Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,187
- 1,914
- Thread starter
- #21
Tangu lini?Kwamba ccm haitaki mchezo na afya za wanyonge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu lini?Kwamba ccm haitaki mchezo na afya za wanyonge
Ulitaka yawe mtaani? Aiseee mfumo wa elimu ya Tanzania ni mbovu.Hali mbaya gani?
Mbona huku mtaani hakuna hayo makitu?
Poor Lorenzo SamikeTangu lini?
Hivi unaelewa maana ya mtaa au unataka kusema nyumba zako za jirani?Ni sawa mkuu, Hata mimi nashangaa. Huku Mtaani maisha yapo normal ila ukisikiliza kauli za viongozi unaweza dhani hali ni ya kutisha. Nafikiri viongozi wanafanya hivyo kutufanya tuchukue tahadhari,ila kiuhalisia si kiiiivo!!!.Tuendelee kuva barakoa na kusanitaizi.
Acha kulia lia bwana mdogo, ELEZA CORONA IKO WAPI?Ulitaka yawe mtaani? Aiseee mfumo wa elimu ya Tanzania ni mbovu.
Hivi unaelewa maana ya mtaa au unataka kusema nyumba zako za jirani?
Waliyokuwa wapo hospital wanatoka nchi za nje?Acha kulia lia bwana mdogo, ELEZA CORONA IKO WAPI?
Nyie wafuasi wa corona sijui mmekula maharage ya wapi?
Huku mtaani mbona hakuna hizo DELTA?
AMA?
Wodi ya Mwananyamala kama umesikiliza vizuri ile clip hakusema ni kuwa ni wodi ya wagonjwa wa covid, alisema ni wodi ya wenye matatizo ya kupumua na Mama Samia alipouliza covid? akajibiwa ndio ila wale suspect.Ukijibiwa humu utabisha ,nakushauri nenda mloganzila au wodi ya mwananyamaa ile Mh SSH alitoka nduki alipoambiwa kuna wagonjwa wa changamoto.
Sio kuugua tu mpaka kufa!! Njoo airport hapa upate Taarifa.Wewe mtaani kwako ni watu wangapi wanaugua corona?
THIBITISHA.
Hospitali gani?Waliyokuwa wapo hospital wanatoka nchi za nje?
Wodi ya Mwananyamala kama umesikiliza vizuri ile clip hakusema ni kuwa ni wodi ya wagonjwa wa covid, alisema ni wodi ya wenye matatizo ya kupumua na Mama Samia alipouliza covid? akajibiwa ndio ila wale suspect. Ingekuwa ni wodi ya wagonjwa wa corona kabisa nadhani Rais angekuwa na taarifa kabla hajaenda.Ukijibiwa humu utabisha ,nakushauri nenda mloganzila au wodi ya mwananyamaa ile Mh SSH alitoka nduki alipoambiwa kuna wagonjwa wa changamoto.
Njoo airport hapa upate Taarifa.
Umejuaje kama nitabisha?
mijitu mingine mnapata tabu kuijibu ndio hamna corona hata kama ipo sisi tutakusaidia nini na kama unajua hamna unataka tufanye niniAcha kulia lia bwana mdogo, ELEZA CORONA IKO WAPI?
Nyie wafuasi wa corona sijui mmekula maharage ya wapi?
Huku mtaani mbona hakuna hizo DELTA?
AMA?
Basi sawa. Ugua pole hizo DELTA.Nimejua maana umeshaanza kubishana huko juu.
Mbona kama una hasira sana?mijitu mingine mnapata tabu kuijibu ndio hamna corona hata kama ipo sisi tutakusaidia nini na kama unajua hamna unataka tufanye nini
Wodi ya Mwananyamala kama umesikiliza vizuri ile clip hakusema ni kuwa ni wodi ya wagonjwa wa covid, alisema ni wodi ya wenye matatizo ya kupumua na Mama Samia alipouliza covid? akajibiwa ndio ila wale suspect. Ingekuwa ni wodi ya wagonjwa wa corona kabisa nadhani Rais angekuwa na taarifa kabla hajaenda.
Hakuna lolote.Aiseee yaani hadi mama akawaambia wasaidizi wake tokeni tokeni bado unasema ni suspect?? Uzuri mama afichi anatangaza wazi kwamba hali ni mbaya.