Corona: Hatua mpya hii ya Jafo ni ya kuigwa

Corona: Hatua mpya hii ya Jafo ni ya kuigwa

Mabibi na mabwana kujifunza na kuchukua hatua bado ni jambo la kheri sana.

Pichani ni yule mpiga nyungu mbobezi:

View attachment 1732220

Kwamba anaisifia mvua? Ni wazi kuwa kuna jambo limemsibu.

Tusiwe ving'ang'anizi kama luba.

Heko Suleiman Jaffo kwa kutambua kuwa mabarakoa na social distancing vitatuvusha salama.
Kimya kimya🎶🎶
 
I predict after two weeks watendaji wote serikalini watavaa barakoa.
na wakati huo baada ya hizo wiki mbili wako hoi victims,ila vip kuvaa barakoa c watakuwa wamepingana na itikadi ya marehemu ya kuikabili corona sababu wenyewe wanasena tutayaenzi yote yale ya marehemu aliyotuachia
 
Angalia hyo namba .alafu niambie namba inaongezeka au inapungua?
View attachment 1732234
Barakoa zinaokoa Maisha jamani
Screenshot_20210323-082941.jpg
 
Nashauri wenye msimamo wa Nyungu wapige nyungu na wa titi flani tu hivi kama la Mwanamke waendelee kuvaa titi
 
Huyu si ndio alikuwa kiongozi wa season za Nyungu huyu?mbona alikuwa havai wakati Magu yupo
 
COVID aijifichi Magufuli angekuwa kaondoka nayo mama Janet sasa hivi incubation period ishapita na yeye angekuwa anaugua hata kijihoma sio kama anavyoonekana pubic mzima vile. Akili za kuambiwa changanya na zako

Jaffo anayake tu na mleta mada nae jamani apelekwe hata Nairobi kupewa chanjo maana mwenzetu akilala akiamka yeye ni kuogopa corona tu. Huyu jamaa akipata COVID kitakacho mdhuru zaidi sio vijidudu bali pressure.
 
Back
Top Bottom