#COVID19 Corona iko maeneo gani Tanzania?

#COVID19 Corona iko maeneo gani Tanzania?

Najisikia vibaya sana mtu akibeza hivi hapa tuna misiba mibichi kabisa hatujazika na kaka yangu yuko mloganzila saa hizi hata kupumua hawezi[emoji174][emoji174] please, musifanye mzaha mnatuumiza ndugu zenu. Acheni kejeli
Kwani kabla ya hiyo corona watu walikuwa hawafi?

Huyo kaka yako ana uspesho gani mpaka asiugue?
 
Kuna daktari wa Mawenzi hospitali amefariki kwa korona jana. Korona ipo endeleeni kujiachia na kubisha
 
Unataka upate taarifa za wagonjwa mtandaoni.unadhani hapa jamii forum ni nani mwenye takwimu za wagonjwa wote tanzania.au ni nani anayepokea taarifa za wananchi wote nchi hii.badala ya wewe kuuliza swali na kuanza ubishi ulitakiwa ukafanye utafiti uko kwenye vyanzo rasmi vya taarifa badala ya kushupalia hujaona mgonjwa mtaani kwako.Tembea mahospitalini kachunguze ili uje na hoja thabiti kua corona haipo kabisa sio huo ujinga wako kwavile tu mtaani kwako hujasikia mtu anaumwa corona.Inawezekana corona bado haijachanganya sana hapa tanzania lakini hilo sio swala lakujifanya kua haipo kwasababu tunaona inavyosumbua nchi zingine.Sasa ni wakati wa wewe kuja na utafiti na majibu sahihi badala yakubishana hapa JF wakati siku utakayokufa kwa corona inawezekana hapa JF isijulikane umekufa kwa corona na akaja mwingine naye akatuambia corona hakuna kwasababu mtaani kwake hakuna aliyemsikia anaumwa au kafariki.
 
Corona [emoji94] DELTA Hakuna
Haiwezekani Kusowe na Hata mtu mwenye Ushuhuda kwa kweli....
na Wanaoshabikia kua ipo kiuhalisia wenyew wanajiuliza kimy kimy mbona xijafiwa na mtu zaidi ya xtor ooh Flani kafa kwa Covd
Wako tunaofahamu ndugu zetu wamefariki kwa corona ila hapa sio sehemu ya matangazo nasio jukumu letu kulisemea hilo.kwahiyo kama wewe halijakukuta shukuru ila usisemehe wengine.
 
Wako tunaofahamu ndugu zetu wamefariki kwa corona ila hapa sio sehemu ya matangazo nasio jukumu letu kulisemea hilo.kwahiyo kama wewe halijakukuta shukuru ila usisemehe wengine.
Na wewe usiwasemee wengine pia. Mimi mtaani kwangu hakuna msiba wa corona hata mmoja lakini mabwana Chanjo wako juu sana kwa matangazo yao.
 
unadhani hapa jamii forum ni nani mwenye takwimu za wagonjwa wote tanzania.... ... ulitakiwa ukafanye utafiti uko kwenye vyanzo rasmi vya taarifa badala ya kushupalia hakuna corona
Sasa kama takwimu hazipo, wewe umejuaje kuna corona?

Wewe ni nabii ama mchawi?

Mimi nasema hakuna corona kwa sababu hakuna wagonjwa.

Kama corona ipo thibitisha.

Weka na vyeti vya daktari vyenye ithibati halali inayotambulika, maana hauchelewi kutuwekea matakwimu ya google wewe!
 
Najisikia vibaya sana mtu akibeza hivi hapa tuna misiba mibichi kabisa hatujazika na kaka yangu yuko mloganzila saa hizi hata kupumua hawezi[emoji174][emoji174] please, musifanye mzaha mnatuumiza ndugu zenu. Acheni kejeli
Hivi magonjwa na vifo vimeanza kuwepo leo? watu wanateseka na maradhi huko mahospitalini toka hata corona bado na wanakufa, ndio maana nilikwambia mimi nilifiwa vifo vya kufuatana ndani ya wiki moja tu na hapo corona ilikuwa bado haipo, sasa wewe ukija hapa na hisia zako za ndugu zako huko ndio sisi tuone jambo kubwa wakati maisha yapo hivyo siku zote watu wanaangaika na wagonjwa huko mahospitalini kila siku na maisha yanaendelea hakuna taharuki yeyote.

Wewe unajua takwimu za vifo vya malaria na ushaona watu wakija kutia huruma humu kufiwa na ndugu zao kwa malaria ili tuone kwamba malaria ni ugonjwa hatari?
 
Back
Top Bottom