#COVID19 Corona iko maeneo gani Tanzania?

#COVID19 Corona iko maeneo gani Tanzania?

Acha kulia lia bwana mdogo, ELEZA CORONA IKO WAPI?

Nyie wafuasi wa corona sijui mmekula maharage ya wapi?

Huku mtaani mbona hakuna hizo DELTA?

AMA?

Nenda hospitali ndo watakupa majibu ya watu wenye changamoto za kupumua. Kwani wewe una uwezo wa kujua afya za watu wako wote mtaani? Kikitokea kifo mtaani huwa una majibu amekufa kwa nini? Wenye majibu ni hospitali mjinga wewe.
 
Hey,

Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania.

Hivi majuzi juzi tumesikia taarifa lukuki kuhusu corona. Wengine nimesikia wanasema kwa sasa hili ni wimbi la tatu — Wengine wanaita sijui DELTA kitu gani gani??

Majina yamekuwa mengi kidogo. Kuna DELTA na kuna wimbi.

Kiuhalisia huku Buza nilipo, hatujui hata maana ya corona. Achana na hayo maDELTA na manini nini mengine.

Tunajiachia vibaya sana. Hakuna cha barakoa wala sanitaiza. Na tuko fiti ajabu.

Haya makorona ya DELTA huwa nayasikia kwenye magazeti na majarida tu. Mtaani hakuna cha DELTA wala bibi yake na DELTA.

Sasa hawa wajuvi wa corona wanasemaje kuhusu hili? Hiyo DELTA iko wapi hasa hapa nchini?

Maana inawezekana mimi niko Buza huku, kumbe hiyo DELTA imejificha njombe!

Wananchi tunavurugwa. Mtaani hatuoni cha DELTA wala nini, lakini usiku kucha Televisheni zote zinazungumzia DELTA.

Which is which? Tuamini TV ama tuamini uhalisia tunaouona mtaani?

Mnatuchanganya mjue?

Hili wimbi litakuwa wimbi #3:

IMG_20210710_185909_066.jpg


Kujifunza majina mapya kazi. Kwamba wanaitwa vipusa.
 
Kwa hiyo kipindi cha nyuma watu walikua hawafariki, acha uzwazwa.
Milishalijibu hilo swali ,kwa faida yako walikuwa wanakufa ,tangu dunia iumbwe idadi ya watu waliofariki inakadiriwa ni around 110 billions na idadi ya watu walio hai duniani ni around 7.7 billions....Kwahiyo kabla ya corona walikuwa wanakufa.....Please note tangu corona ianze ishaua watu takribani milioni 4 na idadi ya waliopata ni around 184m.
 
Hey,

Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania.

Hivi majuzi juzi tumesikia taarifa lukuki kuhusu corona. Wengine nimesikia wanasema kwa sasa hili ni wimbi la tatu — Wengine wanaita sijui DELTA kitu gani gani??

Majina yamekuwa mengi kidogo. Kuna DELTA na kuna wimbi.

Kiuhalisia huku Buza nilipo, hatujui hata maana ya corona. Achana na hayo maDELTA na manini nini mengine.

Tunajiachia vibaya sana. Hakuna cha barakoa wala sanitaiza. Na tuko fiti ajabu.

Haya makorona ya DELTA huwa nayasikia kwenye magazeti na majarida tu. Mtaani hakuna cha DELTA wala bibi yake na DELTA.

Sasa hawa wajuvi wa corona wanasemaje kuhusu hili? Hiyo DELTA iko wapi hasa hapa nchini?

Maana inawezekana mimi niko Buza huku, kumbe hiyo DELTA imejificha njombe!

Wananchi tunavurugwa. Mtaani hatuoni cha DELTA wala nini, lakini usiku kucha Televisheni zote zinazungumzia DELTA.

Which is which? Tuamini TV ama tuamini uhalisia tunaouona mtaani?

Mnatuchanganya mjue?
C19 ipo pale kunapokuwa na kamera za waandishi wa habar au kunahabar furani hv wanataka kuionesua dunia.. bt kiuhalisia kabisa hakuna c.19 inayotangazwa ila ipo Kama magonjwa mengne t ambayo tunaishi nayo..

Walitaka kusabibisha panic bt waananchi wapo imarA wameshajengwa kumtegemea Mungu na njia za asili..

