#COVID19 Corona iko maeneo gani Tanzania?

#COVID19 Corona iko maeneo gani Tanzania?

Hivi magonjwa na vifo vimeanza kuwepo leo? watu wanateseka na maradhi huko mahospitalini toka hata corona bado na wanakufa, ndio maana nilikwambia mimi nilifiwa vifo vya kufuatana ndani ya wiki moja tu na hapo corona ilikuwa bado haipo, sasa wewe ukija hapa na hisia zako za ndugu zako huko ndio sisi tuone jambo kubwa wakati maisha yapo hivyo siku zote watu wanaangaika na wagonjwa huko mahospitalini kila siku na maisha yanaendelea hakuna taharuki yeyote.

Wewe unajua takwimu za vifo vya malaria na ushaona watu wakija kutia huruma humu kufiwa na ndugu zao kwa malaria ili tuone kwamba malaria ni ugonjwa hatari?
Wewe jamaa una shida gani? Na nikionyesha hisia zangu kinakuuma nini? Mbona una umama sana? Are you a real man? Na swali linataka nini kutoka kwa mtoa mada?

Sikia... mind ur own business. Punguza shobo na watu. Wakifa ndugu zangu wewe unaumia nini? Ni ndugu zako? Ama ndo unaona wivu mpaka vifu vya ndugu za watu? U seem so immatured. [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Wewe jamaa una shida gani? Na nikionyesha hisia zangu kinakuuma nini? Mbona una umama sana? Are you a real man? Na swali linataka nini kutoka kwa mtoa mada?

Sikia... mind ur own business. Punguza shobo na watu. Wakifa ndugu zangu wewe unaumia nini? Ni ndugu zako? Ama ndo unaona wivu mpaka vifu vya ndugu za watu? U seem so immatured. [emoji706][emoji706][emoji706]
Ungekuwa hukuleta habari za ndugu zako humu halafu ukakuta mimi nazizungumzia humu hapo kweli ungeona nina shobo na ungekuwa sahihi kueleza yote hayo, ila hayo mambo ya ndugu zako umeyaleta mwenyewe tena hiari yako umetaka tuyajue na mimi nachofanya humu ni kutoa maoni tu kama wengine ujue kwamba na sisi tushauguza na kufiwa sana sasa wakati unaeleza hizo hisia zako ujue kwamba si kitu cha ajabu ukataka utumie hizo hisia kuonesha et corona inapukutisha watu.
 
Hey,

Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania.

Hivi majuzi juzi tumesikia taarifa lukuki kuhusu corona. Wengine nimesikia wanasema kwa sasa hili ni wimbi la tatu — Wengine wanaita sijui DELTA kitu gani gani??

Majina yamekuwa mengi kidogo. Kuna DELTA na kuna wimbi.

Kiuhalisia huku Buza nilipo, hatujui hata maana ya corona. Achana na hayo maDELTA na manini nini mengine.

Tunajiachia vibaya sana. Hakuna cha barakoa wala sanitaiza. Na tuko fiti ajabu.

Haya makorona ya DELTA huwa nayasikia kwenye magazeti na majarida tu. Mtaani hakuna cha DELTA wala bibi yake na DELTA.

Sasa hawa wajuvi wa corona wanasemaje kuhusu hili? Hiyo DELTA iko wapi hasa hapa nchini?

Maana inawezekana mimi niko Buza huku, kumbe hiyo DELTA imejificha njombe!

Wananchi tunavurugwa. Mtaani hatuoni cha DELTA wala nini, lakini usiku kucha Televisheni zote zinazungumzia DELTA.

Which is which? Tuamini TV ama tuamini uhalisia tunaouona mtaani?

Mnatuchanganya mjue?

Kama kweli unamaanisha swali unalouliza basi utakuwa na shida, kukusaidia tu, unatakiwa tu kuamua kutembelea hospitali za Dar es salaam utawakuta wagonjwa.
 
Ungekuwa hukuleta habari za ndugu zako humu halafu ukakuta mimi nazizungumzia humu hapo kweli ungeona nina shobo na ungekuwa sahihi kueleza yote hayo, ila hayo mambo ya ndugu zako umeyaleta mwenyewe tena hiari yako umetaka tuyajue na mimi nachofanya humu ni kutoa maoni tu kama wengine ujue kwamba na sisi tushauguza na kufiwa sana sasa wakati unaeleza hizo hisia zako ujue kwamba si kitu cha ajabu ukataka utumie hizo hisia kuonesha et corona inapukutisha watu.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Hey,

Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania.

Hivi majuzi juzi tumesikia taarifa lukuki kuhusu corona. Wengine nimesikia wanasema kwa sasa hili ni wimbi la tatu — Wengine wanaita sijui DELTA kitu gani gani??

Majina yamekuwa mengi kidogo. Kuna DELTA na kuna wimbi.

