Mindi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2008
- 3,523
- 4,992
Jafo, nakumbuka alivyosimamia UCHAFUZI wa serikali za mitaa 2019.Mzee wa wiki ya nyungu sasa akili zimemrudia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jafo, nakumbuka alivyosimamia UCHAFUZI wa serikali za mitaa 2019.Mzee wa wiki ya nyungu sasa akili zimemrudia
LINAFIKI likubwa na wake 4Mabibi na mabwana kujifunza na kuchukua hatua bado ni jambo la kheri sana.
Pichani ni yule mpiga nyungu mbobezi:
View attachment 1732220
Kwamba anaisifia mvua? Ni wazi kuwa kuna jambo limemsibu.
Tusiwe ving'ang'anizi kama luba.
Heko Suleiman Jaffo kwa kutambua kuwa mabarakoa na social distancing vitatuvusha salama.
Jaffo ni mnafiki ,amesubiri mpaka JIWE aondoke ndio aanze kuvaa barakoa ,alaaniwe yeyote amtegemeaye binadamu.Mabibi na mabwana kujifunza na kuchukua hatua bado ni jambo la kheri sana.
Pichani ni yule mpiga nyungu mbobezi:
View attachment 1732220
Kwamba anaisifia mvua? Ni wazi kuwa kuna jambo limemsibu.
Tusiwe ving'ang'anizi kama luba.
Heko Suleiman Jaffo kwa kutambua kuwa mabarakoa na social distancing vitatuvusha salama.
Sasa mbona kawadanganya watz! yeye anavaa, watz wamejiachiaMabibi na mabwana kujifunza na kuchukua hatua bado ni jambo la kheri sana.
Pichani ni yule mpiga nyungu mbobezi:
View attachment 1732220
Kwamba anaisifia mvua? Ni wazi kuwa kuna jambo limemsibu.
Tusiwe ving'ang'anizi kama luba.
Heko Suleiman Jaffo kwa kutambua kuwa mabarakoa na social distancing vitatuvusha salama.
Si ndo kamempeleka mavumbinikagonjwa kadogo sanaa hako.
Ila promo kubwa.
Si ndo kamempeleka mavumbini
Waache wateketee tumewachoka. Mtu ana emesomea sociology anapinga science. Acha wafe tu. Na kwakuwa imepiga juu sisi roho kwatuuuu
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Au unafanya biashara ya Majeneza siku hiziAhaa wapi your lier.
Mwamba hawezi kufa na kagonjwa kadogo hivi.ila sikukatazi kuamini unavyoamini..
Mimi bado nafata nyungu,malimao na tangawizi bado nipo na magu kwa msimamo.
KIFO NI AHADI.
Hahaha aaaa ![emoji3] Eti mpiga nyungu mubobezi.Mabibi na mabwana kujifunza na kuchukua hatua bado ni jambo la kheri sana.
Pichani ni yule mpiga nyungu mbobezi:
View attachment 1732220
Kwamba anaisifia mvua? Ni wazi kuwa kuna jambo limemsibu.
Tusiwe ving'ang'anizi kama luba.
Heko Suleiman Jaffo kwa kutambua kuwa mabarakoa na social distancing vitatuvusha salama.
Au unafanya biashara ya Majeneza siku hizi