MR BINGO
JF-Expert Member
- Feb 12, 2016
- 1,164
- 2,500
Embu tupe maana yako ya neno "maombi" maana naona hayo ndo yanakutoa povuUnajibu dhaifu mno
Kwanza mimi sijazungumzia kua hakutakua na maisha baada ya corona
Pili hayo magonjwa yaliyopita na kuua watu hadi ikafikia hatua dawa imepatikana ebu elezea ni kwa namna gani dawa ilipatikana? Ni Kwa njia ya maombi?
Tatu, hiyo dawa ya maleria ilipatikana kwa maombi na jitihada za waumini ndi zilifanya mpaka mseto ukashushwa kutoka juu?
Kama majibu ya hayo maswali yatakua ni negative basi huna haki ya kusema huoni sababu ya mimi kukashfu dini.
It's Scars
Sent using Jamii Forums mobile app