Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Huna uwezo huo kijana, ndio maana nikakupa fursa uonyeshe kosa kisha uusahihishe.

Mimi ninao uwezo wa kukuonyesha kosa na kukusahisha, kudai kila mtu anaweza, hata mjinga kama wewe unaweza kudai una elimu, ila tukikuomba uonyesha elimu uliyo nayo, ndio kama hivi una ruka ruka.

Ahsante.
Mipasho sio sehemu ya huu mjadala

Back to my questions

Umedai kua Allah asingeumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya asingekua muweza wa yote. Tunaona vitabu vinasema alipo yeye ni mahala patukufu hakuna ubaya wowote unaoweza kutendeka maana ni sehemu ambayo hakuna ubaya.

unakubali kwa hoja yako hiyo allah huyo sio muweza wa yote kwasababu huko mbinguni ambako yeye anaishi hakuna ubaya wowote?

Maswali yangu ambayo huko juu hujayajibu nayarudia hapa tena

Umesema Allah ni muweza wa yote na katika uwezo huo ni mjumuisho wa kufanya mabaya, refer kauli yako kua kungekua na mazuri peke yake asingekua mungu muweza wa yote kwasababu ameshindwa kuumba mabaya

Je kupitia uwezo huo allah anaweza kujiua?

Kupitia uwezo wote alionao, Allah anaweza kuumba jiwe zito ambalo hawezi kulibeba?

It's Scars

It's Scars
 
Sasa wewe Bw. ''Scars''
Wacha kubabaika na kuruka vihumzi ukiukwepa ukweli,Mwisho wa yote umeangukia kwenye Nature.Kisha unasema Nature haikuumbwa.
Ila Mimi nikikuambia kuwa Kuna Mungu Muumba wewe unaniambia Nithibitishe,wakati wewe huwezi kuithibitisha hii Nature.
Sasa Hapo ulipo ishia wewe Akili yako ,Ndipo Uungu unapoanzia,na unajikubalisha kuwa huna uwezo wa lolote mbele ya nature.
Soma Kidogo basi ujiongezee maarifa kama wewe ni mwenye kusikia na kufahamu.
Qur-an
Sura 42:

3. Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu Mwenye nguvu na Mwenye hikima anavyo kuletea ufunuo (Wahyi) wewe na walio kabla yako.
4. Ni vyake viliomo mbinguni, na viliomo katika ardhi. Na Yeye ndiye Mtukufu, Mkuu.

8. Na Mwenyezi Mungu angeli penda ange wafanya wote umma mmoja, lakini anamwingiza katika rehema yake amtakaye. Na wenye kudhulumu hawana mlinzi wala msaidizi.

9. Au ( hawa watu wanaompinga Mungu ) wamechukua walinzi wengine badala yake (Mungu)! Lakini Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi khasa. Na Yeye ndiye anaye huisha wafu. Na Yeye ndiye Mweza wa kila kitu.

11. Yeye ndiye Muumba wa mbingu na ardhi, amekujaalieni mke na mume katika nafsi zenu, na katika wanyama wa kufuga (hoa) dume na jike, anakuzidishieni namna hii (kwa kitendo cha kuzaana,baada ya dume kumpanda jike na kumpa mimba). Hapana kitu (kinachofanana naye) kama mfano wake. Naye ni Mwenye kusikia Mwenye kuona.

12. Yeye ndiye Mwenye funguo za mbingu na ardhi. Humkunjulia riziki amtakaye, na humpimia amtakaye. Hakika Yeye ni Mjuzi wa kila kitu.

27. Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli wakunjulia riziki waja wake (wote kuwa matajiri) , basi bila ya shaka wangeli panda kiburi katika dunia ( maisha yasingelikuwa na maana ya kutegemeana). Lakini anaiteremsha kwa kipimo akitakacho (kwa amtakaye). Hakika Yeye anawajua vyema waja wake na anawaona .
Hiyo kuran unayoitumia kama unaweza kuniambia wapi umeithibitisha kuonesha ni kitabu kilichoongea ukweli na kinapaswa kitumike kama uthibitisho wa vingine?

