Congo wagundua mawe yenye umeme, tutarajie ugomvi zaidi?

Congo wagundua mawe yenye umeme, tutarajie ugomvi zaidi?

Nchi za Afrika mashariki ukiondoa zile zinazotuhumiwa kufadhili vita Congo, zichukue jukumu kuilinda Congo na kuisaidia iweze kuwa na mifumo mizuri ya ulinzi na usalama.
 
A unique characteristic of tourmaline is its ability to produce and hold an electric charge when heated, or physically stressed or squeezed. These characteristics are referred to as pyroelectric and piezoelectric, respectively. This is why tourmaline is also known as “the electric stone.”

Ni vitu vya kawaida hivi
Asante mkuu hapa Mimi nimekuelewa umeleza kisayansi zaidi, well noted
 
Badili title ya thread tafadhali! Hawajagundua bali wameokota! Huyo anayeonekana kwenye video kagundua kweli? KUGUNDUA is not a simple action that even Tommy and Jerry can perform.
Kweli mkuu ameokota mawe kwenye nyuma ya nyumban yake akawa anayachezea km walivyokua wanachezea Tanzanite kule kwa wale masai
 
Nilisikia pia wana madini yanayotumika kutengeneza simu za mkononi/ vifaa vyake, hapo weka pembeni almasi, dhahabu, na madini mengine.
Nikiangalia yale magofu ya kuku wa Zabanga nachoka kabisa ule utajiri wote wameuacha uozee pale kweli?
 
Hii ni habari njema, ngoja wanasayansi waje watupe maelezo

Afadhali wewe umitamkia maneno mazuri!
Hili kichwa nazi linasema tutarajie mgogoro zaidi [emoji35] hata kama ni kuuliza, kwa nini umewaza negative, yaani jitu zima ovyooooooo sana walahi [emoji35]
 
Congo patakuwa na Amani siku ambayo Rasilimali zote zitakuwa zimekwisha chukuliwa na wanyonyaji and not otherwise

Na wewe nawe ushindwe kuinenea nchi ya mwafrika mwenzio mambo ya negative
Hivi hujui kama mdomo unaumba!
Basi nami nakwambia wewe na ukoo wako mtakuwa masikini wa kuombaomba maishani mwenu yote walahi [emoji35]
Idiot [emoji35]
 
DRC a blessed Palace of maulana, itakata kiu na shida za umeme duniani, Kagame akisikia hili mate yatamtoka! /
TSHEKED ASIMAME IMARA!
Hii inaonyesha yakuwa dunia bado ina mengi ambayo ayajagunduliwa pengine vyote vilivyogunduliwa ni roho tu.

Ubarikiwe na wewe pia kwa kuibariki nchi nyingine walahi
Remain blessed [emoji2972]
 
Na wewe nawe ushindwe kuinenea nchi ya mwafrika mwenzio mambo ya negative
Hivi hujui kama mdomo unaumba!
Basi nami nakwambia wewe na ukoo wako mtakuwa masikini wa kuombaomba maishani mwenu yote walahi [emoji35]
Idiot [emoji35]
faller wewe . hujui hata tatizo ambalo lipo Congo. unaleta mahaba ya kishamba. Tusipangiane cha kupost ma.ku wewe
 
Back
Top Bottom