Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Hakuna watu wajinga kama Wakana Mungu na Wanafalsafa.

Tabia zao wanafanana, huwa hawajibu maswali zaidi ya kuruka ruka tu.
Mnanisuta?

Mkimaliza jibu maswali yangu ikiwezekana fanyeni combination mthibitishe na allah kua yupo

It's Scars
 
Infact ni kwamba hakuna sector yeyote ambayo muafrika anafanya kwa weledi bila kukosea kama sector ya ujinga

Mwafrika kwenye ujinga ndo anaplay part vizuri kuliko sector yeyote unayoijua wewe.

Uko sahihi sana,

Maendeleo ya nchi yatafikiwa tu pale wajinga hawa watakapo kwisha, kwamba corona ni mpango mzuri tu kama tuta tazama kwa mawazo chanya. Na sijui kwa nini bado unachelewa !
 
Mipasho sio sehemu ya huu mjadala

Back to my questions

Umedai kua Allah asingeumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya asingekua muweza wa yote. Tunaona vitabu vinasema alipo yeye ni mahala patukufu hakuna ubaya wowote unaoweza kutendeka maana ni sehemu ambayo hakuna ubaya.

unakubali kwa hoja yako hiyo allah huyo sio muweza wa yote kwasababu huko mbinguni ambako yeye anaishi hakuna ubaya wowote?

Maswali yangu ambayo huko juu hujayajibu nayarudia hapa tena

Umesema Allah ni muweza wa yote na katika uwezo huo ni mjumuisho wa kufanya mabaya, refer kauli yako kua kungekua na mazuri peke yake asingekua mungu muweza wa yote kwasababu ameshindwa kuumba mabaya

Je kupitia uwezo huo allah anaweza kujiua?

Kupitia uwezo wote alionao, Allah anaweza kuumba jiwe zito ambalo hawezi kulibeba?


It's Scars
Nasubiri majibu yangu mzee.
 
Mnanisuta?

Mkimaliza jibu maswali yangu ikiwezekana fanyeni combination mthibitishe na allah kua yupo

It's Scars


Naona umeamua kutumia maneno ya wanawake, huko ni kujifananisha wanawake, kutumia maneno yao.

Kaka hakuna swali hata moya ambalo hujajibiwa, na huna uwezo wa kuonyesha swali gani hujajibiwa.

Ila hujajibu swali langu hata moja. Nasubiri majibu, hatulei ujinga sisi.
 
Wewe jamaa bhana!!?

Unavyo mchukulia MUNGU ndivyo naye atakavyo kuchukulia ukimchukulia kwa uzito na yeye atakuchukulia kwa uzito ukimchukulia kikawaida basi ivyoivyo atakuchukulia wewe

Nauhakika na hili
kwa hiyo mungu muweza wa yote alieumba wanadamu akijua yajayo kuwa hawatamchukulia serious naye anajibu mapigo kwa kuto wachukulia serious hahahahah joke
 
Ukiambiwa hafi unaelewa nini kijana ? Maana naona unauliza maswali ya uongo.
Hujajibu swali

Anaweza kujiua au hawezi?

Kupitia uwezo wake wote alionao anaweza kuumba jiwe zito ambalo hawezi kulibeba?

Jibu swali hapo juu, Anaweza au hawezi?

It's Scars
 
Naona umeamua kutumia maneno ya wanawake, huko ni kujifananisha wanawake, kutumia maneno yao.

Kaka hakuna swali hata moya ambalo hujajibiwa, na huna uwezo wa kuonyesha swali gani hujajibiwa.

Ila hujajibu swali langu hata moja. Nasubiri majibu, hatulei ujinga sisi.

Lazima niwafananishe na wanawake maana ndio mnachokionesha hapa


Nakukumbusha tena kua Mipasho sio sehemu ya huu mjadala

Back to my questions

Umedai kua Allah asingeumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya asingekua muweza wa yote. Tunaona vitabu vinasema alipo yeye ni mahala patukufu hakuna ubaya wowote unaoweza kutendeka maana ni sehemu ambayo hakuna ubaya.

unakubali kwa hoja yako hiyo allah huyo sio muweza wa yote kwasababu huko mbinguni ambako yeye anaishi hakuna ubaya wowote?

