Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Nilichokisema mimi ni hiki " Kwa kile kinachodaiwa kuwa ni jibu kutoafikiana na jibu sahihi ambalo ninalo."
Hichi ndicho ulichokiandika

Ukichokiandika wewe ni hiki : "Wewe umekubali kua hoja yangu kutoafikiana na hoja yako haifanyi hoja yako kua jibu sahihi?"

Hapana usinizushie jibu langu katika hoja yako hiyo hapo juu haikuwa hii

Nilijibu hivi

Kutoafikiana kwa jibu lako na hoja yangu maana yake hoja yangu haiafikiani na yako, nasio kwamba jibu lako nisahihi kwasababu haiafikiani na hoja yangu


Sasa unatakiwa ifikie hatua tuheshimiane kijana, kamwe hafanani na hajawahi kufanana anae jua na asie jua.

Kwa mtindo huu ndio maana unasema hujajibiwa maswali yako.

Ahsante.
Ungekua unaniheshimu usingenizushia uongo kwamba jibu ulilonukui hapo ndio jibu ambalo nilikujibu kwenye hiyo hoja yako

Nakukumbusha maswali yangu bado ni yale yale

Unajuaje kua hali halisi ambayo ipo katika mazingira yetu sio conspiracy theory iliyotungwa na watu ili kuifanya kuran ionekane ni kitabu cha mungu??


It's Scars
 
Unajuje kua hali halisi hiyo uliyoitolea mifano ilikuwepo tangu kabla na watu wakaamua kukopi jambo hilo kwa kuliandika kwenye hicho kitabu ili watu wakisoma kitabu hicho waamini kua ni kitabu cha kweli kwasababu kuna maandishi
Binadamu angejuaje hali hiyo ilikuwepo hapo kabla bila ufunuo wakati hakuwepo ? Hili swali la uongo.

Kijana una maswwli marahisi sana, ukijibiwa ujasema hujajibiwa.
Kwanini hali halisi ithibitishe mungu na sio kingine?
Ndio maana unasema hujajibiwa, kijana uwe unasoma hoja zangu, tena usome uzielewe.

Hali halisi ndio Ukweli wenyewe, kinyume na hali halisi ndio hiko kingine yaani ndio UONGO wenyewe. Vipi uongo uthibitishe juu ya ukweli ?

Kijana, unaonekana umesoma sana "Logic" ndio maana unakuwa mjinga kiasi hiki na huui kuhoji mambo, yaani unajiandikia andikia tu bila kufikiria. Elimu ya Logic niliiacha zamani sana kuisoma pamoja na Elimu ya Falsafa, niliona inanifanya nifikirie mambo juu juu na si katika uhalisia, yaani nifikirie kama walivyofikiria kina Plato, Aristotle na kina Socrates na mfano wao.

Kijana nakushauri jambo moja, kuendelea kujadiliana na mimi, unaumia bure japo huwezi kukiri hili, ila unachoandika kinaonyesha hilo. Sisi wenzako tulisoma kwanza haya mambo kabla hatujaanza kujadiliana na watu, ila wewe unaonekana unajadiliana kwanza ndio unaenda kusoma, unaumia bure.

Acha kujadiliana na mimi, utaumia.
 
Mpaka hapo tayari ushaitumia logic

Rudi kwenye swali langu

Unajuaje kua kitabu cha kuran hakijaongopa?

It's Scars
Huwezi kuonyesha hata msingi kati ya misingi ya logic niliyo tumia kujenga hoja yangu, sababu kuhoji kulitangulia kabla hata hao kina Plato,Aristotle na wengine si wenye kutajika, yaani hawakuwepo.

Qur'aan hili nimekujibu kitambo sana. Nimesema sirudii kujibu maswali ambayo nimeshayajibu.
 
Hapana usinizushie jibu langu katika hoja yako hiyo hapo juu haikuwa hii
Kwahiyo hicho hujakiandika ? Ungekuwa karibu yangu ningekupiga bonge la kofi,unanipotezea muda, usiniquote tena. Haupo kujifunza zaidi ya ubishani na kupotezea watumuda.

Soma hapa :
Screenshot_20200325-001024.png
 
Kutoafikiana kwa jibu lako na hoja yangu maana yake hoja yangu haiafikiani na yako, nasio kwamba jibu lako nisahihi kwasababu haiafikiani na hoja yangu
Hii kauli kadhalika niliibatilisha huko nyuma kwa kukwambia majibu ninayo mimi, kwahiyo kutokuafikiana na unayo dai ni majibi hakunadilishi majibu yangu sahihi kuwa uongo.

