Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Naweza kuthibitisha pale nitakapo jua ww baba yako anaitwa Nani? Na unaaminije kuwa huyo ni baba yako?
Tumia roho mtakatifu akuongoze mpaka umjue baba yangu

Ukiweza hilo huna haja ya kuthibitisha mungu yupo

It's Scars
 
Hapo sijaingia kwenye biblia wala quran.
Kipindi cha musa na ndugu zake mayahudi
Hizo habari unahakika gani kua ni za kweli na sio porojo tu?

It's Scars
dfactpedia_20200317_1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atoke shehe au padri au mchungaji aombee wagonjwa wa corona wapone tuone
Wanasubiri sayansi ivumbue ndio waje kimbelembele
Juzi nimemskia padri akililamika kua mtaani wanauza mask fake, alilaani sana tukio hilo huku akisema wanaofanya hivyo mungu atawapa adhabu kali motoni

Yani nilichokiona watu wajanja wame-focus kwenye mask kujiweka katika usalama, huku wazembe wazembe wakiendelea na maombi

It's Scars
 
Mkuu Mungu yupo tena yu hai, tatizo linakuja kwa waamini kuwa na imani haba. Hatuna muda wa kutosha katika kutaka kumjua bali tunaweka shida zetu mbele.

Ndio wanatokea ma opportunist wa imani kama mitume na manabii wa kisasa.

Binafsi namwamini Mungu na katika kadhia hii na nyingine yeyote, Imeandikwa, "mwenye haki ataishi kwa imani."

Hivyo hatupaswi waamini kuishi kwa hofu yeyote. Hivyo tu mkuu

Mimi ni mgeni humu, na hii ni first comment yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Second comment fanya kuthibitisha mungu yupo

It's Scars
 
Uislamu ndio uliotufunza kuwa panapoptokea janga la maradhi ya kuambukiza, pawkwe karantini.
Walichofanya Kule Mecca ndio mafunzo ya Mungu wetu.
Wasiingie watu wala waliomo wasitoke pale panapotokea mlipuko wa magonjwa.
Nadhani hata Pope alivyozuia wageni wasiingie pale Rome yawezekana naye alilijuwa fundisho hilo.
Mungu ndo huamua nani apatwe na lile janga na nai apone endapo kalileta kwenye mji fulani.
Na haleti janga lile ila huwa na dhamira maalumu ya Kumungu, mara nyingi huwa ni adabu kwa makosa ya wanadamu.
Hutuonya ili tuombe msamaha.
Kwaiyo dua na maombi hayana msaada wowote katika jitihada za kutekeleza corona?

It's Scars
 
Wewe chizi kama machizi wengine,umekuja na hoja ya kichiz na nimekuonesha uchizi wa hoja yako. Unaanza kuniuliza habari za Mungu.

Et watu wanaamini dini kwa sababu ya kutishwa na moto wakati kuna watu hawana hofu na huo moto na ndiyo maana wanauwa wenzao na bado ni waumini wa dini na wanaamini Mungu,sasa sijui we chizi unaongea nini?

Wewe huna hoja huwa unabwabwaja tu,katafute sababu nyengine hiyo imekosa uhalisia.

We uhuru jr Una uhuru wa kumuita chizi mwenzako kisa mungu, lakini hauna uhuru kuthibitisha uwepo wake?

It's Scars
 
Hibi unaelewa kukiwa na mungu mjuzi wa yote, muweza wa yote, na mwenye upendo wote hakutakiwi kuwe na ugonjwa wa aina yeyote utao angamiza kiumbe chochote?

It's Scars
Huyo mungu wa herufi ndogo ni ibilisi na mawakala zake ukiwemo na wewe? Mungu Mwenyezi ambaye ni Mungu wa Israeli hajadiliwi kiboya boya wala kudhihakiwa huku mitandaoni
 
ha ha ha
Uwepo wako mimina wewe
Ulianza Miaka fulani huko nyuma.
Kabla ya hapo hatukuwepo.
Na miaka michache ijayo kama si masiku tutatoweka,
Jee hili Tukio la wewe kuondoka duniani una hiari nalo?
Au kuletwa duniani ulichagua?
Hata huo ujuzi wako wa kutumia hii PC au simu ,wengi hawakupewa ,na wengine wamekuypita kwa uelewa kuliko ulivyo.
Si ajabu ukiugua kidogo tuu unaanza kuwaza mauti asije kukuvamia,unakimbilia kwa daktari,
na kwa hakika utakufa kwa namna usiyoijuwa wala kubashiri,
Bali Mungu alisha kutangulia kwa ujuzi wa hilo


Uwepo wangu unathibitishaje mungu yupo?