Maswali yangu ambayo huko juu hujayajibu nayarudia hapa tena

Umesema Allah ni muweza wa yote na katika uwezo huo ni mjumuisho wa kufanya mabaya, refer kauli yako kua kungekua na mazuri peke yake asingekua mungu muweza wa yote kwasababu ameshindwa kuumba mabaya

Je kupitia uwezo huo allah anaweza kujiua?

Kupitia uwezo wote alionao, Allah anaweza kuumba jiwe zito ambalo hawezi kulibeba?


It's Scars
 
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?

Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?

Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.

Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?

Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.

Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.

Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.

Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya Yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but I ain't laughing?

Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.

Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?

Kwanini Mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?

Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?

Hivi kweli Mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?

Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?

====

Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
Haya mambo ya Imani hayachunguziki ukiamini amini usipoamini potezea.Ni sawa atoae kafara apate Mali au kwenda kwa mganga apate kazi
 
Hujajibu swali

Anaweza kujiua au hawezi?

Kupitia uwezo wake wote alionao anaweza kuumba jiwe zito ambalo hawezi kulibeba?

Jibu swali hapo juu, Anaweza au hawezi?

It's Scars

Maswali yako niliyajibu tangu jana, naona unarudia.

Hivi ukiambiwa Allah hafi, swali la kujiua linatoka wapi. Kufa kwake hakupo. Hili ni "invalid question".

Maana ya Allah kuwa muweza wa yote, kinyume chake hakipo, nikakupa mfano,Allah amejiharamishia kudhulumu, ukisema anaweza kudhulumu,hili ni jambo ambalo halipo, sababu mwenendo wa Allah haubadiliki kijana.

Nakukumbusha tu, unapopenda kujibiwa maswai yako na wewe upende kujibu maswali unayoulizwa, na uwe unauliza maswali ya kweli ni si ya uongo.
 
Lazima niwafananishe na wanawake maana ndio mnachokionesha hapa


Nakukumbusha tena kua Mipasho sio sehemu ya huu mjadala

Back to my questions

Umedai kua Allah asingeumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya asingekua muweza wa yote. Tunaona vitabu vinasema alipo yeye ni mahala patukufu hakuna ubaya wowote unaoweza kutendeka maana ni sehemu ambayo hakuna ubaya.

unakubali kwa hoja yako hiyo allah huyo sio muweza wa yote kwasababu huko mbinguni ambako yeye anaishi hakuna ubaya wowote?

Maswali yangu ambayo huko juu hujayajibu nayarudia hapa tena

Umesema Allah ni muweza wa yote na katika uwezo huo ni mjumuisho wa kufanya mabaya, refer kauli yako kua kungekua na mazuri peke yake asingekua mungu muweza wa yote kwasababu ameshindwa kuumba mabaya

Je kupitia uwezo huo allah anaweza kujiua?

Kupitia uwezo wote alionao, Allah anaweza kuumba jiwe zito ambalo hawezi kulibeba?


It's Scars
Wanaume tuna lugha zetu kijana,hizo lugha za kike, na wanaume sisi huwa tunajiepusha kutumia maneno ya wanawake.

Tuendelaa, haya madai nilikuuliza au kuomba unionyeshe niliyaandika wapi, naona kimya.
 
Wanaume tuna lugha zetu kijana,hizo lugha za kike, na wanaume sisi huwa tunajiepusha kutumia maneno ya wanawake.

