Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Kwaiy hujawahi ona misikitini wanauza dawa ???
Unaniuliza habari za misikitini mi naingiaga?

Wanauza dawa gani kwanza ebu tufafanulie maana skuizi hadi ugoro wanaita dawa

It's Scars
 
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?

Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?

Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.

Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?

Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.

Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.

Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.

Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but i ain't laughing?

Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.

Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?

Kwanini mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?

Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?

Hivi kweli mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?

Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?

====

Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
Mbona hata sayansi inatuaminisha 'dawa fulani inatibu (mfano) malaria na wagonjwa wanatumia hiyo dawa na wengine wanakufa?' Kuomba kunakofanya kazi ni kule 'kuomba kwa imani' (kuamini kwa uhakika) kwamba unachoomba utakipata na iwe ni katika jambo kubwa na lisilowezekana kwa njia ya kawaida. Mfano, kama unaweza kupika chakula usiombe Mungu akupikie chakula. Kama unaweza kusafiri kutoka sehemu A kwenda sehemu B usiombe Mungu akupeleke kimuujiza. Kwa hiyo tuombe katika mambo gani? Tuombe katika mambo yote - ila yale tunayoweza tumwombe Mungu atuwezeshe kuyaweza vizuri na yale tusiyoyaweza tumwombe Mungu atusaidiea tuyaweze na tunapomwomba Mungu tusimpangie siku na muda, bali tumwache yeye atusaidiea kadiri anavyoona na anavyotaka iwe. Mara nyingi tunapoomba tunampangia Mungu na pia tunaweza kuwa pia chanzo cha tatizo kutokana na mazoea yetu mabaya na hapo tukiomba bila kubadilisha tabia yetu tunakuwa kama tunajisumbua bure.
 
Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo ni bayana ya mambo yasiyoonekana.
Kutengeneza dawa sio swala la kiimani ni kitu ambacho lazima ukifanyie majaribio
so huwez kulinganisha kumwamini Mungu na swala la kutengeneza dawa coz Mungu wetu hajaribiwi.ndio maana huwez kwenda kwa Mungu na kusema "nipe dawa ili niamin kama upo" na ukapata Majibu


Sent using Jamii Forums mobile app

Kwaiyo kwa tafsiri hiyo ukisema unaamini mungu yupo maana yake unatarajia atakuwepo katika siku za mbeleni ila kwasasa hayupo siyo?



It's Scars
 
Madaktari wana dini ila mbona wanapingana na nyinyi wao wanaingia maabara kutafuta suluhu wakati nyie mnaingia misikitini kuomba?



Kama wanadini unafikiri kwanini wao hawatibu wagonjwa kwa mfumo wa dini bali sayansi?

It's Scars
Nimekwambia hao madaktari nao pia ni waumini wa dini,kungekuwa na kupingana basi hao madaktari wasingekuwa waumini wa dini au wasingekuwa madaktari ili wawe waumini wa dini tu. Kwahiyo unapozungumzia madaktari au wanasayansi bado nako kuna waumini wa dini,kwahiyo watu kuomba Mungu haina maana kwamba wanapingana na wanasayansi wenye kutafuta tiba za maradhi,watu wanaomba Mungu hadi kwenye masomo yao na hali ya kuwa bado wanasoma kwa bidii sasa sijui wewe linakushangaza nini hili la watu kuomba Mungu kuhusu haya maradhi.
 
Hakuna dini,inayoruhusu kula hivyo,bila mpangilio wa chakula.Ni sawa na kusema,kuna kampuni za magari,nyingine zimeruhusu gari zao kutofanyiwa service.Dini zote,zimeweka utaratibu wa maisha,kuanzia usafi,chakula,kujifunza,kujitibu nk.
Unaposema,mpaka wa dini nyingine wamepata maambukizi,hawa wamepata kupitiya kwa ambao hawakufuata usalama wa maisha,kufuata maagizo ya dini,sawa na barabarani,asiyefanya service ya gari yake,atamsababishia ajali,pia anayefanya service,kama kufeli break,atamgonga na kusababisha ya ajali ya wengi,kwa uzembe wa mtu mmoja.

