BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Utajiri pekee ni kuwekeza kwenye elimu mkuu, hivi unajau fano Marekani anapiga pesa kaisi gani kupitai zile Copy right za makampuni yake mfano Cocacola, na wakina Peps na wengineo? Africa tunadanganywa ba madini na hatutaki kuwekeza kwenye elimuHilo ni bonge la utajiri