Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Katika watu wajinga na mazwa zwa hapa duniani sijaona wa kuwazidi watu wa aina ya mtoa mada.

Nasema hivi hakuna wakuwazidi,mfano mzuri ni huu tu wa mtoa mada, yaani hamjui Mola halafu ajabu anamzungumzia kwa kutoa kasoro. Vichekesho hivi.

Once upon a time nishawahi kula ban kwasababu ya neno "zwazwa" it was my first time to be banned but since that day nimekua muoga sana kulitumia lakini we mwenzangu huoneshi chembe ya uoga.

Anyway ngoja nikujibu

Mimi sio mjinga wala zwazwa ila nina uwezo wa kuhoji chochote ambacho nakiona kwangu hakipo sawa. Kwa mtu yeyote ambaye anakiamini hicho kitu pasipo kutegemea kumridhisha muulizwaji kwa aina ya maswali ambayo nitamuuliza

It's Scars
 
Infact ni kwamba hakuna sector yeyote ambayo muafrika anafanya kwa weledi bila kukosea kama sector ya ujinga

Muafrika kwenye ujinga ndo anaplay part vizuri kuliko sector yeyote unayoijua wewe

Mzungu kajua kutudumaza kiakili na kutufanya tiamin katka kila anachokiongea ama kukifanya bila kureason.. kitawaliwa kiakili ni worst thing ever katka maisha ya sisi wa afrika tangu 1498 mpka dunia itakapofika mwisho


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kipi katika alichokiandika mtoa mada kinaonyesha kutokuwepo kwa Mola ?

Mnafikiria mambo kitoto sana.
Tatizo la jamaa ni kushindwa kutofautisha kati ya Mungu na wahuni wanaojidai utakatifu.
Hao wahuni wanao jidai utakatifu wamesemwa na mungu kuwa ni......... "CHUKIZO LA UHALIBIFU LILILO SIMAMA PATAKATIFU"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siungi mkono hoja ,,,hapo kwenye ujinga andika "upumbaavuu"

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasababu unatumia mkono kuunga mboga siyo?


Hilo neno ngoja tu niliandike tu kwa hapa halafu kule niliache vile vile kwasababu lina display kwenye replied quotes

"Upumbaavuu"




It's Scars
 
Tatizo la jamaa ni kushindwa kutofautisha kati ya Mungu na wahuni wanaojidai utakatifu.
Hao wahuni wanao jidai utakatifu wamesemwa na mungu kuwa ni......... "CHUKIZO LA UHALIBIFU LILILO SIMAMA PATAKATIFU"

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ukipewa fursa ya kuthubitisha huyo mungu unayemuamini utaweza?

Utajuaje kua huyo mungu unayemuamini sio inventions za hao matapeli uliowakataa hapo mwanzo?

It's Scars
 
Sasa kipi katika alichokiandika mtoa mada kinaonyesha kutokuwepo kwa Mola ?

Mnafikiria mambo kitoto sana.
Ni maoni yake naye anauhuru wa kuchangia

Wewe umeandika vingapi ambavyo havina uhusiano na bandiko langu lakini nimekujibu bila kejeli?

It's Scars
 
Unajuaje kua dini yako hiyo hiyo ya kikristu sio utapeli?



It's Scars
Utapeli ni pale mtu anapokwambia jambo huku akijua ni uwongo kwa yule unayemwambia, nani amekwambia ukatoliki una mambo hizi, shida ni hawa kina mashimbo/gwajina/rwakatare/lusekelo, ndo wanafanya mtu yeyote yule mwenye akili timamu apate doubts na ukristu
 
Wewe jamaa bhana
Kama hii ndio hoja yako basi unaweza kusema kila jambo limekuja kuumbua uongo wa dini.

Kwa nini hukusema kutafuta riziki kumekuja kuumbua uongo wa dini,maana ingetosha tu mtu kukaandani na kuomba dua halafu chakula kikamshukia.
Au kwanini hukusema kusoma kumekuja kuumbua uongo wa dini,maana ingetosha tu mtu kwenda msikitini kuomba dua kisha tayari akawa professor. Na hivyo hivyo mambo mengine.

We jamaa mwenyezimungu aliweka nidhamu/kanuni katika ulimwengu na mambo hayaendi vile unavyo fikiri wewe.
Sichangiagi mada zinazomgusa Mungu, ila nimeshindwa kupita hivihivi.

UMEJIBU VYEMA SANA TENA SANA.

NB: tatizo Reasoning.
 
Acha ujinga hata kama Mungu analinda mali zako huwezi kuziacha nje ukijidanganya kwamba hato iba mtu kisa unasali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Swala hilo linaweza ku-make sense iwapo utasema mungu hayupo au umtoe zile sifa zake ambazo ukimtoa anakua kama bushman tu


Kwasababu katika ulimwengu ambao mungu mwenye ujuzi wote, upendo wote na uwezo wote yupo basi hatutegemei kuona wizi ukiwepo

Ukisema wizi upo na mungu huyu yupo hapo inakua ngumu kueleweka, ila ukikitoa kimoja wapo kati ya hivyo viwili (mungu na wizi) basi hoja yako itakua thabiti kabisa

Sasa tunaona wizi upo

It's Scars
 
Yani uchukue tahadhari kwa lengo lipi?

Kujikinga na kufata maagizo ya Mola muumba.
Mi navyojua tahadhari inachukuliwa kwa lengo la kujiepusha na kitu fulani. (unaweza kunikosoa hapa kama siko sahihi)

Swadaktaa huku tukiwa hatujui kama litatufika au halitotufika.

Sasa ukiona umechukua tahadhari na jambo limekufika ujue Allah ametaka likufike na huo unakuwa ni mtihani kwako kulingana chumo la mikono yako au anakuzindua juu ya jambo fulani.
Sasa kakuumbia ugonjwa ili ukudhuru sasa huoni kuchukua kwako tahadhari kunaonesha unapingana na matakwa ya mungu?
Inanekana husomi ninacho kiandika, unaposema "ili" wakati lengo si akudhuru wewe unakuwa muongo, kudhurika ni matokeo ila lengo ni lile nililo litaja huko juu.

Sasa jitahidi kusoma na ukaelewa ili kuepusha kuuliza maswali ambayo yameshajibiwa katika maelezo yaliyo tangulia.
Mungu angetaka wewe usidhurike asingekuletea ugonjwa, sasa mungu amependezewa wewe udhurike halafu wewe unam-challenge mungu kwa kuchukua tahadhari huoni kwamba hapo unashindana naye?
Ameleta ugonjwa na akitaka unakudhuru na asipotaka haukudhuru. Kwahiyo yote yapo kwake.

Unashindana nae vipi wakati unatii agizo lake mzee. Huelewi wapi ?
Huoni kwamba kuchukua tahadhari ili kuepuka hatari ambayo mungu kakuwekea ni kufanya dhambi?

Hakuna dhambi hiyo kijana katika mafundisho ya dini, yaani huo ni utiifu na ukifanha hivyo unalipwa thawabu na unakuwa umefanya jema mzee.
 
Back
Top Bottom