Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Utawezaje kwanza hata kufikisha list ya miungu 2000, umekiri mwenyewe kwamba umeandika list ya miungu wa wachache,sasw ili uwe mkweli,tuwekee list ya kuanzia miungu elfu 10.
Nilishangaa ulipokua unasema nimedai kua list ile ni ime consist 10k gods

Ulipo ni disprive kua list iko below 10k ni wazi kabisa kua ulihesabu

Sasa nataka kujua kwa ulivuo hesabu hiyo list ina miungu wangapi?
Usiwe unauliza maswali ambayo majibu unayaona na yako wazi.

Najua. Ndiyo maana nakukosoa.
Wapi nilipodai list ina majina yote 10 ya mungu ambayo wewe umenikosoa?
Sasa wewe uliye iweka ulitakiwa utuonyeshe mungu wa elfu 10,au achilia mbali tu mungu wa 2101. Ili ujue kwamba nimehesabu au sijahesabu.
Wewe hujahesabu?

So nikikiambia utahakiki vipi jibu kua ni kweli?

Wewe umepinga kua hao sio miungu 10k kwa kuangalia nini?

Inamaana hukuhesabu?

Au uliangalia hoja yangu kwasababu nilisema ni kwa uchache?
 
Unajua kuhesabu?
 
Unaniuliza tena habari za marejeo yako wapi wakati wewe mwenye kuhitimisha dini yako kua ni ya kweli ndio mwenye jukumu wa kutuambia hayo marejeo yakikokuwepo?

Umehitimishaje sasa kua uislam ndo dini ya kweli kama kutakua kuna marejeo ya dini zingine hukuyasoma?

Kwa poinyi hiyo unanipa shaka kua habari za kusema uislamu ni dini ya kweli ni propaganda tu maana kuna marejeo ya dini zingine hukuweza kuyasoma
 
Hebu nioneshe ulivotangulia kuuliza kabla yangu..

Unajaribu kukimbia swali, kwa kuhamisha mada... That is so unprofessional
Nilitangulia kwa kuuliza hili swali

Unajuaje kua kuran imesema ukweli?
 
Kazi yangu nimemaliza,huna majibu ya maswali yangu.

Nipo ....
 
Jibu maswali niliyo kuuliza na ukisome vizuri ulichokiandika.
 
Mungu kachukua lini wataka yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…