Congo wagundua mawe yenye umeme, tutarajie ugomvi zaidi?

Congo wagundua mawe yenye umeme, tutarajie ugomvi zaidi?

A unique characteristic of tourmaline is its ability to produce and hold an electric charge when heated, or physically stressed or squeezed. These characteristics are referred to as pyroelectric and piezoelectric, respectively. This is why tourmaline is also known as “the electric stone.”

Ni vitu vya kawaida h
 
Wawape wazungu wawekeze congo uone kama kutakuwa na takataka yoyote inaleta vurugu kule.
Ni wajinga sana hao DR Congo,ninheri muwe na mkataba kama wa USA na China na Korea Kusini wao wawe ndio waangalizi wenu wa usalama Kwa kubadilishana na Mali na pia kuifanya DR Congo kuwa sehemu ya kimkakati ya USA.

Hutokaa usikie ujinga wa Vita tena na maisha yatastawi vinginevyo wakubwa wataendelea kui destabilize Kwa kutumia vibaraka Ili wapate Mali..

Ukiwapa hivyo hakuna Mali wataimaliza na Congo itaendelea.
 
A unique characteristic of tourmaline is its ability to produce and hold an electric charge when heated, or physically stressed or squeezed. These characteristics are referred to as pyroelectric and piezoelectric, respectively. This is why tourmaline is also known as “the electric stone.”

Ni vitu vya kawaida hivi
Usikute uliyecomment hapa tulisoma wote kama ni Geologist Ila hizi account za humu tabu tupu
 
Afrika inazidi kuwa kitovu Cha Mali ghafi wa kila kitu kinachohitajika hapa Dunian sasa MUNGU nae kwa wakati wake kaamua kuineemesha tena Kongo Dr.

Inasemekana huko Kongo kwenye machimbo ya dhahabu imetokea Neema nyingine pasipo watu kujua wafanye nini pale ambapo wachimbaji wadogo wadogo walipogundua kuwa wamepata mawe yenye nguvu ya umeme.

Hii inaleta changamoto mpya kwa wanasayansi hapa Dunian kwa kupatikana mawe ambayo Yana umeme mkali tena n zaidi hata ya ule wa kuunganisha vyuma.

Kongo Dr. Inaendelea kuwa moja ya taifa lenye rasimali nyingi za kutosha chini ya ardhi lakini kumekuwa na mapigano ambayo hayajulikani yataisha lini huku ikisemekana yakuwa kumekuwa na ushawishi mkubwa kwa mataifa makubwa kiuchumu kuunga mkono au kuchochea Amani isipatikane ili iwape urahisi wa kupata utajiri iliopo hapo Kongo Dr.

SISI KAMA WATANZANIA
-kwakuwa tuna mahusiano mazuri na Kongo Dr na ukaribu tulionao kijiografia na kisiasa pia naomba mamlaka na taasisi husika zitengeneze mazingira mazuri ya kiusalama kwani Kuna vijana wengi wa kitanzania tutajilipua kwenda kutafuta ridhiki huko hvyo tunaomba Mambo ya ujirani na uana afrika mashariki utusaidie sisi ambao tutaenda huko kutafuta fursa.
 
Weka ka picha au kavidio kidogo kunogesha
Nashindwa kuidownload mzee nikifanikiwa naiweka.

Ila n fursa hyo mzee ukiwa na mawe yako 20kg mzee tanesko utawasikia kwa jirani.

Vijana wa kitanzania tuone hii Kama fursa huko Nigeria na Kenya washaanza utaratibu wa kuelekea huko yanapopatikana
 
Hao Wapaka mkorogo wataendelea kuwa masikini,wazungu watakuja kuchukua hayo mawe wao watabaki na vita
 
Chai, tena haina iliki, maziwa wala vikorombwezo vingine.
 
Daah, kwahiyo hayo mawe ya ‘Electromotive force’ ndani yake? Duuh, aisee
 
A unique characteristic of tourmaline is its ability to produce and hold an electric charge when heated, or physically stressed or squeezed. These characteristics are referred to as pyroelectric and piezoelectric, respectively. This is why tourmaline is also known as “the electric stone.”

