The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
By the way hatujui hata Cha kuyafanyiaMadini yote afrika sio yetu sisi ni walinzi na wasimamizi tu.
Wao ndio upanga bei na Wana matumizi nayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
By the way hatujui hata Cha kuyafanyiaMadini yote afrika sio yetu sisi ni walinzi na wasimamizi tu.
Wao ndio upanga bei na Wana matumizi nayo
A unique characteristic of tourmaline is its ability to produce and hold an electric charge when heated, or physically stressed or squeezed. These characteristics are referred to as pyroelectric and piezoelectric, respectively. This is why tourmaline is also known as “the electric stone.”
Ni vitu vya kawaida h
Ni wajinga sana hao DR Congo,ninheri muwe na mkataba kama wa USA na China na Korea Kusini wao wawe ndio waangalizi wenu wa usalama Kwa kubadilishana na Mali na pia kuifanya DR Congo kuwa sehemu ya kimkakati ya USA.Wawape wazungu wawekeze congo uone kama kutakuwa na takataka yoyote inaleta vurugu kule.
Usikute uliyecomment hapa tulisoma wote kama ni Geologist Ila hizi account za humu tabu tupuA unique characteristic of tourmaline is its ability to produce and hold an electric charge when heated, or physically stressed or squeezed. These characteristics are referred to as pyroelectric and piezoelectric, respectively. This is why tourmaline is also known as “the electric stone.”
Ni vitu vya kawaida hivi
Sio kweli,tusiwatupie lawama juu ya kushindwa kwetuMkuu anabeba tu, lakini hawa weupe hawa hawatalala mpaka afrika ibali tambarare bila kitu hapo bado hawajaamua kuja kuiishi.
Nashindwa kuidownload mzee nikifanikiwa naiweka.Weka ka picha au kavidio kidogo kunogesha
Tatizo la congo ni wacongo wenyeweNawaonea huruma waKongo, nchi iliyobarikiwa sana na Mungu lakini majizi yameamua kuivuruga na mkongo asinufaike hata kidogo.
Huu uzi Kagame anauangalia hukuma anasema ‘Hiiiiiii’ !!Congo patakuwa na Amani siku ambayo Rasilimali zote zitakuwa zimekwisha chukuliwa na wanyonyaji and not otherwise
Uwani kwako yamejaa tu hayo mawe, au sio?A unique characteristic of tourmaline is its ability to produce and hold an electric charge when heated, or physically stressed or squeezed. These characteristics are referred to as pyroelectric and piezoelectric, respectively. This is why tourmaline is also known as “the electric stone.”
Ni vitu vya kawaida hivi
Mbelgihi aliyeuwa wakongo zaidi ya Milioni 10 kipindi cha ukoloni?Ardhi yenye utajiri mkubwa Duniani.....kosa walilofanya ni kumfukuza mbeljick!
Una elimu ya kiwango gani? Africa elimu ni shida na ndip sababu ya haya yote, hadi hili bandiko lakoAfrika inazidi kuwa kitovu Cha Mali ghafi wa kila kitu kinachohitajika hapa Dunian sasa MUNGU nae kwa wakati wake kaamua kuineemesha tena Kongo Dr.
Inasemekana huko Kongo kwenye machimbo ya dhahabu imetokea Neema nyingine pasipo watu kujua wafanye nini pale ambapo wachimbaji wadogo wadogo walipogundua kuwa wamepata mawe yenye nguvu ya umeme.
Hii inaleta changamoto mpya kwa wanasayansi hapa Dunian kwa kupatikana mawe ambayo Yana umeme mkali tena n zaidi hata ya ule wa kuunganisha vyuma.
Kongo Dr. Inaendelea kuwa moja ya taifa lenye rasimali nyingi za kutosha chini ya ardhi lakini kumekuwa na mapigano ambayo hayajulikani yataisha lini huku ikisemekana yakuwa kumekuwa na ushawishi mkubwa kwa mataifa makubwa kiuchumu kuunga mkono au kuchochea Amani isipatikane ili iwape urahisi wa kupata utajiri iliopo hapo Kongo Dr.
SISI KAMA WATANZANIA
-kwakuwa tuna mahusiano mazuri na Kongo Dr na ukaribu tulionao kijiografia na kisiasa pia naomba mamlaka na taasisi husika zitengeneze mazingira mazuri ya kiusalama kwani Kuna vijana wengi wa kitanzania tutajilipua kwenda kutafuta ridhiki huko hvyo tunaomba Mambo ya ujirani na uana afrika mashariki utusaidie sisi ambao tutaenda huko kutafuta fursa.
Hayo mawe kwa akili zako fupi unazania yako huko congo pekee?Uwani kwako yamejaa tu hayo mawe, au sio?