Kijana hakuna swali sijajibu.
 
Binadamu angejuaje hali hiyo ilikuwepo hapo kabla bila ufunuo wakati hakuwepo ? Hili swali la uongo.
Aliyajua kupitia akili

Baba kujua yeye ni mkubwa kuliko mwanae hakuwezi kuhitaji ufunuo, hilo ni jambo la kihalisia ambalo hufundishwi na kitu.

Kijana una maswwli marahisi sana, ukijibiwa ujasema hujajibiwa.
Mpaka hapa bado swali langu liko pale pale kwasababu hoja yako imepanguliwa kiwepesi mno

Ndio maana unasema hujajibiwa, kijana uwe unasoma hoja zangu, tena usome uzielewe.
Tuliza wenge jikite kwenye hoja, hizo za juu ulizohoji tayali zishakua weak

Hali halisi ndio Ukweli wenyewe, kinyume na hali halisi ndio hiko kingine yaani ndio UONGO wenyewe. Vipi uongo uthibitishe juu ya ukweli ?
Nikikuambia hujajibu swali sio kwamba nakukejeli

Ukweli unaujuaje? Utajuaje kua hiki ni kweli na hiki sio?

Mimi nimekuuliza swali kutaka kujua ukweli wa huo uhalisi halafu wewe unaniambia hali halisi ndio ukweli. Yani unageuza swali mbele nyuma na nyuma mbele halafu ndio liwe jibu

Mpaka hapa hoja yako bado haijajibu swali la kwanini hali halisi ithibitishe mungu yupo

Kijana, unaonekana umesoma sana "Logic" ndio maana unakuwa mjinga kiasi hiki na huui kuhoji mambo, yaani unajiandikia andikia tu bila kufikiria. Elimu ya Logic niliiacha zamani sana kuisoma pamoja na Elimu ya Falsafa, niliona inanifanya nifikirie mambo juu juu na si katika uhalisia, yaani nifikirie kama walivyofikiria kina Plato, Aristotle na kina Socrates na mfano wao.




Kijana nakushauri jambo moja, kuendelea kujadiliana na mimi, unaumia bure japo huwezi kukiri hili, ila unachoandika kinaonyesha hilo. Sisi wenzako tulisoma kwanza haya mambo kabla hatujaanza kujadiliana na watu, ila wewe unaonekana unajadiliana kwanza ndio unaenda kusoma, unaumia bure.

Acha kujadiliana na mimi, utaumia.
Mara unipe CV yako sijui uliacha kusoma logic, hivi ungekua unajituma hivi kujibu maswali yangu vizuri tungekua hapa kuhimizana kujibu maswali ambayo uliyakimbia jana?

It's Scars
 
Huwezi kuonyesha hata msingi kati ya misingi ya logic niliyo tumia kujenga hoja yangu, sababu kuhoji kulitangulia kabla hata hao kina Plato,Aristotle na wengine si wenye kutajika, yaani hawakuwepo.

Qur'aan hili nimekujibu kitambo sana. Nimesema sirudii kujibu maswali ambayo nimeshayajibu.
Yani ni sawa na useme huwezi kusema gravitation force ipo kwasababu watu walikuwepo kabla ya newton

Kutangulia kwa watu haimaniishi kitu hicho hawakukifanya, inamaanisha walikua wanakifanga ila hawakujua kinaitwaje kwasababu mtunzi wa hilo jina amekuja baada yao

Haya rudi kwenye maswali yangu upesi naona umejisahau

It's Scars
 
Aliyajua kupitia akili

Baba kujua yeye ni mkubwa kuliko mwanae hakuwezi kuhitaji ufunuo, hilo ni jambo la kihalisia ambalo hufundishwi na kitu.


Mpaka hapa bado swali langu liko pale pale kwasababu hoja yako imepanguliwa kiwepesi mno


Tuliza wenge jikite kwenye hoja, hizo za juu ulizohoji tayali zishakua weak


Nikikuambia hujajibu swali sio kwamba nakukejeli

Ukweli unaujuaje? Utajuaje kua hiki ni kweli na hiki sio?

Mimi nimekuuliza swali kutaka kujua ukweli wa huo uhalisi halafu wewe unaniambia hali halisi ndio ukweli. Yani unageuza swali mbele nyuma na nyuma mbele halafu ndio liwe jibu

Mpaka hapa hoja yako bado haijajibu swali la kwanini hali halisi ithibitishe mungu yupo


Mara unipe CV yako sijui uliacha kusoma logic, hivi ungekua unajituma hivi kujibu maswali yangu vizuri tungekua hapa kuhimizana kujibu maswali ambayo uliyakimbia jana?