Kivipi ujuzi wa kutumia pc au simu uthibitishe mungu na sio kingine?

Nastaajabishwa na ujinga wenu inafika wakati kalenda huenda ikawa ni sikukuu yenu lakini nacho kiona sikukuu yenu sio leo


It's Scars
 
Kwanza mimi sio dogo naona unakisia kama ulivyokisia kua kuna mungu, bahati nzuri shabaha yako imeenda tofauti na uhalisia kama ukivyo kisia kua kuna mungu


Swala la mungu kuathiri maisha ya watu hilo halithibitishi chochote kua mungu yupo, bali linathibitisha watu wajinga ni wengi katika jamii wasioweza kupembua mambo kwa fact.

Filamu ya god must be crazy ilionyesha ni kwa namna gani jamii ya bushmna iliathirika na ujinga kwa kudhania chupa iliyoangushwa kutoka juu ya ndege ilitoka kwa mungu

Kwaiyo nini kinachokufanya ujjihisi kua jamii inayoathiriwa na mungu siyo jamii ile ile kama ya bushman iliyokua inaathiliwa kwasababu ya ujinga?

Kama habari za spiderman zimebuniwa kwenye movie hilo linathibitisha kua spiderman hayupo kihalisia, vipi habari za mungu zilizobuniwa kwenye vitabu huoni nazo zinathibitiaha kua mungu ni wakufikirika tu kama spiderman??

Wanapinga uwepo wa mungu, kwani kuna siku uliwahi kuwathibitishia uwepo wa mungu?

It's Scars
Bado unazidi kutoa mifano ya movie,nani umewahi kumuona akifanya uchunguzi wa uwepo wa spiderman au hiyo chupa? Kwa sababu inajulikana ni story zilizobuniwa kwa ajiri ya movie na kuishia hapo.

Wewe kuona habari za uwepo wa Mungu ni uongo si tatizo kwangu maana siwezi kukulazimisha uamini Mungu,ila suala la kufananisha habari za Mungu na spiderman hapo ndipo nakukatalia.
 
Hili swala lingekua linatambulika kweli na ikawa linauhalisia, tusingeona nguvu kubwa ikitumika mekka na vatican kupiga marufuku watu wasiende kwa uoga wa kufa, wakati wakifa watapata maisha maziluri ya milele..

It's Scars
Kinachoogopa kufa ni mwili, kwa sababu mwili asili yake ni dunia, bali wacha Mungu wanatumaini maisha ya umilele na Kristo katika roho
 
Ukizungumzia wana dini basi hata wanasayansi pia nao ni wanadini,ni kama vile mfanyabiashara kuwa mwanadini,viongozi wa serikali wanadini n.k sasa sijui unakwama wapi?
Sijaishia hapo

Nimesisitiza kua wale wote wanaodai kua wananguvu yenye huruma kutoka kwa mungu inayoponya kila gonjwa

Ukiona wanasayansi ambao wana dini halafu wanatafuta suluhu nje ya hiyo dhana hapo ndio ujue kua wameaisha elewa kua dhana ya miujiza kupitia maombi ni ulaghai

It's Scars
 
Kwanza nashukuru kwa kuzitambua kua ni "hoja dhaifu" ajabu ni kwamba pamoja udhaifu wake zimekushinda kuzijibu.

Vipi ukiletewa zisizo dhaifu utaziweza, kama hizi dhaifu zimekushinda?



It's Scars
Hakuna jipya

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Mungu hafanyi kazi kwa namna unavyowaza wewe. Wala si kwa namna ya kina Gwajima

Sent using Jamii Forums mobile app
Aina hii ya self defense inaitwa "njia za mungu hazichunguziki"

Endapo utahoji kivipi huyu mungu hathibitishiki uwepo wake utapewa hili jibu "Huwezi kumchunguza mungu kwa akili za kibinadamu"

Ukihoji kivipi mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na uwezo wote karuhusu uovu uchangamane na viumbe vyake halafu baadae akasirike watu wakifanya uovu. Hapa utaambiwa "Huwezi kumjua mungu kwa akili ya kibinadamu bila roho mtakatifu"

It's Scars
 
Na allah naye hayupo

Mpaka hapo tuko pamoja siyo?