Ni vitu vya kawaida hivi
Uwani kwako yamejaa tu hayo mawe, au sio?
 
Nishawai kusema, Afrika ina rasilimali nyingi sana ambazo bado hazijagunduliwa.

Pia kuna uwezekano wa uwepo wa madini yenye nguvu kubwa ya kiatom kuliko hata Uranium, suala la muda tu.

Afrika ilifungwa mlango wa kutiririsha utajiri wake baada ya waafrika kuzikataa nguvu zao za kiroho na kukimbilia Mifumo ya watu weupe na ndipo matatizo yalipoanza.

Yaan tangu watu weusi wawakaribishe watu weupe tangu miaka ya akina falao mpaka leo ndipo uharibifu ukatokea kwa afrika.

Watu weusi walipopoteza Nguvu zao za kiroho hata bara la Afrika na ardhi kiujumla ikaficha ule utajiri wake, mpaka pale tutakapoamka na kuzirudia asili zetu.

Huwa nasema hakuna kiongozi dunian wala mfumo wowote ule unaoweza kuiletea afrika uhuru kamili ama amani, isipokuwa nguvu ya Asili tu,

Mtahangaika kila kona na kila taifa kutafuta ulinzi na ushirikiano lkn kama hatutatafuta suluhisho la matatizo yetu bila kuwahusisha hao watu weupe basi ni kazi bure.

Hata hapa Tz pekee tu kuna rasilimali nyingi ambazo hazijagunduliwa bado, ndiomaana kuna rundo la majasusi wa kizungu kwa mgongo wa utalii huwa wanarudi afrika kuichunguza wapate kujua zile sili za kufungua utajiri wa afrika.

Hata Sanduku la Agano lipo afrika ndiomaana vurugu hazikomi, watu weupe wanachochea vurugu afrika wakiofia kama tutapata nguvu na maendeleo tunaweza kuwafanyia visasi vya utumwa ama kuwatawala, Thats is true lazima watatawaliwa tena, japo itachukuwa muda.

Tuamkeni jamn ifike mahala tuanze kujiamni sisi wenyewe na tuwafunze watoto zetu elimu iliyo sahihi na sio huo uchafu wa mashuleni.
 
Afrika inazidi kuwa kitovu Cha Mali ghafi wa kila kitu kinachohitajika hapa Dunian sasa MUNGU nae kwa wakati wake kaamua kuineemesha tena Kongo Dr.

Inasemekana huko Kongo kwenye machimbo ya dhahabu imetokea Neema nyingine pasipo watu kujua wafanye nini pale ambapo wachimbaji wadogo wadogo walipogundua kuwa wamepata mawe yenye nguvu ya umeme.

Hii inaleta changamoto mpya kwa wanasayansi hapa Dunian kwa kupatikana mawe ambayo Yana umeme mkali tena n zaidi hata ya ule wa kuunganisha vyuma.

Kongo Dr. Inaendelea kuwa moja ya taifa lenye rasimali nyingi za kutosha chini ya ardhi lakini kumekuwa na mapigano ambayo hayajulikani yataisha lini huku ikisemekana yakuwa kumekuwa na ushawishi mkubwa kwa mataifa makubwa kiuchumu kuunga mkono au kuchochea Amani isipatikane ili iwape urahisi wa kupata utajiri iliopo hapo Kongo Dr.

SISI KAMA WATANZANIA
-kwakuwa tuna mahusiano mazuri na Kongo Dr na ukaribu tulionao kijiografia na kisiasa pia naomba mamlaka na taasisi husika zitengeneze mazingira mazuri ya kiusalama kwani Kuna vijana wengi wa kitanzania tutajilipua kwenda kutafuta ridhiki huko hvyo tunaomba Mambo ya ujirani na uana afrika mashariki utusaidie sisi ambao tutaenda huko kutafuta fursa.
Una elimu ya kiwango gani? Africa elimu ni shida na ndip sababu ya haya yote, hadi hili bandiko lako
 
Back
Top Bottom