Tuendelaa, haya madai nilikuuliza au kuomba unionyeshe niliyaandika wapi, naona kimya.
Sina vidole juu vya isha na mashauzi, na ndo maana nasimama kama mkuu kwenye jopo la wakufunzi

Kwenye huu mjadala Sikufunzi namna ya kujadliana tu bali nakufunza hata namna gani ambavyo unatakiwa u-behave kama mwanaume mbele ya wanaume na uache hiyo mipasho ya pwani ambayo unaileta

Saizi sirudii kukusisitiza kuhusu maswali yangu ambayo hujayajibu
 
Maswali yako niliyajibu tangu jana, naona unarudia.

Hivi ukiambiwa Allah hafi, swali la kujiua linatoka wapi. Kufa kwake hakupo. Hili ni "invalid question".

Maana ya Allah kuwa muweza wa yote, kinyume chake hakipo, nikakupa mfano,Allah amejiharamishia kudhulumu, ukisema anaweza kudhulumu,hili ni jambo ambalo halipo, sababu mwenendo wa Allah haubadiliki kijana.

Nakukumbusha tu, unapopenda kujibiwa maswai yako na wewe upende kujibu maswali unayoulizwa, na uwe unauliza maswali ya kweli ni si ya uongo.
Hafi kwanini?

Anauwezo wa kujiua ila hataki?

Au hana uwezo wa kujiua na ndio maana hafi?

Kwa uwezo wote alionao inamaana anafanya mambo ambayo yako ndani ya uwezo wake tu?

Swala la kujiua lipo ndani ya uwezo wa Allah au halipo?

Allah kwa uwezo wote alionao anaweza kuumba jiwe zito ambalo hawezi kulibeba?
 
Sina vidole juu vya isha na mashauzi, na ndo maana nasimama kama mkuu kwenye jopo la wakufunzi

Kwenye huu mjadala Sikufunzi namna ya kujadliana tu bali nakufunza hata namna gani ambavyo unatakiwa u-behave kama mwanaume mbele ya wanaume na uache hiyo mipasho ya pwani ambayo unaileta

Saizi sirudii kukusisitiza kuhusu maswali yangu ambayo hujayajibu
Kila kwenye mkuu, kuna mkuu zaidi yake maizi.
Hili neno kuu, kwa kujeruhi sifanyi ajizi
Kwa wino huu, wala si la zama hizi
La tangu na kale, wewe kwangu u mwanagenzi


Nasubiri majibu ya maswali yangu.
 
Hafi kwanini?

Anauwezo wa kujiua ila hataki?

Au hana uwezo wa kujiua na ndio maana hafi?

Kwa uwezo wote alionao inamaana anafanya mambo ambayo yako ndani ya uwezo wake tu?

Swala la kujiua lipo ndani ya uwezo wa Allah au halipo?

Allah kwa uwezo wote alionao anaweza kuumba jiwe zito ambalo hawezi kulibeba?
Kijana kwanini unarudia maswali ambayo umeshajibiwa ?
 
Kila kwenye mkuu, kuna mkuu zaidi yake maizi.
Hili neno kuu, kwa kujeruhi sifanyi ajizi
Kwa wino huu, wala si la zama hizi
La tangu na kale, wewe kwangu u mwanagenzi


Nasubiri majibu ya maswali yangu.
Kwani taarifa hawajakupa wenzio, kua wananiskizaga mimi na wameitupa redio?..

Nishakuambia sirudii tena kukuhimiza, maana huoneshi bidii katika kujifunza.../

Umepoteza umakini kwasababu upo ndani ya kiza, dini ni kama scene icheze vizuri unapoigiza.../

changamoto za kihalisia hazitatuliwi kwa miujiza, tusipofata kanuni za afya hili janga litatumaliza.../
 
Kijana kwanini unarudia maswali ambayo umeshajibiwa ?
Hujajibu swali
Hafi kwanini?

Anauwezo wa kujiua ila hataki?

Au hana uwezo wa kujiua na ndio maana hafi?

Kwa uwezo wote alionao inamaana anafanya mambo ambayo yako ndani ya uwezo wake tu?

Swala la kujiua lipo ndani ya uwezo wa Allah au halipo?
 
Back
Top Bottom