ntaumwaje wakati umesema hamna delta pia nenda kawaulize walotangazaMbona kama una hasira sana?
Unaumwa DELTA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ntaumwaje wakati umesema hamna delta pia nenda kawaulize walotangazaMbona kama una hasira sana?
Unaumwa DELTA?
Basi sawa.Ugua pole hizo DELTA.
Walotangaza ndo nani?kawaulize walotangaza
Kwani hapo zamani kabla ya ujio wa hiyo DELTA, watu walikuwa hawafi?TANZIA - Atilio Tagalile, Mwandishi mkongwe na mdau wa JamiiForums afariki dunia
Mleta mada kachagua kutuwekea real name. Kwa sheria za JF haitakiwi kutaja vyote viwili (real name + anonymous id). This is strictly prohibited and it makes sense. Fikiria vizuri utaona mantiki yake. Homework: Hebu tutajie jina lako halisi. Telling me that our fellow JF member Atilio has died...www.jamiiforums.com
TANZIA - Kaka wa Freeman Mbowe, Charles Mbowe afariki Dunia
Taarifa zilizotufikia kutoka Chadema zinaeleza kwamba Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho amelazimika kukatisha kampeni za operesheni haki huko Zanzibar na kurejea Tanganyika baada ya kupokea taarifa za kifo cha Kaka yake aitwaye Charles Mbowe. Pia soma > Mbowe awataka wananchi...www.jamiiforums.com
TANZIA - Fr. Privatus Karugendo amefariki dunia
Baba Privatus #Karugendo amefariki dunia usiku huu. #RIPFrKarugendo Baadhi ya maandishi yake kwenye mitandao ya kijamii. 14/6/2021 “Kutafakari na kuhoji ni dalili Za uhai. Maiti haiwezi kutafakari wala kuhoji! Twaweza kuamua kuishi kama maiti au viumbe hai wenye uwezo wa kuutiisha...www.jamiiforums.com
TANZIA - Patrick Mfugale wa TANROADS afariki dunia Jijini Dodoma
Patrick Aron Nipilima Mfugale mhandisi tajwa nchini Tanzania na alikuwa mtendaji mkuu wa Mamlaka ya barabara nchini Tanzania TANROADS. Injinia Patrick A. N. Mfugale RIP ===== Mtendaji Mkuu wa Tanroads, Injinia Mfugale amefariki Jijini Dodoma. Mfugale jana aliondoka na ndege akiwa na...www.jamiiforums.com
[emoji115][emoji115][emoji115] Endelee tu kushupaza shingo mkuu ,ipo siku utakuja kuiona NGONDOIGWA.
Kwani hapo zamani kabla ya ujio wa hiyo DELTA, watu walikuwa hawafi?
Halafu umejuaje kama wamekufa kwa corona?
THIBITISHA.
Ngoja tu nikae kimya Ila maswali yangu ni Kama ya kwako. Tunaambiwa Kuna wagonjwa wengi mahospitali lkn sijabahatika kusikia kwa mtu ninayemfahamu kwamba anaumwa au anauguliwa na ndugu.Niombe kitu gani sasa?
Hakuna cha kuomba wala nini. Mimi na ndugu zangu tuko fiti hatari.
Kwani wewe unaishi wapi labda?
Umeshawahi kusikia mtu wako wa karibu amelazwa hospitali kwa tatizo la upumuaji? Nauliza kwa wema tu mkuu...maana na mimi nachanganyikiwaWodi ya Mwananyamala kama umesikiliza vizuri ile clip hakusema ni kuwa ni wodi ya wagonjwa wa covid, alisema ni wodi ya wenye matatizo ya kupumua na Mama Samia alipouliza covid? akajibiwa ndio ila wale suspect.
Ngoja tu nikae kimya Ila maswali yangu ni Kama ya kwako. Tunaambiwa Kuna wagonjwa wengi mahospitali lkn sijabahatika kusikia kwa mtu ninayemfahamu kwamba anaumwa au anauguliwa na ndugu.
Labda ipo kweli...sijui
Watakuja kutupa ukweli, tusubiriWanafanya maigizo hawa.
Hakuna cha mgonjwa wala nini!
Aga Khan hio imesheheni mitungi ya oksijen
Mimi tangu nimeanza kusikia haya makorona, hakuna mtu yeyote ninayemjua aliyewahi kuugua hata mafua.Umeshawahi kusikia mtu wako wa karibu amelazwa hospitali kwa tatizo la upumuaji? Nauliza kwa wema tu mkuu...maana na mimi nachanganyikiwa
Mimi hizo corona huwa nazisikia kwenye TV na magazeti tu.korona hakuna wanatumia nguvu kubwa kutuaminisha.hata lije wimbi la 5 zinizopo sasa ni propaganda tu.hata hayo mabarakoa labda watu wa Dar ndio wanavaa.
Kuumwa mafua wapo wanaougua, kinachonitatiza ni taarifa za kuwepo wagonjwa wengi waliolazwa mahospitalini kwa tatizo la upumuaji/corona. Hao watu ni kina nani ina maana kwa uwingi huo nisisikie mtu ninayemfahamu akisema ana mgonjwa, au mtu ninae mfahamu nijue amelazwa hospitali.Mimi tangu nimeanza kusikia haya makorona, hakuna mtu yeyote ninayemjua aliyewahi kuugua hata mafua. NEHI.
Labda tumafua mafua tu twa vumbi. Siku mbili tatu kwishnehi.
Sasa hizi DELTA inakuwaje? Ujinga mtupu!
muda mwingine twende mbele na turudi nyuma.tunashabikia sana ishu ya korona kiasi cha kuhitaji izo chanjo zao za biashara,lakini umuuliza mtu hapo mtaani kwenu nani umesikia anaugua au amekufa na korona jibu ni "hapana".Mimi hizo corona huwa nazisikia kwenye TV na magazeti tu.
Sijawahi ona mtu anaumwa corona.
Magonjwa ya hewa huwa yanasambaa kwa kasi sana, TUNGEJUA TUUUU.
Lakini hii inayoitwa sijui DELTA, ni usanii mtupu.
Hakuna DELTA yoyote. Ujinga ujinga tu.
Corona ni ugonjwa wa kwenye magazeti na mitandao ya kijamii.Labda wanataka wapige pesa za Mabeberu kama yule jirani mlevi.
Niko Mwanza, ile taarifa iliyotolewa na kilichopo mtaani ni vitu viwili tofauti kabisaaaaaaa.
Nilijaribu tu kumuuliza mama mmoja solo la kirumba kwamba wao wanakutana na watu mbali mbali wanokuja kununua mahitaji, labda kuna mfanyabiashara ambae anamfahamu imebainika alikufa kwa corona, alinijibu kuwa hakuna kitu kama icho ila anahisi labda huo ugonjwa utakuwa dar mwanza haujafika hahahahaha