It's Scars
Nilitamani nizungumze na wewe kwa lile ulilo na ujuzi nalo,
lakini nahisi huna ulijuwalo,
kwa hiyo huenda nikapoteza muda na wewe,
Hatua ya kusema hakuna Mungu ni hatua muhimu kwa Kiumbe kama wewe,
Inaonesha uhitaji wako wa Nguvu inayoweza kushindana na yale yaliyokushinda.
Hata hivyo,ujuwe kuwa Kuunda chombo kama ndege ili iweze kuruka angani si jambo dogo.Lakini kwa akina sisi wengi wetu hatujuwi hata pa kuanzia.
Kuendesha Ndege au meli nayo pia ni fani,kwa asiyejuwa ,ni usiku wa kiza kwake.
Sasa wewe unataka kumjadili Mungu Alieumba Kila kitu,na inaonesha wajuwa kuwa yupo lakini hujajuwa namna ya kumfikia nakumjuwa .
Huwezi hadi uelezwe na wale wenye kumjuwa.
Usipolitaka hilo,endelea kutukana.
Maana karamu ya fisi (mzoga), ni ujinga ulioje kwa Nyati mla majani.
Na sauti ya mbawa za mbu akiwa na raha zake,ni maudhi kwa Binadamu pamoja na udogo wake.
Hivi ndivyo dunia ilivyotofautiana kwa ujuzi na mahitaji ya viumbe.
Elimu haina kikomo,bali Akili zetu zina ukomo wa kujuwa mambo.
 
Kwani wewe unao watoto nyumbani?
Hivi wakikusea na kuhamaki nao au kuwachapa ,inamaanisha kuwa huna upendo?
Au kufanya vile ndio unawarekebisha ili wawe watoto wazuri huko baadae?
sasa hapa lipi usilolifahamu kwa mungu,?
Hivi wewe unajuwa dhumuni la kuwepo kwako hapa ulimwenguni?
Unajuwa kwanini umekuwa mwanadamu na si panya wala mende?
Unaonaje ungelikuwa Mwanamke malaya watu wakawa wanapanda na kushuka kama mwendo kasi?
Au unaonaje ungelikuwa Kichaa ukawa unakula majalalani?
Au ,.......au....
Hivi ulichagua kuwa hivyo ulivyo?
 
Huyo mungu wa herufi ndogo ni ibilisi na mawakala zake ukiwemo na wewe? Mungu Mwenyezi ambaye ni Mungu wa Israeli hajadiliwi kiboya boya wala kudhihakiwa huku mitandaoni

Hajadiliwi kiboya wakati tayali ushatumia neno boya?

Iwe MUNGU, Mungu, MUNgu, nk hata nimuandike kwa namna gani hiyo haifanyi awepo

Unajua ukisema mungu wa waisrael unakuabali kuwa wewe ni mtumwa kwa kuabudu mungu wa taifa la wenzako??

Unafikiri ni raisi kuwashawishi waisrael kusema mungu wa wanyakyusa? Kwasababu hawataki kuwa watumwa wa miungu yenu

It's Scars
 
Bado unazidi kutoa mifano ya movie,nani umewahi kumuona akifanya uchunguzi wa uwepo wa spiderman au hiyo chupa? Kwa sababu inajulikana ni story zilizobuniwa kwa ajiri ya movie na kuishia hapo.

Wewe kuona habari za uwepo wa Mungu ni uongo si tatizo kwangu maana siwezi kukulazimisha uamini Mungu,ila suala la kufananisha habari za Mungu na spiderman hapo ndipo nakukatalia.

Tumia logic katika kuhoji

Kwani habari za mungu haziwezi kuwekwa kwenye movie na bado tukazijadili?

Tukiweza kujadili habari za mungu ambazo ziko katika mfumo wa movie utakuabali kua mungu hayupo kwasababu habari kupitia movie ni uongo??



It's Scars
 
Back
Top Bottom