Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,187
- 1,914
- Thread starter
-
- #61
Hapo sasa!muda mwingine twende mbele na turudi nyuma.tunashabikia sana ishu ya korona kiasi cha kuhitaji izo chanjo zao za biashara,lakini umuuliza mtu hapo mtaani kwenu nani umesikia anaugua au amekufa na korona jibu ni "hapana".
sasa korona tuyanayozungumzia tz kwamba tunahitaji chanjo ni nani anaeumwa?
labda wanaosafiri nchi za watu.lets wait time will tell.mimi labda wanifate na vifaruHapo sasa!
Hiyo chanjo sijui wanamdunga nani? Labda hao wagonjwa wa hiyo DELTA ya maigizo.
Huku mtaani watu hawataki kusikia habari za machanjo ya ajabu ajabu.
Hahahhaaaaaaalabda wanaosafiri nchi za watu.lets wait time will tell.mimi labda wanifate na vifaru
Chato mkuu ndo ipo
Swali lako ni la msingi kwamba hapa nchini korona (UVIKO) iko wapi!. Badala ya kujibu swali lako wanaporomosha matusi. Wengine wanatoa taarifa za kusikia pasipo ushahidi.Acha kulia lia bwana mdogo, ELEZA CORONA IKO WAPI?
Nyie wafuasi wa corona sijui mmekula maharage ya wapi?
Huku mtaani mbona hakuna hizo DELTA?
AMA?
Kwenye international airport mkuuIpo chato wapiii Wakat Juzi Demu wangu naee Anaogopa kuja huku Dar Anadai kua Corona ipo Huku
Ukiona umeamza kusikia hadi mtaani kwako basi ujue hapo sasa nchi ipo kwenye total danger na usiombe hali ifikie huko kwenye kila mtaa ku suffer.Ulitaka yawe mtaani? Aiseee mfumo wa elimu ya Tanzania ni mbovu.
Jamaa kabeba kichwa kama pambo au mfuko wa kubebea meno.
Marahaba mdogo wangu. Kiukweli nahitaji kufahamu ukweli. Tatizo wanatoa majibu kwa jazba
>>> Kila siku wagonjwa wapo kwenye TV tyuuu[emoji23][emoji23][emoji1787]Daah
Hao wagonjwa wengi hospitalini hawana ndugu kiasi cha hizo hospitali kujaa umati unaoenda kuwajulia hali?Kuumwa mafua wapo wanaougua, kinachonitatiza ni taarifa za kuwepo wagonjwa wengi waliolazwa mahospitalini kwa tatizo la upumuaji/corona. Hao watu ni kina nani ina maana kwa uwingi huo nisisikie mtu ninayemfahamu akisema ana mgonjwa, au mtu ninae mfahamu nijue amelazwa hospitali.
Inawezekana wapo lkn si kwa uwingi unazungumziwa.
Iwapo kasi ya maambukizi ni hiyo inayotangazwa, basi Tanzania ingekuwa nchi yenye wagonjwa wengi wa UVIKO. Mikusanyiko ya watu haijabadilika. Wanaotumia kwa usahihi njia za kuzuia maambukizi ni wachache sana. Sasa wewe unaomba mitaani kuwe na wagonjwa, wa ugonjwa huo? Du, kweli wewe matango pori umeyabugia kisawasawaUkiona umeamza kusikia hadi mtaani kwako basi ujue hapo sasa nchi ipo kwenye total danger na usiombe hali ifikie huko kwenye kila mtaa ku suffer.
Inafikirisha sana, na ndio maana watu wanapuuza uvaaji wa barakoa na kunawa mikono.Hao wagonjwa wengi hospitalini hawana ndugu kiasi cha hizo hospitali kujaa umati unaoenda kuwajulia hali?
Wapiga picha na wadaku wako wako wapi kupitwa na tukio kubwa kama hilo?
Vyombo vya habari, hasa vya nje, viko wapi kufuatilia hiyo kauli ya Rais?
INAFIKIRISHA
Mkuu,Hey,
Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania.
Hivi majuzi juzi tumesikia taarifa lukuki kuhusu corona. Wengine nimesikia wanasema kwa sasa hili ni wimbi sijui la tatu — Wengine wanaita sijui DELTA kitu gani gani??
Majina yamekuwa mengi kidogo. Kuna DELTA na kuna wimbi.
Kiuhalisia huku Buza nilipo, hatujui hata maana ya corona. Achana na hayo sijui ma-DELTA na manini nini mengine.
Tunajiachia vibaya sana. Hakuna cha barakoa wala sanitaiza. Na tuko fiti ajabu.
Haya makorona ya DELTA huwa nayasikia kwenye magazeti na majarida tu. Mtaani hakuna cha DELTA wala bibi yake na DELTA.
Sasa hawa wajuvi wa corona wanasemaje kuhusu hili? Hiyo DELTA iko wapi hasa hapa nchini?
Maana inawezekana mimi niko Buza huku, kumbe hiyo DELTA imejificha njombe!
Wananchi tunavurugwa. Mtaani hatuoni cha DELTA wala nini, lakini usiku kucha Televisheni zote zinazungumzia DELTA.
Which is which? Tuamini TV ama tuamini uhalisia tunaouona mtaani?
Mnatuchanganya mjue?
Kuna siri kubwa nyuma ya UVIKO, ambayo hata wataalamu wetu wa afya wameamua kuificha, kwa sababu wanazozijua.Inafikirisha sana, na ndio maana watu wanapuuza uvaaji wa barakoa na kunawa mikono.
Watu wanavaa barakoa wanapoenda sehemu ambazo ni lazima kuvaa,wakitoka hapo hawana habari. Hatulazimishani tena kunawa mikono kama mwanzo ilikuwa ukienda sehemu watahakikisha umenawa mikono ndo uingie upate huduma.
Hili ni wimbi la 3..sijui yanakuja mangapi huko mbeleni
Walisema lilianza kutua mwanza.😀Kuna siri kubwa nyuma ya UVIKO, ambayo hata wataalamu wetu wa afya wameamua kuificha, kwa sababu wanazozijua.
Mwishoni mwa 2019 niliugua mafua makali nikajitibu kihivyo hivyo. Ingekuwa wakati UVIKO umetangazwa, hakika ningetengwa na kupewa madawa ambayo yangeondoa uhai wangu.
Sasa hili wimbi la nne, linavyotangazwa ati ni "delta +" (kutoka India) lenye kuambukiza kwa kasi, naomba kujua Tanzania limetua wapi?
Tembelea hospital utajionea wanaoteseka.Hali mbaya gani?
Mbona huku mtaani hakuna hayo makitu?