Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Hujajibu awali

Unajuaje kua kuran imesema ukweli?



It's Scars

Challenge imekuwa nzito kwako? Kitu ambacho unasema si kweli kinakushinda? Soma...

Usipate shida Qur'an yenyewe inakupa jibu...

Qur'an 2:


2_23.gif


23. Na ikiwa mna shaka kwa hayo tuliyo mteremshia mja wetu basi leteni sura moja ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli. 23


2_24.gif

24. Na mkitofanya - na wala hamtofanya kamwe - basi uogopeni moto ambao kuni zake ni watu na mawe walio andaliwa hao wanao kanusha. 24




Haya tunasubiri utimize hiyo "challenge". Miaka zaidi ya 1400 imetolewa , mpaka.leo hajatokea hata mmoja aliyeweza, jaribu bahati yako tRNA washirikishe na makafiri wenzako wote.


Hahaha unaongelea "spider"? Kuna sura nzima ndani ya Qur'an inabeba jina Hilo, imeshushwa zaidi ya miaka 1400 nyuma. Kwi kwi kwi teh teh teh, wewe ndio leo unamjuwa? Ulilala usingizi mzito sana.
 
Challenge imekuwa nzito kwako? Kitu ambacho unasema si kweli kinakushinda? Soma...

Usipate shida Qur'an yenyewe inakupa jibu...

Qur'an 2:


2_23.gif


23. Na ikiwa mna shaka kwa hayo tuliyo mteremshia mja wetu basi leteni sura moja ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli. 23


2_24.gif

24. Na mkitofanya - na wala hamtofanya kamwe - basi uogopeni moto ambao kuni zake ni watu na mawe walio andaliwa hao wanao kanusha. 24




Haya tunasubiri utimize hiyo "challenge". Miaka zaidi ya 1400 imetolewa , mpaka.leo hajatokea hata mmoja aliyeweza, jaribu bahati yako tRNA washirikishe na makafiri wenzako wote.


Hahaha unaongelea "spider"? Kuna sura nzima ndani ya Qur'an inabeba jina Hilo, imeshushwa zaidi ya miaka 1400 nyuma. Kwi kwi kwi teh teh teh, wewe ndio leo unamjuwa? Ulilala usingizi mzito sana.
Hivi kwanini siwezi kutunga aya kama ya quran?
 
Na kivipi swali lije katika dhana ya "imani" na sio mfumo mwingine?

Yaani unauliza swali huku umejitengea kabisa dhana yako potofu itumike kama njia ya kujibu hilo swali?


Unafikiri huu sio muda sahihi wa kuhitaji roho mtakatifu akusaidie kujua hilo jambo linalokutatiza??

It's Scars
Mr Makovu, mm ninayo Imani yangu, ambayo ni tofauti na Imani yako.


Maswali yako , toka mwanzo sikutaka kuingiza Imani yangu katika kujibu swali lako la Kwanza kwangu.

Kwa imani yangu kuhusisha vitabu ninavyoviamini kwenye mjadala maana yake nimefunga mjadala.

Ndo maana nataka nijibu swali lako kupitia Mambo unayoyaona kwa macho ya kibinaadam , lkn naona uwepo wa ROHO MTAKATIFU unakufanya uweweseke , nakushauri tulia utapata jibu.
 
Ungekua unajua kufikiri kwa weledi kama ambavyo unavyobwata hapa, ungekua tayari umetuthibitishia mungu yupo na ubishi huu usingekuwepo.

Ubishi huu unaweza kufanywa na watu wasioweza kufikiri pekee ila kwa wanaoweza ni kinyume chake
Ithibati hii tumeshaifanya kitambo sana na tunaendelea kuifanya klikibidi. Ajabu ipo kwenu ambao mnadai Mola hayupo kwa kutumia kauli yenye kujipinga kwa yenyewe kulingana na hitimisho lenu.
We umetumia nini kujua kua akili haiwezi kujua jema wala baya? Na kipi ni mbadala wake?

thibitisha hayo madai yako?
Hili kosa lingine katika kuelewa au kunukuu, nimesema akili haina uwezo wa kujua jema na baya kwa dhati yake na kwanini, sijasema "akili haiwezi kujua jema na baya". Makinika hapa kwanza.

