#COVID19 Corona iko maeneo gani Tanzania?

#COVID19 Corona iko maeneo gani Tanzania?

muda mwingine twende mbele na turudi nyuma.tunashabikia sana ishu ya korona kiasi cha kuhitaji izo chanjo zao za biashara,lakini umuuliza mtu hapo mtaani kwenu nani umesikia anaugua au amekufa na korona jibu ni "hapana".
sasa korona tuyanayozungumzia tz kwamba tunahitaji chanjo ni nani anaeumwa?
Hapo sasa!

Hiyo chanjo sijui wanamdunga nani? Labda hao wagonjwa wa hiyo DELTA ya maigizo.

Huku mtaani watu hawataki kusikia habari za machanjo ya ajabu ajabu.
 
Corona [emoji94] DELTA Hakuna
Haiwezekani Kusowe na Hata mtu mwenye Ushuhuda kwa kweli....
na Wanaoshabikia kua ipo kiuhalisia wenyew wanajiuliza kimy kimy mbona xijafiwa na mtu zaidi ya xtor ooh Flani kafa kwa Covd
 
Acha kulia lia bwana mdogo, ELEZA CORONA IKO WAPI?

Nyie wafuasi wa corona sijui mmekula maharage ya wapi?

Huku mtaani mbona hakuna hizo DELTA?

AMA?
Swali lako ni la msingi kwamba hapa nchini korona (UVIKO) iko wapi!. Badala ya kujibu swali lako wanaporomosha matusi. Wengine wanatoa taarifa za kusikia pasipo ushahidi.

Kwenye kaya zetu, majirani, na mitaani, maisha yanaendelea kama kawaida. Ndio kuna wagonjwa, kama ilivyo kawaida, lakini panapokuwa na mlipuko wa magonjwa ya kuambukiza km cholera, hali katika jamii hubadilika na wagonjwa huonekana. Iweje walioambukizwa UVIKO, kwa jinsi maambukuzi yake yanavyotangazwa, wagonjwa wasionekane? Ati ukitaka kuwaona huende hospitali, du!!!

Inaonekana UVIKO umekuwa ni ugonjwa wa kibiashara (barakoa, sanitizers, mitungi ya gesi, nk) na kubebwa na vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na hata wanasiasa. Kila kundi, katika hayo, lina lengo lake.

Nisieleweke kuwa UVIKO haupo ila kiwango chake na maambukizi yanapambwa sana pasipo sababu. Hivyo, nami nauliza, ni maeneo gani UVIKO upo hapa nchini?
 
Ulitaka yawe mtaani? Aiseee mfumo wa elimu ya Tanzania ni mbovu.

Jamaa kabeba kichwa kama pambo au mfuko wa kubebea meno.
Ukiona umeamza kusikia hadi mtaani kwako basi ujue hapo sasa nchi ipo kwenye total danger na usiombe hali ifikie huko kwenye kila mtaa ku suffer.
 
Kuumwa mafua wapo wanaougua, kinachonitatiza ni taarifa za kuwepo wagonjwa wengi waliolazwa mahospitalini kwa tatizo la upumuaji/corona. Hao watu ni kina nani ina maana kwa uwingi huo nisisikie mtu ninayemfahamu akisema ana mgonjwa, au mtu ninae mfahamu nijue amelazwa hospitali.
Inawezekana wapo lkn si kwa uwingi unazungumziwa.
Hao wagonjwa wengi hospitalini hawana ndugu kiasi cha hizo hospitali kujaa umati unaoenda kuwajulia hali?

Wapiga picha na wadaku wako wako wapi kupitwa na tukio kubwa kama hilo?

Vyombo vya habari, hasa vya nje, viko wapi kufuatilia hiyo kauli ya Rais?

INAFIKIRISHA
 
Ukiona umeamza kusikia hadi mtaani kwako basi ujue hapo sasa nchi ipo kwenye total danger na usiombe hali ifikie huko kwenye kila mtaa ku suffer.
Iwapo kasi ya maambukizi ni hiyo inayotangazwa, basi Tanzania ingekuwa nchi yenye wagonjwa wengi wa UVIKO. Mikusanyiko ya watu haijabadilika. Wanaotumia kwa usahihi njia za kuzuia maambukizi ni wachache sana. Sasa wewe unaomba mitaani kuwe na wagonjwa, wa ugonjwa huo? Du, kweli wewe matango pori umeyabugia kisawasawa
 
Hao wagonjwa wengi hospitalini hawana ndugu kiasi cha hizo hospitali kujaa umati unaoenda kuwajulia hali?

