Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Usipate shida Qur'an yenyewe inakupa jibu...

Qur'an 2:
2_23.gif

23. Na ikiwa mna shaka kwa hayo tuliyo mteremshia mja wetu basi leteni sura moja ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli. 23

2_24.gif

24. Na mkitofanya - na wala hamtofanya kamwe - basi uogopeni moto ambao kuni zake ni watu na mawe walio andaliwa hao wanao kanusha. 24



Haya tunasubiri utimize hiyo "challenge". Miaka zaidi ya 1400 imetolewa , mpaka.leo hajatokea hata mmoja aliyeweza, jaribu bahati yako tRNA washirikishe na makafiri wenzako wote.


Hahaha unaongelea "spider"? Kuna sura nzima ndani ya Qur'an inabeba jina Hilo, imeshushwa zaidi ya miaka 1400 nyuma. Kwi kwi kwi teh teh teh, wewe ndio leo unamjuwa? Ulilala usingizi mzito sana.

Yani swali la kujua ni kivipi kuran ni kitabu kilichosema ukweli, unatoa aya kutoka umo umo zinazojitetea kua ni kitabu chs kweli??

Unajuaje aya hizo sio defense mechanism iliyowekwa na waliotunga hicho kitabu ili watu waamini??

Mimi sijamuongelea "spider" nimemuongelea "spiderman"


It's Scars
 
Hapa umeniamsha Ndugu yangu
Mimi nakuthibitishia
35:3. Enyi watu! Kumbukeni neema za Mwenyezi Mungu juu yenu. Ati yupo muumba mwengine asiye kuwa Mwenyezi Mungu anaye kupeni riziki kutoka mbinguni na kwenye ardhi? Hapana mungu ila Yeye tu. Basi wapi mnako geuzwa?

5. Enyi watu! Hakika ahadi ya Mwenyezi Mungu ni ya kweli. Basi yasikudanganyeni maisha ya dunia, wala mdanganyifu asikudanganyeni juu ya Mwenyezi Mungu.

9. Na Mwenyezi Mungu ndiye anaye zituma Pepo ziyatimue mawingu, nasi tukayafikisha kwenye nchi iliyo kufa (mvua ikanyesha), tukaifufua ardhi( kwa mvua hiyo) baada ya kufa kwake. Ndivyo kama hivyo kutakavyo kuwa kufufuliwa (siku ya mwisho, Na Je ni nani anayeweza kuyafanya hayo asie kuwa Mungu?).

11. Na Mwenyezi Mungu amekuumbeni kutokana na udongo. Kisha kwa tone la manii. Kisha akakufanyeni mwanamume na mwanamke. Na mwanamke yeyote hachukui mimba, wala hazai, ila kwa ilimu yake. Na wala hapewi umri mwenye umri mrefu, wala hapunguziwi katika umri wake, ila yamo hayo katika Kitabu (cha Mungu). Hakika hayo ni mepesi kwa Mwenyezi Mungu. (je ni nani mwengine ayafanyaye hayo asiekuwa Mungu ikiwa unamjuwa)?

34:38. Na wanao jitahidi kuzipinga Ishara zetu, wakaona watashinda, hao watahudhurishwa kwenye adhabu ( hapa duniani kabla ya kufa na siku ya kiama).
Hebu kiri ukweli huu kama kuna yeyote anaye yamiliki haya

huu ndio ushahidi wangu, nipe wa kwako basi
Swali langu bado liko pale pale

Unajuaje kua verse hizo sio defense ili kuficha uongo wa kuonesha ulaghai wa hicho kitabu??

It's Scars
 
Una maswali ya kitoto sana Mwanadamu aliumbwa ili atumie akili na sio miujiza, tafsiri mbaya za wafanyabiashara wa kidini zisikufanye umdhihaki Mungu kiasi hiko
Matumizi sahihi ya akili ni pamoja na kuhoji

Unaweza kuthibitisha mungu yupo?

It's Scars
 
Hakuna ulipojibu na hilo sitegemei kama utajibu

It's Scars

Nacheka sana. Nilipo sema onyesha ampapo hujajibiwa nilimaanisha na nilijua na ninajua huna uwezo huo.

Usitegemee kumjadili usie mjua kisha ukapatia, hilo halipo nachalijawahi kutokea.
 
Kujua ni kinyume na kuamini

Unaelewa kuamini ni nini?

It's Scars
Ujinga wenu mwingine upo katika kulielewa tamko hili "Imani".

Kujua ni kinyume cha kuto kukujua, na si "kuamini".

Nakupa kazi ya kutenganisha "Imani" na "kujua/Elimu" ukiweza kufanya hilo naacha kutumia hii "Id".
 
Niliamini uko serious kwa kile unachomaanisha.

Lkn nimegundua uko kwenye masikhara zaidi .

Kila binadamu ana baba na mama yake yaani amezaliwa kwa muunganiko wa wazazi wawili.

