Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

We punguani, Huwa hamuelewi mnachokisoma. Nani alikudanganya kuwa maneno ya Ibn Majah ni Qur'an? Nnakushauri, usifanye upuuzi na ujinga wa kuihusisha Qur'an na Binadam.

Kujichekesha chekesha hovyo ni mambo ya kikafir hayo. Soma Qur'an...

إِنَّهُ كَانَ فَرِيقٌ مِّنْ عِبَادِي يَقُولُونَ رَبَّنَا آمَنَّا فَاغْفِرْ لَنَا وَارْحَمْنَا وَأَنتَ خَيْرُ الرَّاحِمِينَ - 23:109

فَاتَّخَذْتُمُوهُمْ سِخْرِيًّا حَتَّىٰ أَنسَوْكُمْ ذِكْرِي وَكُنتُم مِّنْهُمْ تَضْحَكُونَ - 23:110



Kijana, wewe inabidi unisome upate kujifunza kutoka kwangu, wewe upo finyu sana, bado kabisa hujafikia "caliber" ya kushindana na yeyote kwenye masuala ya elimu yoyote Ile.

110. Lakini nyinyi mliwakejeli hata wakakusahaulisheni kunikumbuka, na mlikuwa mkiwacheka. (al Muuminuun : 110)

Sasa bibi hii aya mbona iko wazi kabisa inawazungumzia makafiri baada ya kuacha ukumbusho na kuwacheka waja wema, onyesha ushahidi unao onyesha kumcheka mtu dhalimu muovu anapo andika vya kuchekesha.

Lakini aya imesema walikuwa wana wacheka na haija sema "walikuwa wanajichekesha"

Ahsante.
 
iman bila matendo imekufa, matendo yanayomaanishwa hapa si maombi bali yale ambayo binadamu unaweza kuyafanya ili kujiokoa, mm na amini maombi yanafanya kazi na yanatibu ila sio kila kitu tunahitaji maombi ndo maana kuna madaktari pale wanapoishia madaktari ndo Maombi yanapoanzia, corona ni ugonjwa ambao haupo nje ya sayansi ya binadamu kwa maana kwa unadhibitika kibinadamu na tukifuata mashart ya kibinadamu tunaweza kujikinga nayo sasa huyo mtumishi wa Mungu ambaye anataka watu wavunje masharti wakusanyike kuombea Corona sidhani kama anamuelewa Mungu vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Babu yako alieishi mwaka 1750 alikua dini gani?

Mimi sijui, unaweza kutusaidia kujibu swali hili ? Kwa mfano wewe babu yako alikuwa dini gani kwa mwaka huo ulio utaja ?

Kwamba tatizo ni kuletewa dini au tatizo ni wale walio leta au tatizo ni dini ?
 
Hapo kwenye Corona ndiyo kipimo tosha cha kuwafahamu hawa Manabii feki na mafuta na keki zao za upako.
 
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundamano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa korona?

Kama walifanya maombi kwa lengo la kuizuia corona isiingie nchini, lakini tunaona corona imeingia, nini kinachokufanya uwaamini kua maombi ya sasa wanayojipanga kuyafanya yataitokomeza corona mazima?

Haya mambo probably si magumu ila ugumu tunauweka sisi kwa kuweka mizaha kwa kutumia kivuli cha dini.

Hivi mfano hawa madaktari wetu na sekta ya afya kiujumla wangejumuika kwenye maombi kwa kuamini kwamba maombi ni njia madhubuti ya kutatua matatizo kama haya katika kila janga la ugonjwa. Kama ambavyo watu wa dini wamekua wakituhimiza kufanya, je tungefanikisha kutibu gonjwa lipi kwa maombi?

Ngoma inaingia tanzania wabongo tulijitia wachamungu sana kua tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na n'ge hivyo ukimwi kwetu sio tishio.

Lakini tunachokiona mpaka saizi mapasta na masheikh wanachukua vidonge kwa siri sana. Lakini pamoja na hayo hatuwaoni wakijisalimisha kua wameshindwa kudhibiti ukimwi kwa maombi yao.

Mungu ambaye tunamtolea sadaka kila siku halafu katika matatizo kama haya kajichimbia tu wala hatuoni juhudi zake, huyu si mungu wakuabudiwa. Ni sawa na rafiki mnafki ambaye kwenye matanuzi mkiwa viwanja mnakua naye karibu sana halafu ikatokea siku umeishiwa anakukimbia.

Wahubiri wanahubiri huku wamevaa face mask at the same time wanasema damu ya yesu ni tiba ya kila kitu. What a joke but i ain't laughing?

