ndege nzima imejaa waganga matokeo yake team kila mechi ilifungwa idadi kubwa ya magoli na hadi Leo record Yao ya kufungwa idadi kubwa ya magoal haijavunjwa na nchi yoyote ile.... Uchawi ni ujanja janja tu... Hakuna ukweli