Congo wagundua mawe yenye umeme, tutarajie ugomvi zaidi?

Congo wagundua mawe yenye umeme, tutarajie ugomvi zaidi?

Nishawai kusema, Afrika ina rasilimali nyingi sana ambazo bado hazijagunduliwa.

Pia kuna uwezekano wa uwepo wa madini yenye nguvu kubwa ya kiatom kuliko hata Uranium, suala la muda tu.

Afrika ilifungwa mlango wa kutiririsha utajiri wake baada ya waafrika kuzikataa nguvu zao za kiroho na kukimbilia Mifumo ya watu weupe na ndipo matatizo yalipoanza.

Yaan tangu watu weusi wawakaribishe watu weupe tangu miaka ya akina falao mpaka leo ndipo uharibifu ukatokea kwa afrika.

Watu weusi walipopoteza Nguvu zao za kiroho hata bara la Afrika na ardhi kiujumla ikaficha ule utajiri wake, mpaka pale tutakapoamka na kuzirudia asili zetu.

Huwa nasema hakuna kiongozi dunian wala mfumo wowote ule unaoweza kuiletea afrika uhuru kamili ama amani, isipokuwa nguvu ya Asili tu,

Mtahangaika kila kona na kila taifa kutafuta ulinzi na ushirikiano lkn kama hatutatafuta suluhisho la matatizo yetu bila kuwahusisha hao watu weupe basi ni kazi bure.

Hata hapa Tz pekee tu kuna rasilimali nyingi ambazo hazijagunduliwa bado, ndiomaana kuna rundo la majasusi wa kizungu kwa mgongo wa utalii huwa wanarudi afrika kuichunguza wapate kujua zile sili za kufungua utajiri wa afrika.

Hata Sanduku la Agano lipo afrika ndiomaana vurugu hazikomi, watu weupe wanachochea vurugu afrika wakiofia kama tutapata nguvu na maendeleo tunaweza kuwafanyia visasi vya utumwa ama kuwatawala, Thats is true lazima watatawaliwa tena, japo itachukuwa muda.

Tuamkeni jamn ifike mahala tuanze kujiamni sisi wenyewe na tuwafunze watoto zetu elimu iliyo sahihi na sio huo uchafu wa mashuleni.
Wenzenu wanawekeza kwenye elimu, na sayansi ndio inalipa sana kwa sasa, Unajua Wanaingiza pesa ngapi kwenye maswala ya Sayansi? Endeleeni kusema utajiri
 
UUMBAJI WA MUNGU UNAZIDI KUTAMALAKI.

MSIO AMINI MUAMINI MUNGU NA MWANAE YESU KRISTO
 
A unique characteristic of tourmaline is its ability to produce and hold an electric charge when heated, or physically stressed or squeezed. These characteristics are referred to as pyroelectric and piezoelectric, respectively. This is why tourmaline is also known as “the electric stone.”

Ni vitu vya kawaida hivi
Tourmaline zote hata hizi zinazopatikana Mererani?
 
Ni wajinga sana hao DR Congo,ninheri muwe na mkataba kama wa USA na China na Korea Kusini wao wawe ndio waangalizi wenu wa usalama Kwa kubadilishana na Mali na pia kuifanya DR Congo kuwa sehemu ya kimkakati ya USA.

Hutokaa usikie ujinga wa Vita tena na maisha yatastawi vinginevyo wakubwa wataendelea kui destabilize Kwa kutumia vibaraka Ili wapate Mali..

Ukiwapa hivyo hakuna Mali wataimaliza na Congo itaendelea.
Siyo rahis kihivyo unavyodhani.
 
Uwani kwako si yapo, sawa
Hata kwako yatakuwepo effect kama ni effect ya piezoelectric hata some plastics materials ukizi-deform au kuwa stressed zinaproduce piezoelectric ingawa efficiency yake ni minor....

What mineral has piezoelectric effect?

Some naturally piezoelectric occurring materials include Berlinite (structurally identical to quartz), cane sugar, quartz, Rochelle salt, topaz, tourmaline, and bone (dry bone exhibits some piezoelectric properties due to the apatite crystals, and the piezoelectric effect is generally thought to act as a biological ...



By the way sijaangalia hio clip kama kuna kitu wanafanya kwenye hivyo vitu mechanical deformation au kulipa jiwe stress itakuwa sio phenomena ya ajabu ila kama wamechukua tu jiwe na likawa kama battery kwa kuweka led light itakuwa ni uongo after all Youtube imejaa scams kila kona na uongo wa hali ya juu.... (Energy can never be created not destroyed)
 
Back
Top Bottom