Corona: Hatua mpya hii ya Jafo ni ya kuigwa

Corona: Hatua mpya hii ya Jafo ni ya kuigwa

Mabibi na mabwana kujifunza na kuchukua hatua bado ni jambo la kheri sana.

Pichani ni yule mpiga nyungu mbobezi:

View attachment 1732220

Kwamba anaisifia mvua? Ni wazi kuwa kuna jambo limemsibu.

Tusiwe ving'ang'anizi kama luba.

Heko Suleiman Jaffo kwa kutambua kuwa mabarakoa na social distancing vitatuvusha salama.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Imgekua enzi za Malaika asingethubutu !!!
 
Mabibi na mabwana kujifunza na kuchukua hatua bado ni jambo la kheri sana.

Pichani ni yule mpiga nyungu mbobezi:

View attachment 1732220

Kwamba anaisifia mvua? Ni wazi kuwa kuna jambo limemsibu.

Tusiwe ving'ang'anizi kama luba.

Heko Suleiman Jaffo kwa kutambua kuwa mabarakoa na social distancing vitatuvusha salama.
Tumbo na uchu wa madara ni kitu kibaya sana.. Bado mama Gwajima na mime wake.
 
Kamanda kaweka silaha chini kaamua kusurrender hahahaha
Jafo ana saliti kambi hata Mzee hajazikwa kweli huu ni usaliti
Wanafiki watajitokeza tu.wasupport ujinga mpaka maafa yametokea wanassepa mi simo!
 
Mabibi na mabwana kujifunza na kuchukua hatua bado ni jambo la kheri sana.

Pichani ni yule mpiga nyungu mbobezi:

View attachment 1732220

Kwamba anaisifia mvua? Ni wazi kuwa kuna jambo limemsibu.

Tusiwe ving'ang'anizi kama luba.

Heko Suleiman Jaffo kwa kutambua kuwa mabarakoa na social distancing vitatuvusha salama.
Kikulacho.
 
Mzee wa nyungu kabadilishia gia hewani fasta!
Hii ni strategy nzuri sana next move ni kusisitiza mask na nyungu basi tutashinda huku tukimtanguliza Mungu mbele.
 
Wakati wa kutafuta umwamba wa kutovaa barakoa mnakuwa wengi, lakini sandukuni unaingizwa pekee yako. Usikubali kufanya jamboblinalohusu maisha yako kwa kuwafurahisha watu wengine.

Hongera Jafo. Kosa siyo kutenda kosa bali ni kuendelea kufanya kosa hata baada ya kutambua kuwa ulikuwa umetenda kosa.
 
Mabibi na mabwana kujifunza na kuchukua hatua bado ni jambo la kheri sana.

Pichani ni yule mpiga nyungu mbobezi:

View attachment 1732220

Kwamba anaisifia mvua? Ni wazi kuwa kuna jambo limemsibu.

Tusiwe ving'ang'anizi kama luba.

Heko Suleiman Jaffo kwa kutambua kuwa mabarakoa na social distancing vitatuvusha salama.
Na huyu rais wa makalvert ya 2015 vipi?
 
Back
Top Bottom