It's Scars
 
Back to my questions

Umedai kua Allah asingeumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya asingekua muweza wa yote. Tunaona vitabu vinasema alipo yeye ni mahala patukufu hakuna ubaya wowote unaoweza kutendeka maana ni sehemu ambayo hakuna ubaya.


unakubali kwa hoja yako hiyo allah huyo sio muweza wa yote kwasababu huko mbinguni ambako yeye anaishi hakuna ubaya wowote?

Maswali yangu ambayo huko juu hujayajibu nayarudia hapa tena

Umesema Allah ni muweza wa yote na katika uwezo huo ni mjumuisho wa kufanya mabaya, refer kauli yako kua kungekua na mazuri peke yake asingekua mungu muweza wa yote kwasababu ameshindwa kuumba mabaya

Je kupitia uwezo huo allah anaweza kujiua?

Kupitia uwezo wote alionao, Allah anaweza kuumba jiwe zito ambalo hawezi kulibeba?



It's Scars
Suali la kipuzi,
Ikiwa Uhai, ni mali yake,Kifo ni kitu alicho kiumba na atakiuwa siku ya kiama,
Kwa Mungu hakuna Kitu mauti,mauti ni kwetu sisi viumbe tuu.
Ni sawa na wewe kusema Unaweza kula kwa Mdomo wako,
Je unaweza kuacha kula?
Sasa umeuliza nini hapa?
Hivi wewe si ulizaliwa,
Unaweza rudi tena tumboni kuishi?
Masuali ya Kijinga huuliza watu wajinga
Jibu maswali yangu ya Nature usiruke ruke
 
Suali la kipuzi,
Ikiwa Uhai, ni mali yake,Kifo ni kitu alicho kiumba na atakiwa siku ya kiama,
Kwa Mungu hakuna Kitu mauti,mauti nikwetu sisi viumbe tuu.
Ni sawa na wewe kusema Unaweza kula kwa Mdomo wako,
Je unaweza kuacha kula?
Sasa umeuliza nini hapa?
Hivi wewe si ulizaliwa,
Unaweza rudi tena tumboni kuishi?
Masuali ya Kijinga huuliza watu wajinga
Hii tabia ya kudandia treni kwa mbele bila kujua target ya hoja imekua trend sana humu

Umeielewaje hiyo post?

It's Scars
 
Hiyo kuran unayoitumia kama unaweza kuniambia wapi umeithibitisha kuonesha ni kitabu kilichoongea ukweli na kinapaswa kitumike kama uthibitisho wa vingine?

It's Scars
Jibu kwanza kuhusu Nature wachana na Qur-an ambayo haina shaka ,imejithibitisha yenyewe, na hakuna kitabu kingine chchote duniani kilichojithibitisha usahihi wake
 
Back to my questions

Umedai kua Allah asingeumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya asingekua muweza wa yote. Tunaona vitabu vinasema alipo yeye ni mahala patukufu hakuna ubaya wowote unaoweza kutendeka maana ni sehemu ambayo hakuna ubaya.


unakubali kwa hoja yako hiyo allah huyo sio muweza wa yote kwasababu huko mbinguni ambako yeye anaishi hakuna ubaya wowote?

Maswali yangu ambayo huko juu hujayajibu nayarudia hapa tena

Umesema Allah ni muweza wa yote na katika uwezo huo ni mjumuisho wa kufanya mabaya, refer kauli yako kua kungekua na mazuri peke yake asingekua mungu muweza wa yote kwasababu ameshindwa kuumba mabaya

Je kupitia uwezo huo allah anaweza kujiua?

Kupitia uwezo wote alionao, Allah anaweza kuumba jiwe zito ambalo hawezi kulibeba?



It's Scars
Hakuna swali ambalo sijajibu kijana.
 
Hujaweza kuthibitisha mungu yupo, hivyo habari nzima ya maombi ni nonsense kama ilivyo maombi yaliyofanywa kwa ajili ya kudhibiti corona isiingie nchini halafu ikaingia

It's Scars
Najua unaleta ubishi ila nakuhakikishia Mungu mwenyewe atajithibitisha kwako,if u think is nonsense God will wake up ur sensation with in 3days
 
Hii tabia ya kudandia treni kwa mbele bila kujua target ya hoja imekua trend sana humu

Umeielewaje hiyo post?