Sent using Jamii Forums mobile app

Usiseme hakuna dini iliyorihusu, sema katika dini nilizozisoma sijakutana na maandiko hayo.

Halafu hata wewe sio kila unachokifata lazima kiwe kimeandikwa kwenye kitabu chako cha imani. Unaweza kuniambia ni mstari gani wa biblia au kuran umesema kuleni piza au baga?

Kingine nacho kiona hapa unataka sheria zako ulizoziweka nyumbani mwako zitumike hizo hizo kwa majirani mtaani kwako kote kitu ambacho hakiingii akilini.

Yani unataka sheria ambazo zimewekwa na dini yako uzitumie hizo hizo kuhalamisha vitu vinavyofanywa na dini za wenzao bila kujali nao wana sheria zao ambazo zinawaruhusu wao kufanya hivyo.

Haiwezekani yani ni sawa raisi wa tz akavunje baraza la mawaziri huko marekani wakati huko kuna miongozo ambayo wao wamejiwekea.

Pili hawa waliopata maradhi yakusababishiwa na hawa waliokula hivyo vitu, imekuaje mungu huyo aruhusu watu ambao hawahusiki na ulaji wa vitu hivyo waathirike na ugonjwa huo wakati wao hawajachangia kwa namna yeyote kuuleta huo ugonjwa?

Hivi mungu mpaka anaruhusu wasiohusika waugue inamaana haoni au hana uwezo wa kuepusha mpaka kufikia watu wanakufa kama kuku?

It's Scars
 
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?

Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?

Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.

Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?

Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.

Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.

Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.

Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but i ain't laughing?

Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.

Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?

Kwanini mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?

Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?

Hivi kweli mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?

Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?

====

Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
Acha kukejeli imani za watu na ajira za watu pia we unafikiri serikali peke yake inaweza ajili hao wote ebo!
 
Hizi biashara za dini inajulikana wazi kabisa kwamba zilikujaje hapa africa. Siku tukijikomboa kutoka kwenye janga la utumwa wa dini nadhani africa inaweza kuja kupiga hatua kubwa sana hapa duniani katika kila nyanja ili kutengeneza future nzuri kwa kizazi kijacho.
 
Ushatanguliza kutokuwa sahihi kisha ukawa hauko sahihi katika jambo ambalo ni sahihi ni kujichagulia kukosea na kutokuwa sahihi.
Nilitanguliza hilo kwasababu hakuna formula maalumu ya kufanya usahihi katika jambo ambalo si sahihi.


Naposema humjui Allah unatakiwa uelewe yaani humjui kweli.
Angekuwepo ningemjua


Allah ndio anawawezesha waja wake wafanye mambo wanayo yafanya, kwahiyo ukiona jambo limefanikiwa ujue ni kwa uwezo wa Allah amewazesha watu husika na ametaka jambo lifanikiwe na kinyume chake haliwezi kutokea wala kufanikiwa.
Hili nililitanguliza kabla na shabaha yangu nilikua nakusudia kuwalenga watu kama nyinyi. Nilijua kwa vyovyote vile kichaka hichi lazima mjifiche na hizo ndio dhana za ujinga wenu

Hakuna kinachotoka nje ya milki yake, ndio maana wanao mkana wote ni Wagonjwa wa akili na wanafikiria kitoto sana na kwa upande mmoja.
Kwanza kama kweli kuna wagonjwa wenye akili halafu wakaweza kuhoji halafu kukawa hakuna uthibitisho juu ya uwepo wake mpaka kufikia kumkana basi wagonjwa wa akili kwangu mimi nawapa kipaumbele sana kuliko wazima walioshindwa kuthibitisha madai yao

It's Scars
 
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?

Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?

Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.

Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?

Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.

Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.

Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.

Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but i ain't laughing?

Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.

Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?

Kwanini mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?

Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?

Hivi kweli mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?

Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?

====

Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
mwisho utakuja kusema mungu pia hayupo kwasababu kaacha corona imetokea?? Mana ndipo unapoelekea
 
Sasa kama huingiagi umejuaje wanaenda kuomba ??
Naskiaga azana inayowaita kwa lengo la kujumuika pamoja ili kufanya hayo maombi na uzuri hata matamasha yao nishawaona wakifanya hivyo.

Kupitia vipaza sauti nimekua nikiwasikia wakiomba lakini hutokuja kumsikia muombwaji akijibu hayo maombi

Nasaizi kuna hadi channel zao youtube wanafanya ibada kidijitari kila kitu kipo wazi ni wewe na bundle lako tu.

ila hii ya kugawa dawa sijawahi ona labda kama dawa ulikusudia unga wa alkasusu lakini hata hivyo nayenyewe haigaiwi bure bali inauzwa

It's Scars
 
Nilitanguliza hilo kwasababu hakuna formula maalumu ya kufanya usahihi katika jambo ambalo si sahihi.



Angekuwepo ningemjua



Hili nililitanguliza kabla na shabaha yangu nilikua nakusudia kuwalenga watu kama nyinyi. Nilijua kwa vyovyote vile kichaka hichi lazima mjifiche na hizo ndio dhana za ujinga wenu


Kwanza kama kweli kuna wagonjwa wenye akili halafu wakaweza kuhoji halafu kukawa hakuna uthibitisho juu ya uwepo wake mpaka kufikia kumkana basi wagonjwa wa akili kwangu mimi nawapa kipaumbele sana kuliko wazima walioshindwa kuthibitisha madai yao

It's Scars
Scars# kumbe mpk leo hujui km dunia ina mwenyewe??? Ambae ni Allah ???

Mtihani mzito huu kwa kijana wetu pole sana ndugu
 
Mtu alikua hajui kusoma wala kuandika halafu kikundi flani cha watu kikawa kinazusha uongo kua huyo asiyejua kusoma kuna kitabu kakiandika

Mpaka unakufa huwezi kuthibitisha haya unayo yasema.

Nani alisema kwamba mtume aliandika kitabu ?

Tunapoelekea sasa nitakupuuza sababu hukijui kile unacho kipinga, kwa maana unataka kuruka hali ya kuwa huna mbawa.

Yaani levele zako wewe sio kujadiliana na sisi, bali kuamua kutaka kujifunza kwanza kisha ujue.
Unanipangia nihoji kwa namna ambayo wewe utalizika?
Sikupangii kuhoji bali unatakiwa kuhoji kwa usahihi na huku ukiwa unakijua kile unacho kihoji au uwe tayari kujifunza na ujue kama hujui.
Hapo juu nimeeleza kua navyo hoji sijali upande wa pili utajiskiaje juu ya kile nilichokihoji. Kwaiyo jambo la msingi unalotakiwa utambue mi sihoji kwa kuwafurahisha wadau

Ndio maana unahoji mambo usio yajua na una hoji mambo ya uongo. Hapa unakuwa unajidanganya mwenyewe na kutokujua thamani ya muda.

Lakimi kauli yako ingekuwa na nguvu endapo ungekuwa unapatia katika kuhoji,lakini ukweli uko dhidi yako na sisi tumeona hilo, sio leo tu bali hii ndio tabia na sifa yako inayokupambanua kwa watu hasa mimi.
Ungekua uko kinyume na huo mtazamo wako tungekuona hapa ukiishambulia mada kwa kutoa hoja zenye uzito na sio kutoa viroja dhidi ya mtoa mada. Nitakua sahihi kukuita zwazwa hapa?

Wenye akili timamu wameshaona nani "sifuri kisirani".