Tunaambiwa ukiwa na imani waweza kuamisha hadi milima lakini sikutegemea kuona vatican, mekka ziwe kipaumbele kukataza watu wasiende kwao kwa hofu ya korona.

Mungu muweza wa yote yuko wapi mbona kawasusia msala madaktari wetu halafu yeye amesizi tu eti mpaka aamshwe kwa maombi?

Kwanini mungu mjuzi wa yote na muweza wa yote ahitaji maombi?

Mbona kwenye zile hadithi za gharika na sodoma na gomora huyu mungu ali-respond haraka sana kwanini asifanye hivyo kwenye janga hili linalomaliza ndugu zetu na kudhoofisha hali ya uchumi wetu?

Hivi kweli mungu huyu yupo kweli? Maana viongozi wetu wa dini nao wanaathirika mpaka inafikia hatua italy makanisa yameshehena maiti inamaana yeye haoni?

Kwanini Mungu ahitaji maombi yetu ili aweze ku-solve matatizo yetu, ilihali anaelewa hitaji la moyo wetu hata kabla hatujasema?

====

Chukua tahadhari kwa kufuata angalizo lililotolewa na mamlaka ya afya Corona haidhibitiwi kwa maombi bali kwa kuepuka makatazo ambayo yameainishwa na shirika la afya
Bila ya shaka watu wamekujibu kwenye Post yako, katika majibu yaliyotolewa yapo majibu sahihi. Ila uhakika wa mambo we jamaa ni mjinga,humjui mola muumba that's why unachanganyikiwa. Unataka akili yako ijiongoze katika mambo ya ibada au katika namna ya kumjua muumba. Kwa mtindo huo utaishia kujichanganya na kuropoka utumbo. Mola muumba ametoa muongozo na kanuni za kumfikia na amejulisha waja wake namna yeye alivyo. Unatakiwa kukomea hapo hapo kwa kadri ulivyomfahamu. Sasa wewe unaamini kwenye akili tu,sio kila kitu kinadirikiwa na akili ya mwanadamu. Aliyekuumba amekuwekea limitations ya akili yako kuna mambo akili yako itadiriki na mengine hayadirikiwi na akili yako. Mwisho wa yote hata hao wanasayansi baadhi yao wanamuomba mungu huku wakitumia akili waliyopewa kufanya utafiti na kugundua. Sawa na watu wengine wanamuomba mungu awape riziki huku wakifanya sababu ya kupata riziki wao wenyewe Kama vile kulima au biashara na mambo
 
Ulianza kwa mbwembwe halafu umemaliza kinyonge

Unahakika gani na imani yako kua ninsahihi na sio kwamba ni potofu?

It's Scars
Ndiyo maana naiamini, tuachane Mambo ya imani.

Umeshindwa kusimamia hoja ya swali lako la msingi?

Umezoea kutukanana labda ndo maana unaona nimekuwa mnyonge?

Ww binafsi siwezi kujadiliana hoja na ww kupitia imani yangu Wala ya kwako .

Naweza kujadili kupitia maisha tunayoishi tu kuthibitisha kile ninacho kitukuza kuwa Kiko sawa.
 
Hakuna maelezo hapo, kuna challenge kwako. Soma tena...

Challenge imekuwa nzito kwako? Kitu ambacho unasema si kweli kinakushinda? Soma...

Usipate shida Qur'an yenyewe inakupa jibu...

Qur'an 2:


2_23.gif



23. Na ikiwa mna shaka kwa hayo tuliyo mteremshia mja wetu basi leteni sura moja ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli. 23


2_24.gif

24. Na mkitofanya - na wala hamtofanya kamwe - basi uogopeni moto ambao kuni zake ni watu na mawe walio andaliwa hao wanao kanusha. 24





Haya tunasubiri utimize hiyo "challenge". Miaka zaidi ya 1400 imetolewa , mpaka.leo hajatokea hata mmoja aliyeweza, jaribu bahati yako tRNA washirikishe na makafiri wenzako wote.


Hahaha unaongelea "spider"? Kuna sura nzima ndani ya Qur'an inabeba jina Hilo, imeshushwa zaidi ya miaka 1400 nyuma. Kwi kwi kwi teh teh teh, wewe ndio leo unamjuwa? Ulilala usingizi mzito sana.
Hizo challenge hazijajibu swali hili

Unajuaje kua kuran imesema ukweli?

It's Scars
 
Kasoro wewe tu?
Mbona
na wewe ni walewale tu.
Wewe kwa maandiko yako tu unajidhihirisha kuwa "you are simply an uneducated fool from an uneducated school'.

