BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Utajiri pekee ni kuwekeza kwenye elimu mkuu, hivi unajau fano Marekani anapiga pesa kaisi gani kupitai zile Copy right za makampuni yake mfano Cocacola, na wakina Peps na wengineo? Africa tunadanganywa ba madini na hatutaki kuwekeza kwenye elimuHilo ni bonge la utajiri
Thamani ipi? Wekezeni kwenye elimu, Dunia isha shift sana,Congo imebarikiwa sana, nchi ina kila kitu cha thamani, matokeo yake maliasili walizojaliwa na Mungu zimewafanya raia wake kuishi maisha mabaya, zimegeuka laana kwao, badala ya baraka..
Ajabu sana.
Nilisikia pia wana madini yanayotumika kutengeneza simu za mkononi/ vifaa vyake, hapo weka pembeni almasi, dhahabu, na madini mengine.
Zeruzeru mbeba lawama tu,mbona congo pande zingine zipo shwali tuWakuogopwa sio kagame NI ZERUZERU WA ULAYA.
Mkuu anabeba tu, lakini hawa weupe hawa hawatalala mpaka afrika ibali tambarare bila kitu hapo bado hawajaamua kuja kuiishi.Zeruzeru mbeba lawama tu,mbona congo pande zingine zipo shwali tu
Kwani Tanzania majizi yanaifanyaje?Nawaonea huruma waKongo, nchi iliyobarikiwa sana na Mungu lakini majizi yameamua kuivuruga na mkongo asinufaike hata kidogo.
Kama ni kawaida mbona hujawahi kutuhadithia. Acha uzushiA unique characteristic of tourmaline is its ability to produce and hold an electric charge when heated, or physically stressed or squeezed. These characteristics are referred to as pyroelectric and piezoelectric, respectively. This is why tourmaline is also known as “the electric stone.”
Ni vitu vya kawaida hivi
Hayo hayana msaada cheza nayo bolingo huko huko kwenuKwetu Ukerewe kuna mawe yanacheza
[emoji3575][emoji3575][emoji3575][emoji3575]Hayo hayana msaada cheza nayo bolingo huko huko kwenu
Inabidi tushangae hata copper wires sababu tukipitisha sumaku perpendicular tunapata umeme; yaani hata dynamos zote, na kule kwenye Bwawa la Nyerere ndicho kitakachofanyika (na ni the most efficient ndio maana inatumika kila kona)..., au tushangae battery au capacitors zinazohifadhi nishatiA unique characteristic of tourmaline is its ability to produce and hold an electric charge when heated, or physically stressed or squeezed. These characteristics are referred to as pyroelectric and piezoelectric, respectively. This is why tourmaline is also known as “the electric stone.”
Ni vitu vya kawaida hivi
Elimu, Elimu, Elimu mkuu.Inabidi tushangae hata copper wires sababu tukipitisha sumaku perpendicular tunapata umeme; yaani hata dynamos zote, na kule kwenye Bwawa la Nyerere ndicho kitakachofanyika (na ni the most efficient ndio maana inatumika kila kona)..., au tushangae battery au capacitors zinazohifadhi nishati
Hahaha tofauti ni mtutu tuKwani Tanzania majizi yanaifanyaje?
Huwa Nashangaa hata kwenye history unaambiwa eti mlima/ziwa Xx liligunduliwa na mtu wakati lilikuwepo tu before yeye kwenda au kupita hapo.Badili title ya thread tafadhali! Hawajagundua bali wameokota! Huyo anayeonekana kwenye video kagundua kweli? KUGUNDUA is not a simple action that even Tommy and Jerry can perform.