Kule Tumboni Nani kayageuz yale maji ya uzazi kuwa Binadamu?Kuwepo kwako kunathibitisha baba yako na mama yako ndio waliokuzaa, hakuthibitisha mungu yupo
Ahaa,
Itakuwa bibi kakasirika toka ulipoweka uzi wa wanawake kuwa chombo cha starehe [emoji16]
Oke swali langu la mwisho hili hapa
Wewe umekuwepo hapa duniani kwa madhumuni gani?
Na lilni utaondoka?
Na wapi Utakuwepo baada ya hapa?
Na kabla ya kuwepo ulikuwa wapi?
Hebu jibu haya
Kazi ni utumia wa nguvu,juhudi na maarifa.Kuna physical work na mental work
Kwaiyo maombi yapo kwenye mental work kwasababu hautumii msuli kama kulima
It's Scars
Ni nani kaweka huo mfumo wa uzazi kwa mwanmke na akamnyima mwame?
Poa.nakuwekea hapa ushahidi ambao unaonesha umeamua kua mjinga kwa makusudi ili kukwepa maswali yangu
View attachment 1398861
Hapo juu ni picha inayoonesha paragaph yako ya kwanza umekiri kua hayo maneno umeyasema View attachment 1398863
Hapa nikaja kunukuu hayo maneno yako ambayo ulikiri kua umeyasema, lakini ukapinga kua hukuyasema bali mimi ndio niloyasema
Umeona ulivyo mjinga?View attachment 1398864
Hapo juu ni picha inayoonesha maneno yako uliyoyaandika mwenyewe ambayo saizi umeyakataa kua hujayasema bali mimi ndio nimeyasema
Mwisho wa kunukuu
Umeona jinsi gani ambavyo hueleweki kama sigara kali?
Unataka kuhitimisha mjadala kwa kukwepa maswali na kupinga hoja zako mwenyewe??
Njoo upinge na hii
Poa."Poa" sio jibu la maswali yangu
Umekubali kua maneno uliyosema kua si yako nimekuzushia, maneno hayo ni kweli yako?