Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
- Thread starter
- #1,641
Mipasho sio sehemu ya huu mjadalaHuna uwezo huo kijana, ndio maana nikakupa fursa uonyeshe kosa kisha uusahihishe.
Mimi ninao uwezo wa kukuonyesha kosa na kukusahisha, kudai kila mtu anaweza, hata mjinga kama wewe unaweza kudai una elimu, ila tukikuomba uonyesha elimu uliyo nayo, ndio kama hivi una ruka ruka.
Ahsante.
Back to my questions
Umedai kua Allah asingeumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya asingekua muweza wa yote. Tunaona vitabu vinasema alipo yeye ni mahala patukufu hakuna ubaya wowote unaoweza kutendeka maana ni sehemu ambayo hakuna ubaya.
unakubali kwa hoja yako hiyo allah huyo sio muweza wa yote kwasababu huko mbinguni ambako yeye anaishi hakuna ubaya wowote?
Maswali yangu ambayo huko juu hujayajibu nayarudia hapa tena
Umesema Allah ni muweza wa yote na katika uwezo huo ni mjumuisho wa kufanya mabaya, refer kauli yako kua kungekua na mazuri peke yake asingekua mungu muweza wa yote kwasababu ameshindwa kuumba mabaya
Je kupitia uwezo huo allah anaweza kujiua?
Kupitia uwezo wote alionao, Allah anaweza kuumba jiwe zito ambalo hawezi kulibeba?
It's Scars
It's Scars