Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
- Thread starter
- #121
Kujikinga na kufata maagizo ya Mola muumba.
Swadaktaa huku tukiwa hatujui kama litatufika au halitotufika.
Sasa ukiona umechukua tahadhari na jambo limekufika ujue Allah ametaka likufike na huo unakuwa ni mtihani kwako kulingana chumo la mikono yako au anakuzindua juu ya jambo fulani.
Inanekana husomi ninacho kiandika, unaposema "ili" wakati lengo si akudhuru wewe unakuwa muongo, kudhurika ni matokeo ila lengo ni lile nililo litaja huko juu.
Sasa jitahidi kusoma na ukaelewa ili kuepusha kuuliza maswali ambayo yameshajibiwa katika maelezo yaliyo tangulia.
Ameleta ugonjwa na akitaka unakudhuru na asipotaka haukudhuru. Kwahiyo yote yapo kwake.
Unashindana nae vipi wakati unatii agizo lake mzee. Huelewi wapi ?
Hakuna dhambi hiyo kijana katika mafundisho ya dini, yaani huo ni utiifu na ukifanha hivyo unalipwa thawabu na unakuwa umefanya jema mzee.
Ukiwa haujui kivipi wakati huko juu umekiri kua mungu ndiye aliyeleta huu ugonjwa?
Inamaana saizi unataka kukana kua hujui kua mungu ndiye akiyeleta hili gonjwa kwa lengo la kuwadhuru?
It's Scars