Akili ina ukomo, akili haina uwezo wa kukwambia baada ya mtu kufa kinatokea nini au roho inapo toka inaenda wapi ? Akili haina uwezo wa kukwambia mwisho wa dunia utakuwaje au ukoje kwahiyo inapoishia akili ndipo ufunuo unakuja kujibu maswali ambayo akili imekomea,ndio maana wakaja mitume na manabii,sio mitume hawa na manabii hawa wapiga pesa na mfano hao, sababu utume na unabii ushakoma.
Huyo huyo wakufikirika ambaye unamuabudu wewe
Safi kabisa embu tuonyeshe wapi amesema hayo huyo, maana vitabu vipo na tunavisoma kila siku.

Naendelea ....
 
Kwani wewe kwa imani yako ,ili Mumgu awepo unataka iwe vipi, yaani afanye nini?
Kwa kuwa mimi nimekuthibitishia kuwa mvua, kuota kwa mbegu, .imba kuwa mke au mume, umri wa mtu kuwa mrefu au mfupi ,tofauti ya rangi zetu,lugha na sura zetu,kila binadamu yuko uniqe, uumbaji huu nsio wa Mungu, kwa hiyo yupo na huleta tetemeko, mafuriko, upepo nk. Pasi na mapenzi ya binadamu na hakuna wa kuzuia hilo.
Huyo ndo Mungu akikasirika ma maovu yetu.
Pia hituneemesha kwa vyakula,mbalibali ma matunda,wanyama na ndege kuwa chakula xha binadamu buree bila ya kulipia.
. kubwa zaidi ni hewa ya Oxigen pasina malipo.
Huumdio uthibitishp wangu wa awali wa kuwwpo Mungu Mkuu Mwenye Enzi ,Anayestahiki kusifiwa ma kusujudiwa.
Na mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hawezi.kuimba kiumbe dhaifu

Kwaiyo udhaifu wa watu unaonesha mungu hayupo

It's Scars

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekua ameuweka na ni jambo ambalo linathibitishika basi kusingekua na mjadala huu mpaka sasa

Thibitisha
Uhalisia upo na kuukataa uhalisia kupo, na ndio maana wewe unaukataa sio kwamba haupo kijana, upo na tunauona na tuna ujengea hoja pia.

Unawezaje kuthibitisha ya kuwa mtoto ni mdogo kuliko baba yake ? Au jua liko juu yako au nusu ni nusu ya kitu kizima ?Huu ni miongoni mwa uhalisia ambao tunauzungumzia na vyote vinatoka kwake. Sasa hapa unataka uthibitisho gani ?

Nimekuonyesha ya kuwa hata maana ya "Kuthibitisha" bado huijui.
Hayo maswali yanathibitisha allah hayupo hayathibitishi allah yupo, otherwise uivuruge hiyo kanuni

Safi kabisa ili yathibitishe kwamba Allah hayupo, jaribu kuyajibu tu hata kwa ishara uone shughuli yake.

Nacheka sana, nakukumbusha tu, haya maswali sio leo mara ya kwanza kukuuliza niliwahi kukuuliza na ukayakimbia na hakuna anae weza kuyajibu maswali haya.

Kwa ufupi na kwa kukusaidia ni kuwa "Ukijibu haya maswali (Japokuwa huwezi) kunathibitisha uwepo wa Allah na kutokujibu maswali haya kunathibitisha uwepo wa Allah".

Naendelea .....
 
Na ukiivuruga hiyo kanuni ujue jibu utalopata kupitia kanuni hiyo ni la kugushi
Kanuni imejitosheleza,usikimbie swali kijana jibu hayo maswali ili utuonyeshe udhaifu wa kanuni hiyo ?
Kama chochote kilichopo kitahitaji creator basi allah naye hapaswi kuwepo na akiwepo awe kama mdogo wa mungu au mtoto wa mungu. Hapaswi kusimama yeye kama yeye bila kua na creator kwasababu sheria inasema kila kilichopo kina creator, hivyo basi hata baba yake allah naye inatakiwa awe na baba yake hivyo hivyo mpaka kieleweke

Kanuni yetu inasema hivi "Kila kitu kina chanzo isipokuwa Allah". Yaani Allah ndio chanzo chenyewe kikuu.
Kama haiwezekani kuwepo kwa creator ili kitu kiwepo, basi hata ulimwengu tunaweza ku-define kua hauna chanzo na ikaleta mantiki
Nacheka sana, ujinga ni ile hali ya mtu kutokujua mipaka yake na uwezo wake unapo ishia.

