Kimya kimya🎶🎶Mabibi na mabwana kujifunza na kuchukua hatua bado ni jambo la kheri sana.
Pichani ni yule mpiga nyungu mbobezi:
View attachment 1732220
Kwamba anaisifia mvua? Ni wazi kuwa kuna jambo limemsibu.
Tusiwe ving'ang'anizi kama luba.
Heko Suleiman Jaffo kwa kutambua kuwa mabarakoa na social distancing vitatuvusha salama.
na wakati huo baada ya hizo wiki mbili wako hoi victims,ila vip kuvaa barakoa c watakuwa wamepingana na itikadi ya marehemu ya kuikabili corona sababu wenyewe wanasena tutayaenzi yote yale ya marehemu aliyotuachiaI predict after two weeks watendaji wote serikalini watavaa barakoa.
Lakini Mungu wanataka tuchukue tahadhariIN GOD WE TRUST
View attachment 1732234
Barakoa zinaokoa Maisha jamani
Lakini Mungu wanataka tuchukue tahadhari
Hebu mwenye ile picha Jaffo akiwa na kasufuria ka michaichai aiweke ili tuweke kumbukumbu sawa.
Angalia hyo namba .alafu niambie namba inaongezeka au inapungua?View attachment 1732235
WHO Guidelines ziko proved kisayansiWHO NI NZURI KULIKO ZA KWETU?
Dah...Mkulu Jafo hii nyungu haijakamilika.....Haina mvumbasi.
WHO Guidelines ziko proved kisayansi
Takwamu unapozivuruga makusudi hapa nchini ni kwa Taifa ya nani?ndo nimekupa takwimu hapo.
Vifo vinapungua au vinaongezeka?
Takwamu unapozivuruga makusudi hapa nchini ni kwa Taifa ya nani?
Namshukuru huyu mama hajavaa baŕakoaHivi nyie kenge ni lini JPM alisema msivae barakoa?
Mbona mnalawama km watoto wakambo?
Duniani kote wanafuata WHO Guidelines wewe mbona hufuatiNimezungumzia duniani..
Hata hivyo tumuache mama samia mwenyewe ataamua.
Ikimpendeza atatangaza iwe lazma kuvaa.
Huyu si ndio alikuwa kiongozi wa season za Nyungu huyu?mbona alikuwa havai wakati Magu yupo
Na unafikiNjaa ya tumbo baba.
Duniani kote wanafuata WHO Guidelines wewe mbona hufuati