Corona: Hatua mpya hii ya Jafo ni ya kuigwa

Corona: Hatua mpya hii ya Jafo ni ya kuigwa

Barakoa ndio hatuvai hata kwa viboko na kwenye mikusanyiko siachi kwenda
 
Mabibi na mabwana kujifunza na kuchukua hatua bado ni jambo la kheri sana.

Pichani ni yule mpiga nyungu mbobezi:

View attachment 1732220

Kwamba anaisifia mvua? Ni wazi kuwa kuna jambo limemsibu.

Tusiwe ving'ang'anizi kama luba.

Heko Suleiman Jaffo kwa kutambua kuwa mabarakoa na social distancing vitatuvusha salama.
LINAFIKI likubwa na wake 4
 
Mabibi na mabwana kujifunza na kuchukua hatua bado ni jambo la kheri sana.

Pichani ni yule mpiga nyungu mbobezi:

View attachment 1732220

Kwamba anaisifia mvua? Ni wazi kuwa kuna jambo limemsibu.

Tusiwe ving'ang'anizi kama luba.

Heko Suleiman Jaffo kwa kutambua kuwa mabarakoa na social distancing vitatuvusha salama.
Jaffo ni mnafiki ,amesubiri mpaka JIWE aondoke ndio aanze kuvaa barakoa ,alaaniwe yeyote amtegemeaye binadamu.
 
Mabibi na mabwana kujifunza na kuchukua hatua bado ni jambo la kheri sana.

Pichani ni yule mpiga nyungu mbobezi:

View attachment 1732220

Kwamba anaisifia mvua? Ni wazi kuwa kuna jambo limemsibu.

Tusiwe ving'ang'anizi kama luba.

Heko Suleiman Jaffo kwa kutambua kuwa mabarakoa na social distancing vitatuvusha salama.
Sasa mbona kawadanganya watz! yeye anavaa, watz wamejiachia
 
2387201_IMG-20200501-WA0018.jpg

Piga Nyungu!! Jafo Piga Nyungu
 
Hivi nyie kenge ni lini JPM alisema msivae barakoa?
Mbona mnalawama km watoto wakambo?
 
Ahaa wapi your lier.
Mwamba hawezi kufa na kagonjwa kadogo hivi.ila sikukatazi kuamini unavyoamini..
Mimi bado nafata nyungu,malimao na tangawizi bado nipo na magu kwa msimamo.
KIFO NI AHADI.
Si ndo kamempeleka mavumbini
 
Mabibi na mabwana kujifunza na kuchukua hatua bado ni jambo la kheri sana.

Pichani ni yule mpiga nyungu mbobezi:

View attachment 1732220

Kwamba anaisifia mvua? Ni wazi kuwa kuna jambo limemsibu.

Tusiwe ving'ang'anizi kama luba.

Heko Suleiman Jaffo kwa kutambua kuwa mabarakoa na social distancing vitatuvusha salama.
Hahaha aaaa ![emoji3] Eti mpiga nyungu mubobezi.
 
Back
Top Bottom