Nnauhakika hata wao hawaamini umeona kilichotokea pale kkoo hakuna mtu aliekumbuka cjui barakoa na watu ni wengi... Sasa jiulze huyo barakoa inachagua wap ivaliwe?? Maana pale viongz walikuwa wanaongea t Wala hakuna Kinga...

Ukiwatiza viongz wote wanaoshabikia kuwa na hz mambo, body language yao hawaafkiani na hli ila Sasa watafanyaje?? Mjuz kuugali??

We mtazame WA anavyo kuwa akisema mkazie macho utaona kabisa Kama anasutwa na uhalisia wa mambo..
 
Hizi ni project za siri za watu matajiri wapige pesa ..chanjo ni pesa, chanjo ni ujasusi, chanjo ni agenda za siri za utawala wa kishetani, mana unawekewa microchip zinatoa taarifa za mfumo wako wote wa mwili kwao, kwa manufaa gani, hatujui, wao ndio wanajua..
Hili nalo neno mkuu
 
Wacha masikhara, Covid-19 ipo.
Ipo wapi?

acheni ujinga wenu

Pelekeni corona yenu huko kwa mabeberu

mnakazania corona ili mpewe misaada na mikopo na ili mkubalike na dunia

baadaye miaka kadhaa ikipita wazungu hao hao watakuja kuwaambia ilikuwa ni maigizo tu hata yale majeneza mliona tunazika yalikuwa majeneza matupu. Hapo mtabaki mnashangaa tu na ujuwaji wenu wa kwenye mitandao

kama alivyokufa Gaddafi ndivyo alivyokufa Magufuli na baada ya hapa hakuna kiongozi wa namna hiyo atakuja kutokea tena afrika zaidi ya vibaraka, waoga, na wapenda misaada na mikopo
 
Ipo wapi?

acheni ujinga wenu

Pelekeni corona yenu huko kwa mabeberu

mnakazania corona ili mpewe misaada na mikopo na ili mkubalike na dunia

baadaye miaka kadhaa ikipita wazungu hao hao watakuja kuwaambia ilikuwa ni maigizo tu hata yale majeneza mliona tunazika yalikuwa majeneza matupu. Hapo mtabaki mnashangaa tu na ujuwaji wenu wa kwenye mitandao

kama alivyokufa Gaddafi ndivyo alivyokufa Magufuli na baada ya hapa hakuna kiongozi wa namna hiyo atakuja kutokea tena afrika zaidi ya vibaraka, waoga, na wapenda misaada na mikopo
You sound like a crackhead
 
You sound like a crackhead
peleka corona yako huko

peleka pia lugha yako ya kikoloni kwa mabeberu wako huko

mnapata tabu sana watu mitaani wanaishi maisha ya kawaida kila siku na corona yenu haionekani
 
You sound like a crackhead
dawa ya

1. dawa ya pumu hakuna
2. dawa ya BP hakuna
3. dawa ya kisukari hakuna
4. dawa ya ukimwi hakuna
5. dawa ya aleji hakuna
6. dawa ya saratani hakuna

badala mtafute dawa ya hayo magonjwa kwanza kutwa nzima mpo bize na corona corona

corona = crown = taji la kifalme

peleka ujinga wako huko
 
Hey,

Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania.

Hivi majuzi juzi tumesikia taarifa lukuki kuhusu corona. Wengine nimesikia wanasema kwa sasa hili ni wimbi la tatu — Wengine wanaita sijui DELTA kitu gani gani??

Majina yamekuwa mengi kidogo. Kuna DELTA na kuna wimbi.

Kiuhalisia huku Buza nilipo, hatujui hata maana ya corona. Achana na hayo maDELTA na manini nini mengine.

Tunajiachia vibaya sana. Hakuna cha barakoa wala sanitaiza. Na tuko fiti ajabu.

Haya makorona ya DELTA huwa nayasikia kwenye magazeti na majarida tu. Mtaani hakuna cha DELTA wala bibi yake na DELTA.

Sasa hawa wajuvi wa corona wanasemaje kuhusu hili? Hiyo DELTA iko wapi hasa hapa nchini?

Maana inawezekana mimi niko Buza huku, kumbe hiyo DELTA imejificha njombe!

Wananchi tunavurugwa. Mtaani hatuoni cha DELTA wala nini, lakini usiku kucha Televisheni zote zinazungumzia DELTA.

Which is which? Tuamini TV ama tuamini uhalisia tunaouona mtaani?

Mnatuchanganya mjue?
Ukiiugua au kuuguliwa utajua ipo wapi
 
Back
Top Bottom