Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Sababu kazi yangu nimeimaliza, ngoja niendelee kusoma maoni ya wadau huku nikijifunza mawili matatu.

Ahsante.
 
Usijidai unaijua dini kuliko wenzako wanao hubiri huku wamevaa mask

Na wala usijidai unaijua dini kuliko wale waliokuzuia usiende kwao kama ulivyozoea siku zote kuwafata ili kupata elimu ya dini

It's Scars
Hapo comment yangu wapi nimejizungumzia Mimi najua DINI ??????
Kusema Wewe hujui kuendesha gari Kwaiy Mimi ndio Najua ?????

Eti mtu unataka kwamba kwakua watu waanaamini MUNGU. Basi wasiumwe kwamba MUNGU yupo, Basi wasipatwe na matatizo kwamba MUNGU yupo, Unataka Wawe na Maisha ya Raaaha kisa Wanaamini MUNGU, We una akili kweli Wewe ??

Hiyo Haipo hivyo Bwasheee,Ungekua Unajua usinge andika Upuuzi huo

Labda nikuulize. Huu ulimwengu Ulianzaje ?? Where life Starts ??
Kwamba vilitokea tuu from No where sio ??
 
Jamaa sijui una ugomvi na dini au sijui vp..halafu jinsi unavyoelezea dini ni kama vile ni kakundi tu cha wafu fulani kumbe hadi hao madaktari wanaokutibu pia nao waumini wa dini.
 
Swala hilo linaweza ku-make sense iwapo utasema mungu hayupo au umtoe zile sifa zake ambazo ukimtoa anakua kama bushman tu


Kwasababu katika ulimwengu ambao mungu mwenye ujuzi wote, upendo wote na uwezo wote yupo basi hatutegemei kuona wizi ukiwepo

Ukisema wizi upo na mungu huyu yupo hapo inakua ngumu kueleweka, ila ukikitoa kimoja wapo kati ya hivyo viwili (mungu na wizi) basi hoja yako itakua thabiti kabisa

Sasa tunaona wizi upo

It's Scars
Mwanadamu sio kwamba mpaka awepo dereva ndo linatembea, nini maana ya akili na utashi tumeopewa na Mungu, kama unataka mpaka ukibanwa kwenda uani akupeleke Mungu, ndo uamini yupo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo comment yangu wapi nimejizungumzia Mimi najua DINI ??????
Kusema Wewe hujui kuendesha gari Kwaiy Mimi ndio Najua ?????

Eti mtu unataka kwamba kwakua watu waanaamini MUNGU. Basi wasiumwe kwamba MUNGU yupo, Basi wasipatwe na matatizo kwamba MUNGU yupo, Unataka Wawe na Maisha ya Raaaha kisa Wanaamini MUNGU, We una akili kweli Wewe ??

Hiyo Haipo hivyo Bwasheee,Ungekua Unajua usinge andika Upuuzi huo

Labda nikuulize. Huu ulimwengu Ulianzaje ?? Where life Starts ??
Kwamba vilitokea tuu from No where sio ??
Hajitambui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ndipo ulipoharibu, nilitaka nisikujibu kuacha wakiona wakujibu.

Kwa ufupi niko mbioni, kuongeza mke wa pili mzee.

Ahsante.
Mufti usiongeze jiko kwanza subiri korona ipite

Hii ni hadha mantashari mufti.. si kitu cha maskhara.! imefanya shetani asipigike mawe mwaka huu, utalii hakuna saudia.!

Hivi maji ya ZamZam hayatibu hii kitu..!? Maana yana vitu vingi yale mufti


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tamko "zwazwa" sio tusi, hasa likiwekwa mahala pake.

Hivi kwa mfano mimi nikiwa mwizi kweli, kisha wewe ukaniambia "Zurri wewe mwizi" utakuwa umekosea ? Jibu sahihi ni kinyume chake.
Mtu alikua hajui kusoma wala kuandika halafu kikundi flani cha watu kikawa kinazusha uongo kua huyo asiyejua kusoma kuna kitabu kakiandika



Uwezo wako wa kuhoji ni mdogo sana, na udogo wa kuhoji kwako unatokana na kutokujua jambo unalo hoji kwalo, na hii imesababishwa ya kuwa hukufundishwa namna ya kuhoji.