Kaka, nakupa miaka kumi, utuonyeshe ya kuwa dunia haina chanzo kisha ikaleta mantiki, na kanuni hii pia uitumie hata kwako, nacheka sana.

Wakana Mungu wote mazwa zwa yaani mnafanana.
 
Wewe ulivyomjinga utasema allah kaweza kuwepo bila chanzo katika mazingira ambayo hakuna kitu kinaweza ku exist bila chanzo. Wakati kwa kanuni hiyo unaweza kuuelezea ulimwengu pia na ikaleta maana nzuri tu
Safi kabisa, nyie ndio huwa mnakausha bahari kwa ulimi.

Elezea ulimwengu ya kuwa hauna chanzo kisha ulete mantiki, ukiweza naacha kutumia hii "Id".
 
Mbona swala la watu kufa linaelezeka kihalisia bila dini wala dhana ya mungu kuhusishwa?

Safi kabisa, elezea kisha ujibu maswali nitakayo kuuliza.
Kama kifo kipo halisia na kinathibitishika kua kipo, kwanini mungu ambaye mnadai yupo kihalisia asithibitishike kua yupo?

Binadamu wameumbwa kuwa huru kijana, ndio maana wewe leo hii huna hoja lakini unamkataa Mola na unasema hayupo. Haya ni matamanio yako ya nafsi na si elimu.

Yale maswali nikiyo kuuliza sasa hapa pia ni mahala pake, yajibu kijana usiogope.
 
Unajuaje kwamba waandishi wa dini hawakutumia spirit hiyo ili uongo wao kuhusu dhana ya uwepo wa mungu ifanikiwe?
Hawakutumia hiyo sababu maisha yanaendelea na hilo majibu yake hutokana na ufunuo.

Nimemaliza.
 
Yehovah na Allah huu ndio muda wenu wa kuwasaidia watu wenu

Haya yalimkuta mpaka yesu sio wakristo kwenye shida Jehovah anakula chaka
"Eloi eloi lamasabakhtani" ? mungu wangu mungu wangu mbona umeniacha?

Quran inasema "Allahu huswamad" Mungu ndio mwenye kukusudiwa kwa kila jambo haya katika corona kusudi lako lipi Allah saidia waislam mpk hijja hakuna watu wa mataifa hawaendi
 
Quran inasema "Allahu huswamad" Mungu ndio mwenye kukusudiwa kwa kila jambo haya katika corona kusudi lako lipi Allah saidia waislam mpk hijja hakuna watu wa mataifa hawaendi
Yeye ndio ameuleta huu ugonjwa na yeye ndio atakae uondoa.

Ama kuhusu watu kutokwenda hijja, hii pia ni katika maagizo yake, kwahiyo vyote vinatoka kwake.
 
Yeye ndio ameuleta huu ugonjwa na yeye ndio atakae uondoa.

Ama kuhusu watu kutokwenda hijja, hii pia ni katika maagizo yake, kwahiyo vyote vinatoka kwake.
Zurri unakubali hapa Allah na Yehovah wote wamechemka kwa kushindwa kuwasaidia waislam na wakristo?
 
Nimefuatilia mjadala mwanzo mwisho acha na mimi nichangie kdg.Kwa ujumla mtoa mada ana logic katika hoja zake. Binafsi mimi ni mkristo s.d.a na naamini Mungu yupo.Labda nianze tu kusema kuamini uwepo wa Mungu ni IMANI na kutokuamini uwepo wake ni IMANI vilevile. Ukweli ni kwamba kuprove uwepo wa Mungu physically ni vigumu but ni kama upepo kuna uwezekano wa kuprove uwepo wa upepo kwa effect zake.
Mimi binafsi pamoja na kukuwa na ku be influenced na family yangu juu ya uwepo wa Mungu lakn nilipokuwa na akili timamu niliamua kuamini uwepo wa Mungu kwa kujiulza maswali kadhaa e.g

1. Kabla ya kuzaliwa nilikuwa wapi

2. Kuna mambo mengi yanayoendelea mwilini na nje ya mwili ambayo ni nje ya uwezo wako (hupangi wewe) involuntary hata ku exist kwako na hta hiyo reasoning power/ability uliyonayo ya kuchallenge hata uwepo wa Mungu

3.ukifa inakuaje

4.nashuhudiaga mtu mwenye mapepo ukitaja jina la Mungu wanaongea kabsa kukiri uwepo wake kama ni mgonjwa wa akili tu awezi kugbu vile .