It's Scars
mimi nasoma zote, ukiuliza masuali yasiyo na kichwa wala miguu ,nakusaidia kukuelewesha.
Haijalishi kasema nani.
Mpaka wewe uMjuwe Muumba wako Allah
 
Mipasho sio sehemu ya huu mjadala

Back to my questions

Umedai kua Allah asingeumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya asingekua muweza wa yote. Tunaona vitabu vinasema alipo yeye ni mahala patukufu hakuna ubaya wowote unaoweza kutendeka maana ni sehemu ambayo hakuna ubaya.

unakubali kwa hoja yako hiyo allah huyo sio muweza wa yote kwasababu huko mbinguni ambako yeye anaishi hakuna ubaya wowote?

Maswali yangu ambayo huko juu hujayajibu nayarudia hapa tena

Umesema Allah ni muweza wa yote na katika uwezo huo ni mjumuisho wa kufanya mabaya, refer kauli yako kua kungekua na mazuri peke yake asingekua mungu muweza wa yote kwasababu ameshindwa kuumba mabaya

Je kupitia uwezo huo allah anaweza kujiua?

Kupitia uwezo wote alionao, Allah anaweza kuumba jiwe zito ambalo hawezi kulibeba?

It's Scars

It's Scars

Kwahiyo kusema ukweli ndio mipasho siku hizi sio, hii maana umeipata wapi mzee...?

Kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza ?
 
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?

Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?

Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.

Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?

Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.

Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.

Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.

Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya Yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but I ain't laughing?

Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.

Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?

Kwanini Mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?

Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?

Hivi kweli Mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?

Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?

====

Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
wewe huoni idadi tuliyo nayo bado Mungu ameinusuru AFRICA huoni hilo? umeona America,Umeona spainna italy umeona watu wanavyo kufa! unaona au huoni! punguza dhiaka!
 
Mipasho sio sehemu ya huu mjadala

Back to my questions

Umedai kua Allah asingeumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya asingekua muweza wa yote. Tunaona vitabu vinasema alipo yeye ni mahala patukufu hakuna ubaya wowote unaoweza kutendeka maana ni sehemu ambayo hakuna ubaya.

unakubali kwa hoja yako hiyo allah huyo sio muweza wa yote kwasababu huko mbinguni ambako yeye anaishi hakuna ubaya wowote?

Maswali yangu ambayo huko juu hujayajibu nayarudia hapa tena

Umesema Allah ni muweza wa yote na katika uwezo huo ni mjumuisho wa kufanya mabaya, refer kauli yako kua kungekua na mazuri peke yake asingekua mungu muweza wa yote kwasababu ameshindwa kuumba mabaya

Je kupitia uwezo huo allah anaweza kujiua?

Kupitia uwezo wote alionao, Allah anaweza kuumba jiwe zito ambalo hawezi kulibeba?

It's Scars

It's Scars
Hivi haya uliyo yaandika unaweza kuniambia nimeyaandika wapi.

Kijana utakuwa mgonjwa wa akii, hii tabia unatakiwa kuiacha unaandika vitu unavitoa wapi, kwanini husomi unachoandikiwa ukakielewa ?
 
Je kupitia uwezo huo allah anaweza kujiua?

Kupitia uwezo wote alionao, Allah anaweza kuumba jiwe zito ambalo hawezi kulibeba?
Ndio maana huwa unasema hujajibiwa maswali, tatizo ni lako, unaambiwa Allah hafi, wewe unasema tena hawezi kujia au unauliza swali la kujiua. Jana nilikujibu haya maswali,kijana nasubiri majibu ya maswali ya maswali yangu, acha uoga na uhuni.

Ahsante.
 
Ndio maana huwa unasema hujajibiwa maswali, tatizo ni lako, unaambiwa Allah hafi, wewe unasema tena hawezi kujia au unauliza swali la kujiua. Jana nilikujibu haya maswali,kijana nasubiri majibu ya maswali ya maswali yangu, acha uoga na uhuni.

Ahsante.
Hamna kitu humo ,tuna shindana na kichwa maji, hachelewi kusahau,
Eti jana Kaniambia Mimi kuwe Mungu ni yeye,nikamuuliza unaweza kujizuilia kufa ,au kulala,au kula,si karuka kimanga kama hakuiona ile post yangu
Huyu Ni Mtu asiye na elimu yoyote,bali anajikurupusha tu,walahajasoma, wala hajui dini hata il;e ya Biblia ,
Haoni mwangaza ,kwa kuwa Ni kipofu na ana kilema cha kuto taka kujifunza,na kwa hiyo katu hatoacha kuwa mjinga.
 