Haya ni matatizo ya kila siku ambayo watu wa dini mmekua nayo

Unanipangia nihoji kwa namna ambayo wewe utalizika?

Hapo juu nimeeleza kua navyo hoji sijali upande wa pili utajiskiaje juu ya kile nilichokihoji. Kwaiyo jambo la msingi unalotakiwa utambue mi sihoji kwa kuwafurahisha wadau

Ungekua uko kinyume na huo mtazamo wako tungekuona hapa ukiishambulia mada kwa kutoa hoja zenye uzito na sio kutoa viroja dhidi ya mtoa mada. Nitakua sahihi kukuita zwazwa hapa?



Msingi wa kuhoji na kupatia katika kuhoji ni kufikiei sahihi kabla ya kuhoji. Mathalani katika hii mada hukufikiria kwa usahihi juu ya kuhoji jambo husika, sababu umekosa mambo yote yanayo mfanya mtu ahoji kwa usahihi nayo ni :

1. Hukufikiria kwa usahihi
2. Hujui jambo unalo lihoji kwalo.
Mimi hunipangii namna ya kuhoji ni kama tu saizi navyo kujibu bila wewe kunipangia namna ya majibu unayoyataka. Huna na jibu kwa namna ambayo mtu ana hoji sijibu ilimradi zurri na watu wengine wafurahi


Hili halina shida ndio maana hatuudhiki kwa kile unacho tuhoji kwa upofu sababu tunajua usahihi tuko nao, badala yake tunakukosoa na kukupa majibi sahihi, na ni juu yako kuyakubali majibi yetu au kuyakataa.

Ahsante.

Hivyo ndivyo nilivyo ukweli mchungu ni bora zaidi kuliko uongo mtamu, siwezi nikahoji kwa namna ambayo wewe unataka uhojiwe ilimradi tu ufurahi

It's Scars
 
Jamaa sijui una ugomvi na dini au sijui vp..halafu jinsi unavyoelezea dini ni kama vile ni kakundi tu cha wafu fulani kumbe hadi hao madaktari wanaokutibu pia nao waumini wa dini.
Madaktari wana dini ila mbona wanapingana na nyinyi wao wanaingia maabara kutafuta suluhu wakati nyie mnaingia misikitini kuomba?



Kama wanadini unafikiri kwanini wao hawatibu wagonjwa kwa mfumo wa dini bali sayansi?

It's Scars
 
Hapo comment yangu wapi nimejizungumzia Mimi najua DINI ??????
Kusema Wewe hujui kuendesha gari Kwaiy Mimi ndio Najua ?????

Eti mtu unataka kwamba kwakua watu waanaamini MUNGU. Basi wasiumwe kwamba MUNGU yupo, Basi wasipatwe na matatizo kwamba MUNGU yupo, Unataka Wawe na Maisha ya Raaaha kisa Wanaamini MUNGU, We una akili kweli Wewe ??

Hiyo Haipo hivyo Bwasheee,Ungekua Unajua usinge andika Upuuzi huo

Labda nikuulize. Huu ulimwengu Ulianzaje ?? Where life Starts ??
Kwamba vilitokea tuu from No where sio ??

Namimi kuna sehemu nimeandika kua nataka watu wakiamini mungu yupo wasiumwe?

Hivi unachokiamdika hiki unahakika unashirikisha ubongo kweli?

Ulimwengu ulianzaje, kwani kila kilichopo lazima kiwe na chanzo?

Kuna ulazima wowote wa chanzo kuwepo ili kingine kiwepo?

kama hakuma ulazima wa chanzo kwanini uhoji kujua chanzo cha ulimwengu?

Kama ni lazima chanzo kiwepo ili kingine kiwepo nini chanzo cha mungu?

Unaelewa jibu ambalo unaweza kulijibu katika chanzo cha mungu jibu hilo hilo linaweza likatumika kuelezea chanzo cha ulimwengu?


Unajua kua ukiweza kuelezea mungu pasipo chanzo vile vile tunaweza kuuelezea ulimwengu na vilivyomo pasipokua na dhana ya chanzo?

It's Scars
 
Back
Top Bottom