Ningekua Uneducated fool ningekua kiongozi wa waislamu

Maana kama mudy hakuwa educated hata kusoma hakujua na bado mnamlamba miguu na kumtukuza unafikiri kungekua na ugumu wowote mimi kua kiongozi wenu hapa??



It's Scars
 
Ambapo sijaelewa ni kwamba ulikuwa unataka watu wanaoamini Mungu wasifanye kazi kwamba wawe wanaomba dua tu kwa sababu wanadini? Au wananadini wenye taaluma zao wasishughulike na taaluma zao wao waombe dua tu?

Makanisani na misikitini wanavyofundishwa kua ombeni nanyi mtapewa na hakuna kinacho shindikana mbele za mungu endapo utaomba, kwanini sasa wasiombe dua kazi zao zifanyike kama kweli dua inafanya kazi kwa namna ambavyo wao wamefundishwa?

It's Scars
 
Sasa kama sio msemaji wa Mungu mbona unasema kuwa Mungu hawezi kuumba kiumbe chenye mapungufu hii kauli ni ya kwako au umemsikia Mungu akisema hivi ?



Sent using Jamii Forums mobile app

Ningemsikia akisema, leo hii nisingewaganda hapa mthibitishe uwepo wake

Nimesoma vitabu vya dini vikidai kua binadamu hajakamilika anamadhaifu, unabidi uelewe kua nimejenga hoja kwa minaajili ipi

It's Scars
 
Wewe nae Kausome Uislam wako vizuri. Muislam hatskiei kucheka cheka hovyo. Kamsome Ibn Majah kuhusu kujichekesha hovyo.

Hususan sehemu kama hizi unajadiliana na kafir huyo halafu unajichekesha chekesha hovyo. Jifunze adabu za Kiislam usilete ujinga wako humu.

Kucheka cheka huyo ndio zake

Japokua wote ni wajinga ila afadhali imeonekana upande wako, huyo mwenzako sio wakupona leo.

It's Scars
 
Wewe unajifanya unafata Qurani tu,huyo ibn majah kwa nini umtumie kumkataza Mtu kucheka anapojadili ?

Mbona usitumie Qurani tu kukataza jambo lako ?

Wapi Qurani imekataza kucheka ?

Aya ulotoa haijataja kucheka hapo

إِنَّهُ كَانَ فَرِيقٌ مِّنْ عِبَادِي يَقُولُونَ رَبَّنَا آمَنَّا فَاغْفِرْ لَنَا وَارْحَمْنَا وَأَنتَ خَيْرُ الرَّاحِمِينَ

(AL - MUUMINUN - 109)
Bila ya shaka lilikuwapo kundi katika waja wangu likisema: Mola wetu Mlezi! Tumeamini; basi tusamehe na uturehemu, nawe ndiwe Mbora wa wanao rehemu.

فَاتَّخَذْتُمُوهُمْ سِخْرِيًّا حَتَّىٰ أَنسَوْكُمْ ذِكْرِي وَكُنتُم مِّنْهُمْ تَضْحَكُونَ

(AL - MUUMINUN - 110)
Lakini nyinyi mliwakejeli hata wakakusahaulisheni kunikumbuka, na mlikuwa mkiwacheka.

Wapi Qurani imekataza Mtu kucheka akiwa anajadili na kafiri ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkifika muafaka wa nyie kwa nyie kwa kuondoa tofauti zenu ambazo mnatofautina muungane wote kuthibitisha allah yupo

It's Scars
 
Kwenye Theology ukisoma vizuri utakuta hizi Abrahamic religions (Judaism, Christianity, Uislam) ni fabrications tu, hazina ukweli wowote na ndiyo maana wachungaji wa siku hizi baada ya kusoma na kugundua ukweli huo wanacheza na akili za waumini wao kwa sababu wanajuwa hizi dini hazina ukweli wowote ule. Mfano kuna huyu nabii wa Kinigeria aitwaye T.B. Joshua, huyu jamaa baada ya kuchunguza nimekuta ni mshirikina kupindukia ila anatumia jina la Mungu kurubuni waumini wake kwa kuwachezea akili. HAKUNA kitabu chenye madhambi kama Qur'an.....ukitaka kumtupia mtu marogo/uchawi vyote vinapatikana kwenye hiki kitabu, ukitaka kuua mtu pia unapata humo humo ndani ya Qur'an, hivi iweje Mungu atukataze kuuana then ashushe Qur'an na kuruhusu waarab mauwaji aliyokataza? Waafrika tuache ujinga, amkeni mmechezewa akili far too long kwa kisingizo cha dini. Huko Italia na nchi kibao duniani wau wanasali kwa Mungu aondoe Coronavirus, Mungu hawasikii, why?
 
Back
Top Bottom