Point sio tiba tu, bali mechanism ya huo ugonjwa ambao wewe umedai kua ni mapepo na majini bado ni paradox. Kwasababu umeingiza dhana za kufikirika ambazo ukiambiwa uthibitishe uhalisia wake kama vitu hivyo vipo kweli, huwezi.
Umesema madaktari wenye taaluma za magonjwa mbali mbali wamesema hayo ni magonjwa ya akili tu na sio mapepo kama ambavyo misikitini na makanisani mnaaminishwa.
Sasa hao waliosema kua ugonjwa huo unasababishwa na mapepo na majini,, utawaamini vipi kua wakati siyo taaluma yao?
It's Scars