Wapiga picha na wadaku wako wako wapi kupitwa na tukio kubwa kama hilo?

Vyombo vya habari, hasa vya nje, viko wapi kufuatilia hiyo kauli ya Rais?

INAFIKIRISHA
Inafikirisha sana, na ndio maana watu wanapuuza uvaaji wa barakoa na kunawa mikono.
Watu wanavaa barakoa wanapoenda sehemu ambazo ni lazima kuvaa,wakitoka hapo hawana habari. Hatulazimishani tena kunawa mikono kama mwanzo ilikuwa ukienda sehemu watahakikisha umenawa mikono ndo uingie upate huduma.
Hili ni wimbi la 3..sijui yanakuja mangapi huko mbeleni
 
Hey,

Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania.

Hivi majuzi juzi tumesikia taarifa lukuki kuhusu corona. Wengine nimesikia wanasema kwa sasa hili ni wimbi sijui la tatu — Wengine wanaita sijui DELTA kitu gani gani??

Majina yamekuwa mengi kidogo. Kuna DELTA na kuna wimbi.

Kiuhalisia huku Buza nilipo, hatujui hata maana ya corona. Achana na hayo sijui ma-DELTA na manini nini mengine.

Tunajiachia vibaya sana. Hakuna cha barakoa wala sanitaiza. Na tuko fiti ajabu.

Haya makorona ya DELTA huwa nayasikia kwenye magazeti na majarida tu. Mtaani hakuna cha DELTA wala bibi yake na DELTA.

Sasa hawa wajuvi wa corona wanasemaje kuhusu hili? Hiyo DELTA iko wapi hasa hapa nchini?

Maana inawezekana mimi niko Buza huku, kumbe hiyo DELTA imejificha njombe!

Wananchi tunavurugwa. Mtaani hatuoni cha DELTA wala nini, lakini usiku kucha Televisheni zote zinazungumzia DELTA.

Which is which? Tuamini TV ama tuamini uhalisia tunaouona mtaani?

Mnatuchanganya mjue?
Mkuu,
Wananchi tunatakiwa tupuuze hizi delta, bibi yake na delta, wala sijui wimbi, tutapewa presha bure. Acha wanasiasa wateseke na barakoa zao ili kuwaridhisha watu x kuwa wanapambana na corona, ila kiuharisia sisi mtaani ndiyo tunaoujua uharisia.
 
Inafikirisha sana, na ndio maana watu wanapuuza uvaaji wa barakoa na kunawa mikono.
Watu wanavaa barakoa wanapoenda sehemu ambazo ni lazima kuvaa,wakitoka hapo hawana habari. Hatulazimishani tena kunawa mikono kama mwanzo ilikuwa ukienda sehemu watahakikisha umenawa mikono ndo uingie upate huduma.
Hili ni wimbi la 3..sijui yanakuja mangapi huko mbeleni
Kuna siri kubwa nyuma ya UVIKO, ambayo hata wataalamu wetu wa afya wameamua kuificha, kwa sababu wanazozijua.

Mwishoni mwa 2019 niliugua mafua makali nikajitibu kihivyo hivyo. Ingekuwa wakati UVIKO umetangazwa, hakika ningetengwa na kupewa madawa ambayo yangeondoa uhai wangu.

Sasa hili wimbi la nne, linavyotangazwa ati ni "delta +" (kutoka India) lenye kuambukiza kwa kasi, naomba kujua Tanzania umetua wapi?
 
Kuna siri kubwa nyuma ya UVIKO, ambayo hata wataalamu wetu wa afya wameamua kuificha, kwa sababu wanazozijua.

Mwishoni mwa 2019 niliugua mafua makali nikajitibu kihivyo hivyo. Ingekuwa wakati UVIKO umetangazwa, hakika ningetengwa na kupewa madawa ambayo yangeondoa uhai wangu.

Sasa hili wimbi la nne, linavyotangazwa ati ni "delta +" (kutoka India) lenye kuambukiza kwa kasi, naomba kujua Tanzania limetua wapi?
Walisema lilianza kutua mwanza.😀
 
Hii ni UK labda hawa haja chanja ile chanjo
Coronavirus in numbers

The number of Coronavirus infections linked to the dominant Delta variant have increased by 54,268 in the past week, a rise of 34 per cent, Public Health England has said.
In a new analysis of variant cases in the UK, PHE said the Delta variant, which was first identified in India, now accounted for 99 per cent of call cases that have been genetically sequenced
 
Back
Top Bottom