Tufanyeje sasa? Kwani unazani india wamejitakia? Muhimu tuendelee kumuomba Mungu atuepushie mbali, kwani hali ya maisha yetu ni ngumu na hatuwezi kufuata masharti ya Covid-19 kwa [emoji817]%.
Radi ikianza ndo mtatia adabu...
Kwasababu wengine hata hawajui korona ni kitu gani,sehemu Fulani huko Kijiji sitapataja ndugu ukiona hali ilivyo utachoka, mtu hata hafamu chochote kuhusu korona yan anachojua yy ni kuwa kuna jina tu liitwalo "korona". Sasa watu Kama Hawa serikali ndo ilibidi ifanye juhudi kuwafikia huko huko kwao ndanindani ili kuwafahamisha nini cha kufanya ...Kwanini watu wanalazimisha Serikali itangaze kuhusu corona badala ya kuchukua hatua wewe mwenyewe za kujikinga na familia yako?
Ni upotoshaji, acha kupotosha watu!Hata huko India, siyo kwamba hawakuwa wanachukua tahadhari, la hasha. Wamechukua tahadhari zote dhidi ya Corona lakini bado vifo vikaendelea
Mbona hujiulizi kwanini kama wamechanja watu wengi na vifo ni vingi?Mwalimu wa hizi propaganda zenu alishatokomea, jidanganyeni tu badala ya kuchukua tahadhari, watu laki mbili sio jambo la kufanyia mzaha hata kidogo, watu wanakosa hadi pakuwazika wapendwa wao.
kinga ya mwili ya mtu hutofautiana yako haiwezi kufanana na ya mtu wa miaka 50
wapo wanaoonyesha dalili za haraka na wapo wanaochelewa
wanasayansi wanasema wapo wanaoipata corona na ikaondoka kutokana na kinga za miili yao kupambana vizri
wanasema umri ulio katika high risk 45-50 hapo
Chaguo ni lako mkuu kupuuzia au kujikingaAcha nibaki kwenye kivuli cha magufuliView attachment 1767331
Ukimwi uligundulika mwaka 1983 lakini mpaka sasa watu wanaugua ukimwi na wanaendelea kunyanduana. Acha uoga falangundi weweMabibi na mabwana corona imepiga katika mataifa yote, lakini hili la India ni hatari tupu:
View attachment 1766866
India Covid: Hospitals overwhelmed as deaths pass 200,000
There are fears the real number is even higher, as hospitals continue to turn dying patients away.www.bbc.com
Wenzetu India wananyolewa vilivyo hivi sasa. Je sisi tunatahadhari au mikakati ipi kutoangukia kwenye zahama kama hili?
Tume ya Corona ya mama iko wapi? Ina mapya yapi?
India wanakokimbilia vigogo wetu kwa matibabu, ndiyo hawa wanaochoma miili ya wafu wao leo hadi barabarani.
Tusichukulie poa wajameni. Maisha ya mtu hayawezi kulinganishwa na vitu.
Kenya wamepiga marufuku safari za ndege kati yao na India.
Vivyo hivyo kwa Malawi na hata mataifa mengine.
Sisi je?
Kwani kucheka watu waliyokufa ni tatizo? basi kuna watu wasingefurahia alipokufa Magufuli.Wanakera sn hawa mbwa.... Yaani wanacheka wanaoumwa eti ni wazembe hawana Mungu huku wao maccm mungu wao kafa kwa korona hiyohiyo
Wengine wanasema Jiwe alichanja chanjo ya corona kisirisiri na wengine mnasema kafa kwa corona, sasa lipi sahihi?Usisahau kuwa uliye mwabudu katangulizwa kuzimu na korona naye alikuwa kichwa ngumu kuliko wewe.
Hayo unayoyaona wewe hayashangazi ni kwa sababu hayatangazwi kwa hali ya kushangaza kama inavyofanyika kwenye corona, kwenye corona vinavyotangazwa sana ni vifo tu na si waliumwa na kupona ambao ndio huwa wengi.Watu wankufa kila siku mamilioni kwa mamilioni kutokana na sababu mbali mbali. Hili halishangazi. Kinachoshangaza ni ile speed ya vifo ndani muda mfupi kutokana na sababu moja tu.
Acha story. Chukua tahadhari kivyako vyako. Wabongo mmezidi keleleMwalimu wa hizi propaganda zenu alishatokomea, jidanganyeni tu badala ya kuchukua tahadhari, watu laki mbili sio jambo la kufanyia mzaha hata kidogo, watu wanakosa hadi pakuwazika wapendwa wao.
Alikataa kutangaza ikampiga shaaakwani msimamo wenu kama nyumbu ni upi!!!
si mlikubaliana kwamba magufuli atanagze uwepo wa corona haraka iwezekanavyo!!!!
ni lini mlibadili huu msimamo!!!!
mara corona,mara mungu,kifupi hatuelewi mnasimamia nini.Alikataa kutangaza ikampiga shaaa
Mimi ni jiwe kweri kweri,hahahmara coroba,mara mungu,kifupi hatuelewi mnasimamia nini.
na aliwanyoosha kweli.Mimi ni jiwe kweri kweri,hahah