J C
JF-Expert Member
- Dec 12, 2013
- 3,061
- 2,541
Vipi ile ya kupaka kipofu tope machoni. Una maoni gani katika hii pia?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hila nyie wakiristu ndo mmekua vilaza, mbona uwo upumbavu misikitini haupo.
Wana Back Up ya No 1.Kuna Clip inazunguka mchungaji anawaambia waumini eti " Nyosheni mikono juu ni moja ya tiba ya corona" jamani wachungaji kama hawa ni wapumbavu au ni ufala? nachelea kusema serikali iwakamate wachungaji kama hawa.
Yaani kunyoosha mikono juu hauwezi pata corona na kwamba corona inaponywa kanisani upumbavu gani huu?
ustaadhi Karibu Kitimoto,ndizi za kukaanga na castle lager bariiiiiiiidi .
Nikuwekee order ya 1/2 au kilo 1 mkuu?Sawa hila Ujumbe umefika
Nikuwekee order ya 1/2 au kilo 1 mkuu?
Bia zako zimewekwa kwny friji boss.Ni wewe cha muhimu massage sent.
Bia zako zimewekwa kwny friji boss.
Kwanini swali liwe "nani" na sio "nini"?Huomjumuisho Ulianzaje? na nani kaupangilia hivi ulivyo?
Ukiweza kumjuwa aliyeupangilia huo Mjumuisho wa vitu vyote (Nature )utakuwa umesha pata Proof ya Kuwepo Kwa Mtengenezaji na msimamizi wa hayo yote, ambaye ndiye Mungue usiye muamini.
we ukiona Gari zuri nyumba runamsifu nzi na oraji ani. ndiyo
Kinyume chake uniambie ninani?
Kitimoto cha kuchoma kitakufaa ustaadhi.Ukiona mtoto analia, sana ujue kiboko kimemuingia.
Ujinga mliowalimbikizia watu wenu matokeo yake ndiyo hayo, sasa watafanya nini na hawana hata chembe ya uwezo wa kufikiria..?
Inauma sana kwa kweli, unakuta mtu hana kabisa akili ya kujitegemea.... kila kitu anafuta mchungaji wake kasemaje yaani ni afadhali hata misukule kuna nyakati hugoma na kutoroka.
Kadri wachungaji wanavyoongezeka, ndivyo madhambi na mabalaa yanazidi kuongezeka... ukiwa na akili unateseka sana.
Ukimaanisha mumeo hua anakula huyo mdudu kabla hajakutapikia protini zake huko mbunyeni sio?Huyo mdudu kampe mmeo
Ukimaanisha mumeo hua anakula huyo mdudu kabla hajakutapikia protini zake huko mbunyeni sio?