Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,130
- 6,097
Sijamtaja mjinga, ila nukuu imetandika kwenye mshono...Utanukuu mpaka mistari ya biblia, lakini utapeli mwiko!
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijamtaja mjinga, ila nukuu imetandika kwenye mshono...Utanukuu mpaka mistari ya biblia, lakini utapeli mwiko!
Iko wapi mbona siioni?
Au we unaishi wapi kwani?
Wewe mbwa unataka afe mamako ndio ujue korona ipo?Iko wapi mbona siioni?
Au we unaishi wapi kwani?
Utafiti wako umeufanyia mtaani kwako tu?Ni sawa mkuu, Hata mimi nashangaa. Huku Mtaani maisha yapo normal ila ukisikiliza kauli za viongozi unaweza dhani hali ni ya kutisha. Nafikiri viongozi wanafanya hivyo kutufanya tuchukue tahadhari,ila kiuhalisia si kiiiivo!!!.Tuendelee kuva barakoa na kusanitaizi.
Hivi unaelewa maana ya mtaa au unataka kusema nyumba zako za jirani?
Je katika mtaa wako unarecord za watu wangapi wamekwenda hospital leo?
Tusiwe na hisia za kijinga jamani!!
Anaongea utoto akijifurahisha. Aende bugando Mwanza halafu awaambie maneno Haya madaktari kama hawakumtoa nje ya mlango wakimchapa makofi ya uhakika.Unauliza corona iko wapi kweli? are on your senses?
Anakuonyesha mitungi ya gesi pale MSD iliyoletwa kwa ajili ya wagonjwa wa Korona. Wewe endelea kuamini unavyoamini na acha kuchukua tahadhari lakini tambua kuwa siku likikupata ni lako na familia yako. Na ukifa hasara ni kwa familia yako.Lengo la kupiga hiyo picha ni nini?
Anakuonyesha mitungi ya gesi pale MSD iliyoletwa kwa ajili ya wagonjwa wa Korona
Mchana huu rafiki yangu tuliyesoma wote msingi na sekondari anazikwa makaburi ya kondo bahari beach kwa shida hizi hizi za covid..
Acha matusi jibu hoja.Wewe mbwa unataka afe mamako ndio ujue korona ipo?
Kanda ya ziwa hasa Mwanza,Shinyanga,na Simiyu hali ni tete.
Hakuna lolote. Unajidanganya wewe!Sijamtaja mjinga, ila nukuu imetandika kwenye mshono...
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo mnavaa mabarakoa?Wakuu tuendelee kuchukua tahadhari
Hiyo ni picha ya mitungi ya gesi maana kwa kawaida lazima hospitali ziwe na gesi
Lengo ni ku-retire imprests ya pesa za mabeberu tulizopewa. Bado tutazika majeneza yaliyojaa mchangaLengo la kupiga hiyo picha ni nini?
Ubarikiwe mkuu maana umeamua kujitoa akili.Hata mimi jana nilizikwa makaburi ya Kinondoni kwa shida hizi hizi za COVID.