Lakini mpaka hapa mada yako nimeshaimaliza na kuivunjilia mbali na ndio maana nikalionyesha hilo, na nikasema kwa sasa nasoma maoni ya wadau, ila hakuna jipya zaidi ya wewe kurudia maswali uliyo jibiwa, huu ni uzwa zwa ulio pea.

Ukithibitisha ya kuwa mimi ni zwa zwa kweli ruksa kuniita zwa zwa, ila wewe ni zwa zwa kweli, ndio maana nakuita zwa zwa na hilo nimelithibitisha, na ukitaka nilithibitishe tena na tena, uwezo huo ninao.
Mimi hunipangii namna ya kuhoji ni kama tu saizi navyo kujibu bila wewe kunipangia namna ya majibu unayoyataka. Huna na jibu kwa namna ambayo mtu ana hoji sijibu ilimradi zurri na watu wengine wafurahi
Hakuna anae taka kukupangia wala sikuwahi kuwaza ila unatakiwa ukihoji uhoji kwa usahihi na uhoji vya maana.

Pili, hii ni ishara ya kuishiwa hoja, na mimi huku nacheka sana. Hatutaki kufurahishwa na wewe bali huzuni yetu ni ile namna ya kukosea katika kuhoji, hapa ndipo unapo tupa simanzi maana matokeo yake ni kama haya una kuwa na wenge na kuandika visivyo na maana.

Tatu, nakukumbusha tu ya kuwa siku nyingine ukiona nimesema kazi yangu nimemaliza ujue nimemaliza kweli na ukitaka kujitutumua lazima utalamba mchanga na kifedheheka kama unavyofedheheka sasa.
Hivyo ndivyo nilivyo ukweli mchungu ni bora zaidi kuliko uongo mtamu, siwezi nikahoji kwa namna ambayo wewe unataka uhojiwe ilimradi tu ufurahi

Nacheka sana, ajabu naweza kukuomba uonyeshe ukweli mchungu ulio usema au kuuandika humu ukashindwa kufanya hivyo.

Wenye akili wataona na ukweli huu utafika mpaka kule na hakuna kinacho kaa juu ya ukweli.

Ahsante.
 
Mbona hata sayansi inatuaminisha 'dawa fulani inatibu (mfano) malaria na wagonjwa wanatumia hiyo dawa na wengine wanakufa?' Kuomba kunakofanya kazi ni kule 'kuomba kwa imani' (kuamini kwa uhakika) kwamba unachoomba utakipata na iwe ni katika jambo kubwa na lisilowezekana kwa njia ya kawaida. Mfano, kama unaweza kupika chakula usiombe Mungu akupikie chakula. Kama unaweza kusafiri kutoka sehemu A kwenda sehemu B usiombe Mungu akupeleke kimuujiza. Kwa hiyo tuombe katika mambo gani? Tuombe katika mambo yote - ila yale tunayoweza tumwombe Mungu atuwezeshe kuyaweza vizuri na yale tusiyoyaweza tumwombe Mungu atusaidiea tuyaweze na tunapomwomba Mungu tusimpangie siku na muda, bali tumwache yeye atusaidiea kadiri anavyoona na anavyotaka iwe. Mara nyingi tunapoomba tunampangia Mungu na pia tunaweza kuwa pia chanzo cha tatizo kutokana na mazoea yetu mabaya na hapo tukiomba bila kubadilisha tabia yetu tunakuwa kama tunajisumbua bure.

Kwanza unatakiwa uweke wazi unachokijadili kina sifa zote ambazo kukitokea damage kitu hicho itakua haki kupewa lawama

Hiyo sayansi inasifa ya ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote kiasi kwamba ifanye kitu bila kukosea au haina sifa hizo?



It's Scars
 
Scars# kumbe mpk leo hujui km dunia ina mwenyewe??? Ambae ni Allah ???