5.mfumo na utendekaji wa vitu duniani ambayo hta science inakubali kuwa hata kimoja kiki disobey hali itakuwa tofauti kabsa mfano hta kwa cku 1 tu dunia isi rotate e.t.c effect yake ni kubwa sna e.t.c

6.Origin of life kwa kila kitu.


In general vitu hivi vichache tu kuacha viiingi vinaprove kuwa kuna nguvu nje ya ubinadamu inayo control each and everything ambayo wengi ndio wanaamua kuamini ndo MUNGU wake/wao. Coz ana influence na DESTINY yako .sasa mtu anaweza amua tu kuiamini au kutokuiamini.

Mwisho kabsa hta ukiiamini na kuamua kufuata mafundsho ya dini fulani basi utaishi kwa imani hiyo kuliko asiye amini kabsa nahsi anaishi kwa hofu zaidi kwamba je nikimkuta yupo na nilimpinga itakuaje?


Sasa ukiamua kuamini uwepo wake na dini fulani through hiyo dini tunaweza jadili sasa swali lako la msingi kwa nini Mungu mweza wa vyote hivo aruhusu vitu vibaya e.g Corona, magonjwa mbalimbali , njaa ,vifo ,shida mbalimbali etc ziwakumbe viumbe vyake ziwe ni binadamu kasababisha au yeye mwenyewe katoa pigo but ameruhusu itokee coz alikuwa anaweza kuizuia.


Lakn bila kukubaliana juu ya uwepo wa Mungu mada ya pili haitakuwa na Mwisho. Coz reference za Bible huziamini za Quran huziamini. So we umechagua imani hiyo na ss tumechagua imani ya kuamini Mungu yupo hamna haja ya kulumbana sna.

Ni sawa na Mzungu kumshangaa mswahili kuita mtoto "MTOTO" na mswahili amshangae mzungu kumta mtt "BABY" na kila mmoja kumtaka mwenzake abadilike amfuate.
 
Kijana hapa lazima utoke damu,kwanza sijavunja misingi ya utoaji maana ya tamko husika. Hili weka akilini. Pili, nimefanya hivyo ili uelewe kwa wepesi, lakini kama hukielewa mfano huo mwepesi,utaona ya kuwa ni kwa namna gani ulivyo zwa zwa na hii ni haki yako.

Lakini, haikutosha nikakupa na mfano.


Hiyo huitwa kawaida na kawaida inahukumu kijana, elimu ya lugha tamu sana kwani inakupa uwanja mzuri sana wa kutoa maana na kucheza na maneno. Tunasema kawaida anae uliza huwa hajui, kujua kwake hulzingatiwa na hali, na wewe umedhihirisha hujui kwa kule kuhoji kwako baada ya kuuliza maana ya tamko "Athari".

Nacheka sana, japokuwa nimekupa maana ya athari ila nina uhakika nikikuuliza tena utakosea kutoa maana, hiyo, kisha ujiweke hapo ambapo sio kila anae uliza basi hajui.

Kijana hatulei ujinga na hili unalijua.


Halafu bado unataka kujadiliana na mimi, mti ambae hujui hata maana ya maana. Nakufundisha sasa, kuna njia takribani nne za kutoa maana ya jambo fulani,kauli au hali au kitendo fulani,na kutoa mfano ni katika njia ua kutoa maana.

Kwahiyo hap nimetoa maana ya tamko athari kwa mfano, na hii inakubalika na ni usahihi.

Kijana usijaribu kuruka wakati huna mbawa.

Naendelea......
Nini maana ya neno "athari"

Swali hili hujalijibu bali umelibadilisha kwenda kwenye lugha nyingine kitu ambacho sicho ulichoambiwa ukifanye

Yale maswali uliyoyakimbia huko nyuma yametosha saizi sikupi upenyo

It's Scars
 
Back
Top Bottom