Kiuhalisia huku Buza nilipo, hatujui hata maana ya corona. Achana na hayo maDELTA na manini nini mengine.

Tunajiachia vibaya sana. Hakuna cha barakoa wala sanitaiza. Na tuko fiti ajabu.

Haya makorona ya DELTA huwa nayasikia kwenye magazeti na majarida tu. Mtaani hakuna cha DELTA wala bibi yake na DELTA.

Sasa hawa wajuvi wa corona wanasemaje kuhusu hili? Hiyo DELTA iko wapi hasa hapa nchini?

Maana inawezekana mimi niko Buza huku, kumbe hiyo DELTA imejificha njombe!

Wananchi tunavurugwa. Mtaani hatuoni cha DELTA wala nini, lakini usiku kucha Televisheni zote zinazungumzia DELTA.

Which is which? Tuamini TV ama tuamini uhalisia tunaouona mtaani?

Mnatuchanganya mjue?
Wewe upo huru tembea bila barakoa zurura uwezavyo hakuna Corona kula nchi kwa raha zote. ila usitulazimishe unachoamini wewe, sisi tunajua Corona ipo, enzi zillee zimepita.
 
Hey,

Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania.

Hivi majuzi juzi tumesikia taarifa lukuki kuhusu corona. Wengine nimesikia wanasema kwa sasa hili ni wimbi la tatu — Wengine wanaita sijui DELTA kitu gani gani??

Majina yamekuwa mengi kidogo. Kuna DELTA na kuna wimbi.

Kiuhalisia huku Buza nilipo, hatujui hata maana ya corona. Achana na hayo maDELTA na manini nini mengine.

Tunajiachia vibaya sana. Hakuna cha barakoa wala sanitaiza. Na tuko fiti ajabu.

Haya makorona ya DELTA huwa nayasikia kwenye magazeti na majarida tu. Mtaani hakuna cha DELTA wala bibi yake na DELTA.

Sasa hawa wajuvi wa corona wanasemaje kuhusu hili? Hiyo DELTA iko wapi hasa hapa nchini?

Maana inawezekana mimi niko Buza huku, kumbe hiyo DELTA imejificha njombe!

Wananchi tunavurugwa. Mtaani hatuoni cha DELTA wala nini, lakini usiku kucha Televisheni zote zinazungumzia DELTA.

Which is which? Tuamini TV ama tuamini uhalisia tunaouona mtaani?

Mnatuchanganya mjue?
Sijui hata kama ipo tunasikia kwenye tv tu wanasema ipo
 
Au ukutane na mtu aliyekariri ujinga darasani, huyo humwambii kitu.
Acha kabisa, haswa hawa madaktari wetu uchwara ni shiidaa!

Hata umpige bisu la shingo hawezi kukubali kwenda kinyume na alichokariri darasani.
 
Jana Kuna ndugu yangu ameambiwa ana covid, dah mgoja niamini ipo[emoji3]
Warongo hao. Matapeli.

Muulize hiyo corona amepimwa kwa kutumia kifaa gani? Na kimetoka wapi?

Utanambia.
 
Acha kabisa, haswa hawa madaktari wetu uchwara ni shiidaa!

Hata umpige bisu la shingo hawezi kukubali kwenda kinyume na alichokariri darasani.

Tutawaamsha tu hizo bongo zao hata kwa bakora!

Hatuwezi kuwa na makasuku wanaogeuka kuwa madalali wa chanjo za wazungu!

Wanachoweza ni kudunga tu sindano za chanjo. HAPANA.

That is not science. Ni UPUUZI.
Tena hakuna watu wanakaririshwa kama hao.
 
Hey,

Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania.

Hivi majuzi juzi tumesikia taarifa lukuki kuhusu corona. Wengine nimesikia wanasema kwa sasa hili ni wimbi la tatu — Wengine wanaita sijui DELTA kitu gani gani??

Majina yamekuwa mengi kidogo. Kuna DELTA na kuna wimbi.

Kiuhalisia huku Buza nilipo, hatujui hata maana ya corona. Achana na hayo maDELTA na manini nini mengine.

Tunajiachia vibaya sana. Hakuna cha barakoa wala sanitaiza. Na tuko fiti ajabu.

Haya makorona ya DELTA huwa nayasikia kwenye magazeti na majarida tu. Mtaani hakuna cha DELTA wala bibi yake na DELTA.

Sasa hawa wajuvi wa corona wanasemaje kuhusu hili? Hiyo DELTA iko wapi hasa hapa nchini?

Maana inawezekana mimi niko Buza huku, kumbe hiyo DELTA imejificha njombe!

Wananchi tunavurugwa. Mtaani hatuoni cha DELTA wala nini, lakini usiku kucha Televisheni zote zinazungumzia DELTA.

Which is which? Tuamini TV ama tuamini uhalisia tunaouona mtaani?

Mnatuchanganya mjue?
Njaa inatusumbua.
 
Back
Top Bottom