Dunia imeenda mbele zaidi upo uzazi wa maabara pia.

Sasa kwako imekuwa vigumu kuuthibitishia umma ww mzazi wako wa kiume unathibitishaje kuwa ndiyo baba yako .

Kwako imekuwa tabu na jibu lako muulize Roho Mtakatifu.
Naweza nikahojiana nawewe katika angle yeyote ile ambayo wewe kwako unaiona kama itakusaidia kupandikiza uzushi ulio aminishwa

Hapo nimekuonesha ni namna gani dini imekua ikikuongopea kupitia kichaka cha "roho mtakatifu"

Nawewe umeonesha niwazi kabisa umejua hilo thats why hujajisumbua kumjua baba yangu kwa njia ya kufikirika "roho mtakatifu"

Kama roho mtakatifu kashindwa kukuelekeza baba yangu alipo, unahakika gani kua huyo roho mtakatifu ataweza kukuongoza ukapata pepo ambayo umekua ukiaminishwa?



It's Scars
 
Yani swali la kujua ni kivipi kuran ni kitabu kilichosema ukweli, unatoa aya kutoka umo umo zinazojitetea kua ni kitabu chs kweli??

Unajuaje aya hizo sio defense mechanism iliyowekwa na waliotunga hicho kitabu ili watu waamini??

Mimi sijamuongelea "spider" nimemuongelea "spiderman"


It's Scars
Kumbe hata unachokisoma Hukielewi. Hakuna Aya hapo inayosema unayoyasema. Hiyo ni challenge. Kasome tena uelewe kilichoandikwa kabla hujakurupuka. Au challenge imekuwa nzito kwako unatafuta pakutokea?

Kuhusu "spider" na "Spiderman" yupi ni fictitious na yupi ni non fiction?

Hapo sasa.
 
Nacheka sana. Nilipo sema onyesha ampapo hujajibiwa nilimaanisha na nilijua na ninajua huna uwezo huo.

Usitegemee kumjadili usie mjua kisha ukapatia, hilo halipo nachalijawahi kutokea.
Nimekuambia nipe kifungu ulipojibu hilo swali langu la post 123



It's Scars
 
Unamkataa spiderman kua hayupo kihalisia halafu unayakubali mapepo?

Kwanini matatizo ya akili yausishwe na mapepo wakati tayali ishajulikana kua ni matatizo ya akili?

It's Scars
Unakubali hayo matatizo yapo? Jibu swali kwanza kisha ndio tutajadil yanasababishwa na nini.
 
Kumbe hata unachokisoma Hukielewi. Hakuna Aya hapo inayosema unayoyasema. Hiyo ni challenge. Kasome tena uelewe kilichoandikwa kabla hujakurupuka. Au challenge imekuwa nzito kwako unatafuta pakutokea?

Kuhusu "spider" na "Spiderman" yupi no fictitious na yupi non fiction?

Hapo sasa.

Kama hakuna aya inayotetea kuran ikijinasibisha kua ni kitabu cha kweli

Niambie unajuaje kuran imesema ukweli?



It's Scars
 
Ukiwa haujui kivipi wakati huko juu umekiri kua mungu ndiye aliyeleta huu ugonjwa?

Inamaana saizi unataka kukana kua hujui kua mungu ndiye akiyeleta hili gonjwa kwa lengo la kuwadhuru?

It's Scars
Kwa huu ujinga unataka uletewe kifungu ambacho umejibiwa ? Sasa nashangaa kwamba husomi ninacho kujibu au huelewi ninacho kujibu ?

Unajichanganya sana na unarudia maswali ambayo umejibiwa.

Post 120 na za nyuma zimejibu kwa uzuri sana maswali yako achilia mbali hili la 123 ulilo rudia na bado ukaichanganya zaidi.

Una dai mwanzo nimesema sijui na hapa unasema nimekiri,sababu wewe ni mjinga hutaki kusoma na kuelewa na kama hujaelewa hutaki kuuliza, nakuuliza tu wapi nilipokiri na niliposema sijui kumetofautiana na hoja yangu ? Sasa jitahidi kuhoji na kuukiza vya maana.

Tatizo lako husomi ukaelewq bali una kurupuka, hakuna kukataa hapo, huko nyume nimesema sisi hatujui kama vitatudhuru au la ndio maana tunachukua tahadhari, ila tunajua ya kuwa maradhi yanatoka kwa Allah na sababu tunazijua aidha kutupa mtihani na kutukumbusha kurudi kwake au kuwalipa waouvu ili sisi wengine tuzinduke.

Ukiambiwa mada iliisha kitambo, ila sababu unapenda kupoteza muda na kubisha ujinga, imefika mpaka hapa.

Nakukunbusha tu ya kuwa Elimu haiongopi na elimu siku zote huwa iko juu na haikaliwi na kingine juu yake.

Ahsante.
 
Back
Top Bottom