It's Scars
Poa.
 
Yani ni sawa na useme huwezi kusema gravitation force ipo kwasababu watu walikuwepo kabla ya newton

Kutangulia kwa watu haimaniishi kitu hicho hawakukifanya, inamaanisha walikua wanakifanga ila hawakujua kinaitwaje kwasababu mtunzi wa hilo jina amekuja baada yao

Haya rudi kwenye maswali yangu upesi naona umejisahau

It's Scars

Poa.
 
maombi ni maneno au kauli za kutaka kupewa kitu au jambo,kwahiyo hakuna kazi hapo.
Huoni kua maombi kuwezekana kufanya hayo uliyoyataja hiyo pia ni kazi?

Kama kazi ya maombi inaweza kusababisha wewe kupewa jambo fulani kwanini hilo jambo ulilopewa lisiwe kimetokana kwa kazi ya maombi ukiyoifanya

It's Scars
 
Kwahiyo hicho hujakiandika ? Ungekuwa karibu yangu ningekupiga bonge la kofi,unanipotezea muda, usiniquote tena. Haupo kujifunza zaidi ya ubishani na kupotezea watumuda.

Soma hapa : View attachment 1398538

Kwanza umefanya kosa kunukuu hoja nusu katika kauli yangu niliyoitoa

Halafu kosa lingine ulitakiwa ujue hicho ulicho kinukuu kilikua kimejibu hoja yako gani ya kwako.

Hoja yako ilikua hii nakunukuu

"Nilichokisema mimi ni hiki " Kwa kile kinachodaiwa kuwa ni jibu kutoafikiana na jibu sahihi ambalo ninalo.""

Halafu baada ya hapo ukaninukuu tena kwa kuandika maneno haya ambayo nimeya bold

Ukichokiandika wewe ni hiki : "Wewe umekubali kua hoja yangu kutoafikiana na hoja yako haifanyi hoja yako kua jibu sahihi?"

Kauli yenyewe nimejibu hivi

"Hapana usinizushie jibu langu katika hoja yako hiyo hapo juu haikuwa hii"

Hapa nilikua nakujibu kua, acha kunizushia kua hilo jibu uliloninukuu hapo juu, katika hoja ya kusema wewe umekubali kua hoja yangu kutoafikiana na hoja yako haifanyi hoja yako kua sahihi" ndio lilikua jibu ambalo nilijibu katika hoja yako hiyo

Jibu sahihi ambalo nililitoa katika hoja yako inayosema " Kwa kile kinachodaiwa kuwa ni jibu kutoafikiana na jibu sahihi ambalo ninalo."" nilijibu hivi


"Nilijibu hivi

Kutoafikiana kwa jibu lako na hoja yangu maana yake hoja yangu haiafikiani na yako, nasio kwamba jibu lako nisahihi kwasababu haiafikiani na hoja yangu
"


Sasa wewe kwanini uunizushie majibu ambayo sijayasema katika post yako ambayo unalalamika kua nimeyasema??

It's Scars
IMG_20200325_010632_394.JPG
 
Huoni kua maombi kuwezekana kufanya hayo uliyoyataja hiyo pia ni kazi?

Kama kazi ya maombi inaweza kusababisha wewe kupewa jambo fulani kwanini hilo jambo ulilopewa lisiwe kimetokana kwa kazi ya maombi ukiyoifanya

It's Scars
"Kama kazi ya maombi...." Yani mtu unamwambia kabisa kuwa maombi si kazi ni kutaka kupewa tu,ila bado anang'ang'ania kusema kazi ya maombi inashangaza kwa kweli.

Kuomba ingekuwa ni kazi basi wale ombaomba wangehesabiwa kuwa ni wafanya kazi ila wewe labda hujui maana ya kazi na ndiyo maana unaona kukaa na kuomba ni kazi.
 
Ukichokiandika wewe ni hiki : "Wewe umekubali kua hoja yangu kutoafikiana na hoja yako haifanyi hoja yako kua jibu sahihi?"

Haya ni maneno yako bil shaka au unakataa ? Kama unakubali unacho zunguka nini na wapi nimekuzushia kama nimenukuu maneno yako kwa munasaba husika ?

Sasa ulivyo mjinga una kataa maneno yako kwa kuleta maneno ya nyuma ambayo nayo niliya dhoofisha.

Tuliza akili kijana.
 
Back
Top Bottom