Hamna kitu humo ,tuna shindana na kichwa maji, hachelewi kusahau,
Eti jana Kaniambia Mimi kuwe Mungu ni yeye,nikamuuliza unaweza kujizuilia kufa ,au kulala,au kula,si karuka kimanga kama hakuiona ile post yangu
Huyu Ni Mtu asiye na elimu yoyote,bali anajikurupusha tu,walahajasoma, wala hajui dini hata il;e ya Biblia ,
Haoni mwangaza ,kwa kuwa Ni kipofu na ana kilema cha kuto taka kujifunza,na kwa hiyo katu hatoacha kuwa mjinga.

Hakuna watu wajinga kama Wakana Mungu na Wanafalsafa.

Tabia zao wanafanana, huwa hawajibu maswali zaidi ya kuruka ruka tu.
 
Jibu kwanza kuhusu Nature wachana na Qur-an ambayo haina shaka ,imejithibitisha yenyewe, na hakuna kitabu kingine chchote duniani kilichojithibitisha usahihi wake
Mjumuisho wa vitu vyote vilivyomo ndani ya ulimwengu

Haya rudi kwenye swali langu

It's Scars
 
wewe huoni idadi tuliyo nayo bado Mungu ameinusuru AFRICA huoni hilo? umeona America,Umeona spainna italy umeona watu wanavyo kufa! unaona au huoni! punguza dhiaka!
Angekufa baba yako ungejali idadi ya watu waliosalia?

Unaweza kumuacha muuaji aliyeua wazazi wako kwa kusema hana hatia kwasababu hajamuua beki tatu uliyemuajiri?

It's Scars
 
Hivi haya uliyo yaandika unaweza kuniambia nimeyaandika wapi.

Kijana utakuwa mgonjwa wa akii, hii tabia unatakiwa kuiacha unaandika vitu unavitoa wapi, kwanini husomi unachoandikiwa ukakielewa ?
Mipasho sio sehemu ya huu mjadala

Back to my questions

Umedai kua Allah asingeumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya asingekua muweza wa yote. Tunaona vitabu vinasema alipo yeye ni mahala patukufu hakuna ubaya wowote unaoweza kutendeka maana ni sehemu ambayo hakuna ubaya.

unakubali kwa hoja yako hiyo allah huyo sio muweza wa yote kwasababu huko mbinguni ambako yeye anaishi hakuna ubaya wowote?

Maswali yangu ambayo huko juu hujayajibu nayarudia hapa tena

Umesema Allah ni muweza wa yote na katika uwezo huo ni mjumuisho wa kufanya mabaya, refer kauli yako kua kungekua na mazuri peke yake asingekua mungu muweza wa yote kwasababu ameshindwa kuumba mabaya

Je kupitia uwezo huo allah anaweza kujiua?

Kupitia uwezo wote alionao, Allah anaweza kuumba jiwe zito ambalo hawezi kulibeba?


It's Scars
 
Ndio maana huwa unasema hujajibiwa maswali, tatizo ni lako, unaambiwa Allah hafi, wewe unasema tena hawezi kujia au unauliza swali la kujiua. Jana nilikujibu haya maswali,kijana nasubiri majibu ya maswali ya maswali yangu, acha uoga na uhuni.

Ahsante.
Hafi inamaana hana uwezo wa kujiua?

It's Scars
 
Hamna kitu humo ,tuna shindana na kichwa maji, hachelewi kusahau,
Eti jana Kaniambia Mimi kuwe Mungu ni yeye,nikamuuliza unaweza kujizuilia kufa ,au kulala,au kula,si karuka kimanga kama hakuiona ile post yangu
Huyu Ni Mtu asiye na elimu yoyote,bali anajikurupusha tu,walahajasoma, wala hajui dini hata il;e ya Biblia ,
Haoni mwangaza ,kwa kuwa Ni kipofu na ana kilema cha kuto taka kujifunza,na kwa hiyo katu hatoacha kuwa mjinga.
Hata mkiunganisha stuli na meza hamtapata kitanda

Hakuna aliyethibitisha mungu yupo naona mmejiunga mshakua kundi sasa mmeanza kunisuta

Thibitisha allah yupo

It's Scars
 
Back
Top Bottom