Mtihani mzito huu kwa kijana wetu pole sana ndugu
We ulijuaje ndugu hebu nijuze namimi nipate hayo maarifa

It's Scars
 
Zurri,
Ndugu yangu zurri achana na huyo scars kashafundishwa kuwa uislamu ni dini ya majini na waislamu ni watu wa hovyo wasiofaa bali yesu ndio mungu mkuu kisha anatoa sadaka watu wanatia mfukon wanasepa.akili yake ndogo kisenge huyo scars# unaweza bishana nae hadi asubuhi asikuelewe.

vichwa vizito km vimefungwa vipuli vya reli hao wamekariri mtume muhammad ati kaoa mtoto mdogo? Hivi mtoto mdogo anaolewaje kwa mfano? Mara ooh mtume alikuwa hajui kusoma mara ooh mnafuga majini mara sijui mungu wenu haonekani so hatuwez kumuamini basi upumbavu ni mwingi ndio maana saa zingine unawaacha tu mwamposa awapige hela za mafuta ya baraka
 
Vitu usivyo viamin hasa din usilaximishe wengine wafate unavyo amini wewe din sio siasa sawa boss CC tunao Amin tunaamin kwamba ukimkasirisha muumba wako akija kutoa adhabu hua anatoa kwa wote hachagui Kama watenda maovu wako dar bas atausulubu dar mzima so sisi tunao Amin hatutakiw kuku kejel wewe usie Amin cos ni HAKI yako Ila pia nawewe fanya ivyo ivyo kwetu. Scars,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilitanguliza hilo kwasababu hakuna formula maalumu ya kufanya usahihi katika jambo ambalo si sahihi.
Kushindwa kwako kuonyesha ya kuwa jambo si sahihi, kunaonyesha "uzwa zwa" wako na wewe ni muongo wa kauli, sababu unacho kinadi kipo dhidi yako.

Sasa nakurudisha katika kauli yako huko nyuma kisha ujihukumu mwenyewe. Hatulei ujinga na hili huwa nakariri mara kwa mara.
Angekuwepo ningemjua

Nacheka sana, sasa angekuwepo vipi wakati hajawahi kutokuwepo.

Huu muda wenyewe yeye ndio ameuumba. Hakuna raha kama kumsoma na kumjua Mola aliye tuumba, yaani hatutumii nguvu kujibu mawazo yenu (Hizi hazina hadhi ya kuitwa hoja).

Ajabu na raha iliyoje mpaka unakufa hutaweza kuthibitisha kutokuwepo kwake, ukae wewe na wakubwa zako,hamtoweza wala hamkuwahi kuweza.
Hili nililitanguliza kabla na shabaha yangu nilikua nakusudia kuwalenga watu kama nyinyi. Nilijua kwa vyovyote vile kichaka hichi lazima mjifiche na hizo ndio dhana za ujinga wenu
Nakukumbusha tu ya kuwa nikisema kazi yangu nimemaliza, haya ndio matokeo yake.

Kijana jenga hoja acha kutapa tapa.
Kwanza kama kweli kuna wagonjwa wenye akili halafu wakaweza kuhoji halafu kukawa hakuna uthibitisho juu ya uwepo wake mpaka kufikia kumkana basi wagonjwa wa akili kwangu mimi nawapa kipaumbele sana kuliko wazima walioshindwa kuthibitisha madai yao
Tumesema mnahoji visivyo sahihi na kweli ni wagonjwa wa akili, hakuna paliposemwa kila mgonjwa wa akili hana uwezo wa kuhoji, hivi ukiambiwa kuna watu hapa duniani wanatembea lakini ni "WAFU" unaelewa nini ?

Nakujuza kwa ufupi hata wale ambao hawana elimu juu ya Muumba nao huitwa "Maiti/Wafu" na ndio hivyo hivyo mpaka kwa wagonjwa wa akili.

Kisha nikija nakupa sifa za mtu mwenye akili ni nani, na akili ni nini na kwanini iliitwa "akili".

Ahsante.
 
Back
Top Bottom